Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Nguvu zako tuu. Unakata miti unafyatua tofali bila cement, unachoma, unakata nyasi unajenga mwenyewe chumba na sebule unaezeka nyasi unakaa shambani. Ndo gharama ya chini. Ya juu haijulikani.Gharama ya chini shilingi ngapi?
Kweli mkuuNimejaribu kufuatilia kauli za waliojenga nyumba. Huwa wanapenda kuwaogopesha waliopanga kuwa ujenzi ni gharama.
Huwezi kutana na mtu akakutia moyo hata kidogo. Lengo la wengi waliojenga ni ku play god. Yani wanapenda waheshimike na kujionesha kuwa wana mawe marefu.
Mimi ninapopiga gharama za ujenzi, napata gharama za chini kama ambavyo Magufuli alifanya kwenye ujenzi wa hostel za UD. Tukienda kwa stail yake, mbona kila mtu atakuwa na ka mjengo!
nimekurushia boya tayari nadhan sasa hivi hutazama na kupotea😀😀😀😀Gharama ya chini shilingi ngapi?
Haaaahaaa sawa bwana Diaspora?!nimekurushia boya tayari nadhan sasa hivi hutazama na kupotea😀😀😀😀
Inategemea na mtu mkuu, wewe utaweka vikorombwezo kibao mwenzio wala haweki chochote cha zaidi.Sawa mkuu ,ila 16 mil bado ni ndogo at least 25 mil kama ni nyumba ndogo .
[emoji23][emoji23][emoji23]Na huku ndo kwenye gharama sio kule kwenye kupanga tofari, mi nilinunua vifaa vya umeme 2m nikavibeba kwa bodaboda yaani vyepesiiii
Mkuu vipi tayari una mjengo wako mzuriiii???dahhh!! nikiona hayo mamilioni mnayosema eti ndo gharama ya chini navurugwa tumbo, ama hakika ujenzi noma, ila kufikia mwaka 2020 lazima niwe kwenye mjengo wangu mzuuuri!!
Sasa mln 20 sio gharama kubwa?Ukiwa na kiwanja, gharama ya nyumba ya vyumba vitatu, kwa basic finishing ni around 20M. With the same house some one will mention kuwa ametumia milioni mia! Utadhani kajengea mchanga wa makinikia.
Hakuna quality yoyote kwa 16 mln,sema nyumba hiyo Ina ukubwa gani na weka quantities na quality ya materials hapa tuone ,au kiwanda Cha kila kitu anachoyeye?Kwa uzoefu ua nashangaa watu wanaodai ukiwa na m20 nyumba ndo inakamilika!! Nyumba hata milioni 5 ipo sema unatka nyumba yenye nakshi zipi za gharama kiasi gani!! Kuna my class mate kamaliza kwa badget ya 16 milion but the quality of it unaezansema ni 50 milion!! Lakini itategemea unajenga wapi
[emoji23] ulitaka viwe vizito kulingana na hela mkuuNa huku ndo kwenye gharama sio kule kwenye kupanga tofari, mi nilinunua vifaa vya umeme 2m nikavibeba kwa bodaboda yaani vyepesiiii
tupe mrejesho mkuu umefanikiwa kuishi kwenye mjengo wako tayaridahhh!! nikiona hayo mamilioni mnayosema eti ndo gharama ya chini navurugwa tumbo, ama hakika ujenzi noma, ila kufikia mwaka 2020 lazima niwe kwenye mjengo wangu mzuuuri!!
Sasa wewe kwa gharama hiyo afu kwa nyumba ya bedroom 2 huoni umeingiliwa,kwamba with the same cost ungeweza kujenga ya vyumba 3 ,unit cost ingekuwa ndogoMim najenga nyumba ya vyumba viwil sebule sitting room dining pamoja na jiko nimefikia hatua ya KUEZEKA ila bado sijazidi milioni kumi na tano na Mbao nshanunua pamoja na bati sitegemei nyumba izid m25 sasa izo gharama kubwa zipo wapi wasiwatishe bana wewe anza kujenga sema usiwe na haraka sana maana nyumba unakua unazika pesa waweza jikuta unadownfall bila hata kumaliza ujenzi unabaki kuona pagale tu bila kujua hatima ya hilo pagale
Huwa simuelewi mtu anaejenga nyumba ya kuishi ya two bedrooms kwa kigezo cha kukwepa gharama. Gharama ya kuongeza hiyo room moja haipishani sana kwenye grand total ya ujenzi unapokamilika.Sasa wewe kwa gharama hiyo afu kwa nyumba ya bedroom 2 huoni umeingiliwa,kwamba with the same cost ungeweza kujenga ya vyumba 3 ,unit cost ingekuwa ndogo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mi nimejenga vyumba 3 kwa m6 na msouz kabisa na mageti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]