Uchaguzi 2020 Waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 29, waliopiga kura ni milioni 15 tu. Wananchi tumewapa CCM ushindi wa mezani

Uchaguzi 2020 Waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 29, waliopiga kura ni milioni 15 tu. Wananchi tumewapa CCM ushindi wa mezani

Kwa taarifa yako hiyo 29m+ ni idadi ya kupika, na wapiga kura hawajavuka 10m. Hiyo 15m imetokana na kura za Magufuli za kuchakachua. Kama unadhani wanaona aibu hilo sio kweli maana wangeona aibu uchaguzi wa SM. Magufuli ndio anayeagiza box la kura kunajisiwa ili kuhadaa umma kuwa anapendwa. Watu wengi wanaojitambua hawakuwa na muda wa kwenda kupiga kura, maana haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Hamshauriki nyie.... mpaka aseme Mbowe au Lissu, na hawezi waambie ukweli mana ndo mtaji wake
 
Maybe we should have underpaid politicians and overpaid teachers, then there would be smarter people and less stupid laws...[emoji41][emoji41]
 
Kwa taarifa yako hiyo 29m+ ni idadi ya kupika, na wapiga kura hawajavuka 10m. Hiyo 15m imetokana na kura za Magufuli za kuchakachua. Kama unadhani wanaona aibu hilo sio kweli maana wangeona aibu uchaguzi wa SM. Magufuli ndio anayeagiza box la kura kunajisiwa ili kuhadaa umma kuwa anapendwa. Watu wengi wanaojitambua hawakuwa na muda wa kwenda kupiga kura, maana haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Wewe ulienda kupiga kura, kwahiyo hujitambui?
 
Nasema hivi 29m+ Ni idadi ya kupika. Watanzania tupo 59m+, hiyo ina maana 29m+ ni nusu ya watanzania wote. Inatakiwa mtu kuwa mjinga wa kiwango chako, ili kuamini kuwa watu wazima yaani 18yrs+ ni sawa kabisa ya walio chini ya umri huo. Halafu mbali ya utata huo wote 29m wajiandikishe, halafu wapiga kura wawe 1/3 ya waliostahili kupiga kura.
Lete wewe idadi yako sasa!Kwa taarifa yako watu wengi wanajiandikisha ila hawapigi kura!! Si ajabu hata wewe hukupiga kura! Unabwabwaja tu hapa JF ! UCHAGUZI UMESHAKWISHA JIPANGENI UPYA!
 
Nani kakwambia kura za wananchi ndo ziliamua uchaguzi huu?
Hizo tarakimu za milion 12 ni za TISS na NEC.
Bongo hakukuwa na uchaguzi ni uchafuzi

Zanzibar ndo uchafuzi kipeo cha pili
Sasa kura zilipigwa na Misukule ! Hivi nchi hii wananchi ni chadema ? JPM ndo kashinda sasa , vumilia tu !
 
Futa kichwani kingozi awae yeyote atakugongea hodi na kukupa hata mia ya kubadili mboga mezani
Kiongozi ama mtawala hatarajiwi kutoa pesa na kuwapa watawaliwa (wanyonge) bali wajibu wake (kumbuka anaomba mwenyewe, hakuna anayemlazimisha kuwa katika nafasi hiyo) ni kutengeneza mazingira (ya kisiasa na kiuchumi) ya kuwawezesha 'wanyonge' waboreshe maisha yao wenyewe. Kwa mfano, akitengeneza mazingira rafiki ya ukuaji wa sekta binafsi, anakuwa ameunda injini kuu ya uchumi.

Yeye kama serikali atabakia kukusanya kodi ambayo itaelekezwa kwa kutoa huduma bora za kijamii (elimu na afya). Aking'ang'ania serikali kufanya biashara, ataishia hata hicho kidogo anachokusanya kukielekeza kwenye ruzuku ya kuendesha biashara hiyo, na hivyo kushindwa kutoa huduma za kijamii ambazo ni wajibu wa serikali.
 
Wala msitafute mchawi wakati wachawi ni nyinyi wenyewe,ukiombwa ushhidi wa haya uliyobwabwaja wala hutokuwa nao,uchaguzi umeisha tujenge nchi sasa kwani Rais ni JPM.

Niombwe na nani, vyombo hivi hivi vilivyosimamia kura za wizi? Acha vitisho vya kishamba ww kenge. Jenga nchi ww na wezi wa kura.
 
Tulikuambia mapema ukashupaaza, shingo wanaCcm mil 12+ ndio wamemchagua JPM. Na hili la wafuasi wa upinzani kutojitokeza ni ukweli hayo mengine unaleta uongo tu.View attachment 1619479

Huyo uliyemquote kila siku ndio huwa mnasema anakaa Ulaya na hajui mambo ya huku. Leo hii ndio unamtumia kama sehemu ya kufichia ule wizi tuliouna kwa macho yetu. Ni hivi, ule haukuwa uchanguzi, bali upuuzi kama upuuzi mwingine wowote.
 
Hamshauriki nyie.... mpaka aseme Mbowe au Lissu, na hawezi waambie ukweli mana ndo mtaji wake

Tuna akili zetu timamu, na tunaweza kuuona uhalisia bila msaada wa mtu yoyote. Habari ndio hiyo.
 
Kwa taarifa yako hiyo 29m+ ni idadi ya kupika, na wapiga kura hawajavuka 10m. Hiyo 15m imetokana na kura za Magufuli za kuchakachua. Kama unadhani wanaona aibu hilo sio kweli maana wangeona aibu uchaguzi wa SM. Magufuli ndio anayeagiza box la kura kunajisiwa ili kuhadaa umma kuwa anapendwa. Watu wengi wanaojitambua hawakuwa na muda wa kwenda kupiga kura, maana haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Unatumia akili?
 
Lete wewe idadi yako sasa!Kwa taarifa yako watu wengi wanajiandikisha ila hawapigi kura!! Si ajabu hata wewe hukupiga kura! Unabwabwaja tu hapa JF ! UCHAGUZI UMESHAKWISHA JIPANGENI UPYA!

Ujiandikishe kisha usiende, kwa hiyo kujiandisha ndio kwa maana kuliko kupiga kura? Ni hivi, hakukuwa na watu 29m+ walioenda kujiandikisha. Vituo vya kujiandisha tulioviona na watu wachache walijitokeza tuliwaona.
 
Bado hujapanick vizuri, utapanick sana. Ile ni idadi ya kupika ili kunogesha kura za kupika. Huo ndio ukweli hutaki meza sumu.
Mimi na wewe nani kapanic ? Usijikute mjuaji Lete idadi yako sasa unayoijua wewe vipi ?
 
Ujiandikishe kisha usiende, kwa hiyo kujiandisha ndio kwa maana kuliko kupiga kura? Ni hivi, hakukuwa na watu 29m+ walioenda kujiandikisha. Vituo vya kujiandisha tulioviona na watu wachache walijitokeza tuliwaona.
Unaendelea kudhihirisha ukilaza hivi unafikili kila mtu atakae jiandikisha lazima atapiga kura siku ya uchaguzi!!
 
Back
Top Bottom