El Maestro
Senior Member
- Apr 12, 2020
- 178
- 126
Hamshauriki nyie.... mpaka aseme Mbowe au Lissu, na hawezi waambie ukweli mana ndo mtaji wakeKwa taarifa yako hiyo 29m+ ni idadi ya kupika, na wapiga kura hawajavuka 10m. Hiyo 15m imetokana na kura za Magufuli za kuchakachua. Kama unadhani wanaona aibu hilo sio kweli maana wangeona aibu uchaguzi wa SM. Magufuli ndio anayeagiza box la kura kunajisiwa ili kuhadaa umma kuwa anapendwa. Watu wengi wanaojitambua hawakuwa na muda wa kwenda kupiga kura, maana haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Mitano ya asali na maziwa inatoshaHakuna mitano hapo! Huyu mtu amejiandalia kukaa ikulu milele we endelea kuimba
Yani hawa jamaa vichwa ngumu kweliAliyekwambia 29million ni ya kupika nani????
Jinga kabisa.
Wewe ulienda kupiga kura, kwahiyo hujitambui?Kwa taarifa yako hiyo 29m+ ni idadi ya kupika, na wapiga kura hawajavuka 10m. Hiyo 15m imetokana na kura za Magufuli za kuchakachua. Kama unadhani wanaona aibu hilo sio kweli maana wangeona aibu uchaguzi wa SM. Magufuli ndio anayeagiza box la kura kunajisiwa ili kuhadaa umma kuwa anapendwa. Watu wengi wanaojitambua hawakuwa na muda wa kwenda kupiga kura, maana haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Lete wewe idadi yako sasa!Kwa taarifa yako watu wengi wanajiandikisha ila hawapigi kura!! Si ajabu hata wewe hukupiga kura! Unabwabwaja tu hapa JF ! UCHAGUZI UMESHAKWISHA JIPANGENI UPYA!Nasema hivi 29m+ Ni idadi ya kupika. Watanzania tupo 59m+, hiyo ina maana 29m+ ni nusu ya watanzania wote. Inatakiwa mtu kuwa mjinga wa kiwango chako, ili kuamini kuwa watu wazima yaani 18yrs+ ni sawa kabisa ya walio chini ya umri huo. Halafu mbali ya utata huo wote 29m wajiandikishe, halafu wapiga kura wawe 1/3 ya waliostahili kupiga kura.
Sasa kura zilipigwa na Misukule ! Hivi nchi hii wananchi ni chadema ? JPM ndo kashinda sasa , vumilia tu !Nani kakwambia kura za wananchi ndo ziliamua uchaguzi huu?
Hizo tarakimu za milion 12 ni za TISS na NEC.
Bongo hakukuwa na uchaguzi ni uchafuzi
Zanzibar ndo uchafuzi kipeo cha pili
Kiongozi ama mtawala hatarajiwi kutoa pesa na kuwapa watawaliwa (wanyonge) bali wajibu wake (kumbuka anaomba mwenyewe, hakuna anayemlazimisha kuwa katika nafasi hiyo) ni kutengeneza mazingira (ya kisiasa na kiuchumi) ya kuwawezesha 'wanyonge' waboreshe maisha yao wenyewe. Kwa mfano, akitengeneza mazingira rafiki ya ukuaji wa sekta binafsi, anakuwa ameunda injini kuu ya uchumi.Futa kichwani kingozi awae yeyote atakugongea hodi na kukupa hata mia ya kubadili mboga mezani
Wala msitafute mchawi wakati wachawi ni nyinyi wenyewe,ukiombwa ushhidi wa haya uliyobwabwaja wala hutokuwa nao,uchaguzi umeisha tujenge nchi sasa kwani Rais ni JPM.
Fala wewe...huna ushahidi hebu tutokee uko.....
Tulikuambia mapema ukashupaaza, shingo wanaCcm mil 12+ ndio wamemchagua JPM. Na hili la wafuasi wa upinzani kutojitokeza ni ukweli hayo mengine unaleta uongo tu.View attachment 1619479
Hamshauriki nyie.... mpaka aseme Mbowe au Lissu, na hawezi waambie ukweli mana ndo mtaji wake
Unauliza au unapigia jibu mstari?Wewe ulienda kupiga kura, kwahiyo hujitambui?
Usishangae sasa mpo wengi hamjapiga, mmemsaliti LissuUnauliza au unapigia jibu mstari?
Unatumia akili?Kwa taarifa yako hiyo 29m+ ni idadi ya kupika, na wapiga kura hawajavuka 10m. Hiyo 15m imetokana na kura za Magufuli za kuchakachua. Kama unadhani wanaona aibu hilo sio kweli maana wangeona aibu uchaguzi wa SM. Magufuli ndio anayeagiza box la kura kunajisiwa ili kuhadaa umma kuwa anapendwa. Watu wengi wanaojitambua hawakuwa na muda wa kwenda kupiga kura, maana haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Lete wewe idadi yako sasa!Kwa taarifa yako watu wengi wanajiandikisha ila hawapigi kura!! Si ajabu hata wewe hukupiga kura! Unabwabwaja tu hapa JF ! UCHAGUZI UMESHAKWISHA JIPANGENI UPYA!
Unatumia akili?
Siamini,100%.
Mimi na wewe nani kapanic ? Usijikute mjuaji Lete idadi yako sasa unayoijua wewe vipi ?Bado hujapanick vizuri, utapanick sana. Ile ni idadi ya kupika ili kunogesha kura za kupika. Huo ndio ukweli hutaki meza sumu.
Unaendelea kudhihirisha ukilaza hivi unafikili kila mtu atakae jiandikisha lazima atapiga kura siku ya uchaguzi!!Ujiandikishe kisha usiende, kwa hiyo kujiandisha ndio kwa maana kuliko kupiga kura? Ni hivi, hakukuwa na watu 29m+ walioenda kujiandikisha. Vituo vya kujiandisha tulioviona na watu wachache walijitokeza tuliwaona.