Uchaguzi 2020 Waliojiandikisha kupiga kura ni milioni 29, waliopiga kura ni milioni 15 tu. Wananchi tumewapa CCM ushindi wa mezani

Huyo uliyemquote kila siku ndio huwa mnasema anakaa Ulaya na hajui mambo ya huku. Leo hii ndio unamtumia kama sehemu ya kufichia ule wizi tuliouna kwa macho yetu. Ni hivi, ule haukuwa uchanguzi, bali upuuzi kama upuuzi mwingine wowote.
Ni kwamba inawezekana hajui mambo ya huku,lakini hili la uchaguzi lina ukweli ndani yake. Kipigo mlichopata kilitarajiwa na wewe nilikuwa nakuambia miezi sita kabla ya uchaguzi.
 
AHaa.ndo kura 8 zote ziharibike[emoji2960][emoji2960][emoji2960]..
Hadi house girl wake naye alimnyima kura?.
Unaona jamaa wapo mnadani hapo?
Una uhakika gani kama zimeibiwa. Kura ni siri ya mtu, inaweza ikaharibika hata ndugu yako anaweza kukunyima kura.
 
Kupiga kura ni kupoteza muda. Wapite bila kupingwa.
 
Aapishwe tu.ila habari zake tunazo.
Anaingia ikulu kwa msaada wa mnada wa kura feki.
VINGINEVYO alikuwa ameshapotea.
Magufuli asingemuweza LISU
Uongo na upuuzi kama huu hauwasaidii. Chuma kinaapishwa kesho
 
𝑯𝒊𝒊 𝒕𝒖
Habari wanajamvi,

Katika Taarifa iliyotoka jana kuna taasisi moja walitoa majumuisho ya Uchaguzi 2020, na Takwimu yao wamesema watanzania waliojiandikisha katika daftari ni milioni 29 na waliopiga kura ni milioni 15 tu hii ina maana gani?..
𝑯𝒊𝒊 nchi 𝒏𝒅𝒐 𝒊𝒍𝒊𝒗𝒐
 
Ni kweli raia wengi hawakwenda kupinga kura kutokana na kukatishwa tamaa na kukosa matokeo wanayoyatarajia.Wananchi walio wengi hutaka mabadiliko ya kisiasa na hupigia kura upinzani,upinzani kutokushinda imewakatisha tamaa hawajitokezi kwenye zoezi la kupiga kura.By the way wanaona bora wakaendelee na shughuli zao za kujipatia mkate wa siku kuliko kwenda kuchagua wanasiasa wenye maisha bora
 
Kuna vitu vya kupika lakini sio data. Wafuasi wa upinzani wamemuangusha lissu. Mabadiliko wanataka halafu kupiga kura hawataki.
 
Kuna vitu vya kupika lakini sio data. Wafuasi wa upinzani wamemuangusha lissu. Mabadiliko wanataka halafu kupiga kura hawataki.

Sina shaka ya nilichosema, hiyo idadi ya wapiga kura ni ya kupika, na hiyo sio data pekee zinazopikwa na serikali hii. Matokeo nayo yakawa ni ya kupika kwa kiwango kikubwa. Kilichofanyika kwenye uchaguzi huu tumekiona kwa macho yetu na wala sio kuhadithiwa. Haukuwa uchaguzi, bali ulikuwa upuuzi kama upuuzi mwingine.
 
Hata wangeenda kupiga kura wakampa huyo Lisu, kura zingehesabika amepata Magufuli. Chaguzi zilikuwa kiinimacho
 
.
 
Kumbuka CCM ina wanachama milioni 7

Hapo piga hesabu mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…