Wananipa shida sana hawa makahaba nyakati za usiku nalazimika kukwepa viwanja vyao ili nisikutand nao maana siwajui vema, unaweza ukajaa mikononi mwa polisi wakidhani ulipita hapo ili upate kahaba. Makahaba original nao ni wasumbufu wakikiona wanakukimbilia wote na kukutaka uchague model utakayopenda. Ukiwaambia we ni mzee wanakuuli una uzee gani, ina maana huna hana buku mbili ya shaa shaa?. Ukiwapa ukaenda kupata shaa shaa nako utaishia kugusa mlangoni tu na kuambiwa tayari hela yako imeishia hapo la sivyo ongeza hela. Ukiongeza utaruhusiwa kuingia ndani, unapiga in and out mbili tu unaambiwa mi si mke wako ondoka kifuani kwangu, kama vipi ongeza hela uendelee na shoo. Shoo yenyewe inategemeana na dau la hela ni kiasi gani. Kuna dau la kulala mpaka asubuhi hilo ni kubwa. Wale makahaba mpaka buku wanachukua ila hutafaidi penzi lao utaishia kugusa nyonyo tu imetoka hiyo