Waliokuwa mateka Gaza wamuumbua Netanyahu

Waliokuwa mateka Gaza wamuumbua Netanyahu

Ama kweli la kuvunda halina ubani. Yamesikika mengi kuhusu ugaidi na ufwedhuli wa wapalestina na HAMAS.

Kwamba HAMAS ni wauaji, wabakaji, magaidi, wenye kutumia mahospitali kama vituo vya kijeshi, wanyama wasiostahili kuishi duniani na eti kuwa walaumiwe wao kwa vita hivi huko Gaza.

Kwenye mkutano wao na baraza la vita ambao amekuwa akiukimbia kwa muda mrefu, waliokuwa mateka Gaza wamemjia juu waziri mkuu huyu mwongo mwongo sana. Ya kuwa kumbe ni jongo, lisilokuwa na huruma wala kuyajali yakiwamo madhila ya mateka wanaobakia Gaza.

Kwamba jongo jongo hili halifai hata kuwepo madarakani. Liondoke, nchi iendeshwe na wenye kujali ustawi wa watu wakiwamo hata wasiokubaliana nao.

View attachment 2834459

Barua za shukurani toka kwa waliokuwa mateka kwenda HAMAS zimeonekana. Afya ya miili ya mateka miezi 2 wakiwa kifungoni wengine na vijibwa vyao zimeonekana. Shuhuda za mateka kuwahusu HAMAS zimesikika.

Natenyahu na tuhuma zake mpya kuwa HAMAS walibaka, ila waliobakwa walikufa, hizo labda kama ni za kuwaambia mbuzi.

Kwa hakika waliokuwa mateka na wasikilizwe!
 

Hiyo ni mada tofauti kama ilivyo hii:

Kwanini HAMAS sasa anapigana vita alivyoshindwa?

Zingatia hii walalamikaji ni waisrael yaani mabosi wake Natenyahu.
 
Haya siyo mapicha Bali taarifa alizo nazo Natenyahu zinazomfanya kukosa usingizi. Watu hawamtaki madarakani

Kwa sasa Gaza inazidi kufanywa shamba, IDF inaelekea Kusini, mazombi yenu yanafinywa balaa wewe unahangaika kupost mapicha.
 
Tuonyeshe maiti ya ndugu yetu mmoja wa Hamas aliyeuawa na mashoga wenzio tukupe laki Sasa hivi! Mizayuni inakwisha huko mbumbumbu wewe

Ndugu yenu yupi, nyie mazombi wa hiyo dini huwa hamna undugu na yeyote, juzi Mtanzania ameuawa mkashabikia, na sasa hivi kuna Mtanzania bado mateka ila mnaendelea kushabikia hao mabwana zako kisa dini, useless.
 
Wapalestina waliokua wamekimbilia Kusini hawana kwa kwenda tena, na huko IDF inaenda kupafanya shamba, wewe endelea kupost mapicha.

Kwani umeona picha za BBI hapa ndugu?

"Bernie Sanders, an independent who generally votes with Democrats, also voted No. He has expressed concerns about funding Israel's "current inhumane military strategy" against the Palestinians."

IMG_20231207_093637.jpg


Hayo ni maneno ya waungwana!
 
Wapalestina waliokua wamekimbilia Kusini hawana kwa kwenda tena, na huko IDF inaenda kupafanya shamba, wewe endelea kupost mapicha.

Kwamba "in breach of international law" dhidi ya binadamu wakiwamo watoto wadogo, haliwezi kuwa jambo la kunivunia kutoka kwa mtu mwenye akili timamu.
 
Mapandikizi ya Hamas, walitekwa kimkakati ili baadae wakiachiwa waje waseme hayo.

Katika mambo ya intelligence vitu hivi sio vigeni.


Israel inayajua hayo ndio maana bado wanaendelea kutembeza kichapo
 
P

Magaidi yanaendelea kufyekwa huku wakiwaponza raia wao kuendelea kufa hadi sasa vifo vimefikia 17 000 maelfu kujeruhiwa huku kila mahali pakipigwa. Ilikuwa kaskazini gaza baadae central gaza sasa kusini gaza

Endelea na propaganda huku hao nduguzo wakifa. Vita haisimami hadi malengo makuu matatu yatimie

Pia nakukimbusha Israel wana .mpango wa kuyajaza mahandaki ya hamas kwa maji ya bahari; tayari mitambo yenye nguvu kubwa ya kupamp maji imewemwa pwani. Jilo lokifanyika litasabsbisha ardhi ya gaza isifae kwa kilimo kwa miaka mingi sana

Safari hii hamas wenyewe watakiri Netanyahu mbabe .
Lazima wafe ili wengine waishi kwa amani vizazi vijavyo
 
Mapandikizi ya Hamas, walitekwa kimkakati ili baadae wakiachiwa waje waseme hayo.

Katika mambo ya intelligence vitu hivi sio vigeni.


Israel inayajua hayo ndio maana bado wanaendelea kutembeza kichapo

Utakuwa unaongelea mateka wa M23 bIla shaka
 
Kwani umeona picha za BBI hapa ndugu?

"Bernie Sanders, an independent who generally votes with Democrats, also voted No. He has expressed concerns about funding Israel's "current inhumane military strategy" against the Palestinians."

View attachment 2835383

Hayo ni maneno ya waungwana!

Mtakufa hadi mtie akili, leo nimeona mkuu wenu amezingirwa, nilikuambia mapicha hayasaidii, mtemane na Myahudi.
 
Hujishangai kuwa ni wewe peke yako unayeongelea udini kwenye vita hivi?

Hiyo dini inasababisha muwe kama mazombi, na mtakufa sana, temaneni na Myahudi.
 
Kwamba "in breach of international law" dhidi ya binadamu wakiwamo watoto wadogo, haliwezi kuwa jambo la kunivunia kutoka kwa mtu mwenye akili timamu.

Mlipokua mnaua watoto wa Wayahudi hamkujua hizo breaches, chezea Myahudi utalia, tena yule ni katili fulu balaa dadeki hadi raha.
 
Back
Top Bottom