Waliokuwa na bidii na elimu lakini wapo mtaani wanadharaulika kwakuwa jamii iliweka matarajio makubwa

Waliokuwa na bidii na elimu lakini wapo mtaani wanadharaulika kwakuwa jamii iliweka matarajio makubwa

makazi ya skuizi wanapeana wao kwa wao. Kampuni la mjomba kazi wanapewa watoto wa dada.

serikalini huko matoto ya viongozi yanapenyezwa kilaini, uozo mtupu dadako ameolewa na waziri wa fedha malalamiko ya kazi utayaskia kwa wenzako tu
 
Elimu ni muhimu sana ila inategemeana na mindset yako, Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa mateso makubwa bora asome shule za kawaida sana
Issue sio shule ya bei au ya Bure ni anasoma nini kitakachomletea matokeo mazuri in future yepi? Mfano unataka mtoto awe engineering unajua hapo itajlhitajika PCM sasa unaanza kusaka shule bora kuanzia O level ambayo ipo vizuri masuala ya fizikia,kemia na hesabu akimaliza I level unampeleka nzuri ya A level ambayo iko vizuri kwenye PCM ikiwa ya serikali nzuri sawa ikiwa ya private nzuri sawa. lakini hakikisha ni nzuri.Usiangalie bei tu cheap maisha ni sacrifice pia usidhani mtelezo tu. TOTO unalibwaga shule yeyote litajijua wewe unakanyaga pombe. Utazalisha toto bwege at the end of the day ambalo litakuwa mzigo kwako likiwa jitu Zima
 
Back
Top Bottom