Waliokuwa wanasema SGR ya Kenya ni mtungi wa chang'aa, ona mtungi unabeba double stack. Jambo ambalo jirani hawana

Waliokuwa wanasema SGR ya Kenya ni mtungi wa chang'aa, ona mtungi unabeba double stack. Jambo ambalo jirani hawana

Yani hapa ni CHONGO NA KENGEZA

Sasa ni maajabu kwa jinsi mwenye CHONGO anavomcheka mwenye KENGEZA!


Maana mwisho wa siku MCHINA lazima ATUBAKE tuu no way out...

Na hakuna kujisifu maana mpaka hapa tulipofika NI KWA NEEMA tu!
 
Those must be empty containers!

Maumivu ya roho.

sgr.png

sgr1.jpeg
 
Double stack is possible kama railway sio electric, maana itabidi locomotives ziwe na pantographs ndefu sana na hiyo siyo kitu kizuri kwenye stability.. sisi TZ tumechagua electric na ndio maana hatuhangaiki na double stacking.. nyie bado mpo 1970s na malocomotive ya diesel..

Marekani wanaitumia sana double stacking kwa kuwa sehemu kubwa ya reli zao sio electric..
 
Double stacking is realy not an advanced technology, the towing power is what is the determinant,Electric Trains have more Torque than Diesel-Electric locomotives..They can tow more containers at a faster speed
 
Double stack is possible kama railway sio electric, maana itabidi locomotives ziwe na pantographs ndefu sana na hiyo siyo kitu kizuri kwenye stability.. sisi TZ tumechagua electric na ndio maana hatuhangaiki na double stacking.. nyie bado mpo 1970s na malocomotive ya diesel..

Marekani wanaitumia sana double stacking kwa kuwa sehemu kubwa ya reli zao sio electric..
Kiujumla ungehitimisha umasikini mbaya sana.
 
Back
Top Bottom