Tetesi: Waliokuwa wapangaji wa NIC Mikocheni na Masaki wafukuzwa bila kupewa notice

Tetesi: Waliokuwa wapangaji wa NIC Mikocheni na Masaki wafukuzwa bila kupewa notice

Safi sana. Hiyo ndiyo dawa ya wapenda vya dezo. Wakati wengine tunaumia kulipa kodi kwenye nyumba za kupanga wao wakae dezo? Sio kwa zama hizi. Wakajenge za kwao kama wanapenda kukaa bure.
Sana sana, kujifanya wanakaa uzunguni kumbe hata kodi hawalipi, wanang'ang'ania tu nyumba za watu, fundisho kwa wapangaji..
 
Safi sana. Hiyo ndiyo dawa ya wapenda vya dezo. Wakati wengine tunaumia kulipa kodi kwenye nyumba za kupanga wao wakae dezo? Sio kwa zama hizi. Wakajenge za kwao kama wanapenda kukaa bure.
Hata akijenga yake, bado hawezi kuishi bure.
WaTz tumezoea sana vitu vya burebure na kutumia udhaifu wa sheria za kizamani kuendeleza nia zao ovu.
Sasavwamekumbana na wajuaji wenzao.
 
Safi sana. Hiyo ndiyo dawa ya wapenda vya dezo. Wakati wengine tunaumia kulipa kodi kwenye nyumba za kupanga wao wakae dezo? Sio kwa zama hizi. Wakajenge za kwao kama wanapenda kukaa bure.
Tena wamekaa bure katika hizo nyumba bila hata kulipa Kodi kwa muda mrefu sana. Watanzania sijui kwa nini tunapenda ubwete wallahi!
 
Back
Top Bottom