Waliokuwa watuhumiwa, warasmishwe kuwa Walinzi Chadema

Waliokuwa watuhumiwa, warasmishwe kuwa Walinzi Chadema

URIO afukuzwe jeshi,,, ni snitch...

Watu type yake vitani hawafai,, wakidakwa watatoa siri zote za kambi...

Hana Credibility hio.

Nani kama Lijenje? Nani kama Komando Mhina?

Au nani kama hawa hapa?

IMG_20220304_203227_555.jpg


Kwa hakika Mola atawalipa.
 
Makomando hawa walionyanyasika bila ya kutetereka na Mh. Mbowe, ni wakati wa kuutambua mchango wao usio kifani na kuwalipa ipasavyo.

Walinyanyasika na kuhukumiwa wakiwa kwenye harakati zao kujipatia ajira (VIP Protection). Na wapewe ajira hizo sasa.

Mohammed Ling'wenya, Adam Kasekwa, Khalfan Bwire bila kumsahau Komando Mhina na wenzao wamejipambanua kuwa ni wazalendo kweli kweli.

View attachment 2138932

Makomando hawa waliamini katika haki, wameishi katika haki na kudumu katika haki.

Kwa hakika vita vilivyo vizuri wamevipiga na hatimaye mwendo wameumaliza wakiwa washindi!

Hawa watu ni mashujaa wenye kuweza kuaminika kuwalinda viongozi wetu salama pasipokuwa na shaka, wakiwamo kina Mh. Lissu walio njiani kurejea nyumbani karibuni.

Nani kama makomando hawa?

Yuko wapi Moses Lijenje? Yuko wapi mzee Kakobe?
Hawa jamaa ni makomandoo walio iva hasa Hasa Lingw'enya yule jamaa ni hatari sana ,kwani anauwezo mkubwa sana wakuyasoma mazingira na kuyafanyia kazi.Kwani kwenye mahabusu yote alizowekwa. Aliweza kusoma mazingira kwa haraka na kuzoea na na wahusika kama vile siyo mfungwa kwahiyo akawa anapata mahitaji muhimu na kumsaidia mwenzake huku wote wakiwa ndani.
 
Hawa jamaa ni makomandoo walio iva hasa Hasa Lingw'enya yule jamaa ni hatari sana ,kwani anauwezo mkubwa sana wakuyasoma mazingira na kuyafanyia kazi.Kwani kwenye mahabusu yote alizowekwa. Aliweza kusoma mazingira kwa haraka na kuzoea na na wahusika kama vile siyo mfungwa kwahiyo akawa anapata mahitaji muhimu na kumsaidia mwenzake huku wote wakiwa ndani.

Commando Ling'wenya ndiye aliyemwona yule Luteni akilizwa kwenye magari mabovu.

Commando Ling'wenya hakumwacha peke yake Adamoo akiwa roughed na kina Kingai.

Commando Ling'wenya alifuatilia Adamoo akipelekwa kuteswa, akirudishwa na hata alipokuwa Selo, Moshi.

Commando Ling'wenya alifuatilia kujua Adamoo alikuwa naye kwenye gari moja kuja Dar.

Commando Ling'wenya alifuatilia kujua Adamoo yuko na pia Tazara.

Commando Ling'wenya alikuwa shahidi wa utetezi kwake Adamoo.

Commando Ling'wenya ni rafiki wa kweli wa Commando Kasekwa na Mh. Mbowe.

Hakuna wawili wanaweza kuwa sawa.

Kwa hakika Commando Ling'wenya ni baba lao.
 
Kwa ninavyojua, siyo Lijenje, ni Moses Lujenje, nilikuwa naye kombania moja recruit course Makutupora mwaka 2001 Hadi 2002 tulipotenganishwa... Since then ndo nimesikia story yake kwenye kesi ya mbowe

Kina sisi tunaambiwa na kusoma kwa ufasaha kwenye machapisho mbalimbali:

IMG_20220305_132910_987.jpg


Majina ya kibantu haya tena.

Ulimi hauna mfupa yawezekana wewe au wanao tuhabarisha ndiyo waliojikwaa.

Kumbuka kujikwaa si kuanguka, la msingi yuko mzee Kakobe (pichani)?
 
Shetani akiruhusiwa kutamalaki anajiona ni mwema hana kosa wala dhambi.
 
Back
Top Bottom