Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
URIO afukuzwe jeshi,,, ni snitch...
Watu type yake vitani hawafai,, wakidakwa watatoa siri zote za kambi...
Hana Credibility hio.
Hawa jamaa ni makomandoo walio iva hasa Hasa Lingw'enya yule jamaa ni hatari sana ,kwani anauwezo mkubwa sana wakuyasoma mazingira na kuyafanyia kazi.Kwani kwenye mahabusu yote alizowekwa. Aliweza kusoma mazingira kwa haraka na kuzoea na na wahusika kama vile siyo mfungwa kwahiyo akawa anapata mahitaji muhimu na kumsaidia mwenzake huku wote wakiwa ndani.Makomando hawa walionyanyasika bila ya kutetereka na Mh. Mbowe, ni wakati wa kuutambua mchango wao usio kifani na kuwalipa ipasavyo.
Walinyanyasika na kuhukumiwa wakiwa kwenye harakati zao kujipatia ajira (VIP Protection). Na wapewe ajira hizo sasa.
Mohammed Ling'wenya, Adam Kasekwa, Khalfan Bwire bila kumsahau Komando Mhina na wenzao wamejipambanua kuwa ni wazalendo kweli kweli.
View attachment 2138932
Makomando hawa waliamini katika haki, wameishi katika haki na kudumu katika haki.
Kwa hakika vita vilivyo vizuri wamevipiga na hatimaye mwendo wameumaliza wakiwa washindi!
Hawa watu ni mashujaa wenye kuweza kuaminika kuwalinda viongozi wetu salama pasipokuwa na shaka, wakiwamo kina Mh. Lissu walio njiani kurejea nyumbani karibuni.
Nani kama makomando hawa?
Yuko wapi Moses Lijenje? Yuko wapi mzee Kakobe?
Hawa jamaa ni makomandoo walio iva hasa Hasa Lingw'enya yule jamaa ni hatari sana ,kwani anauwezo mkubwa sana wakuyasoma mazingira na kuyafanyia kazi.Kwani kwenye mahabusu yote alizowekwa. Aliweza kusoma mazingira kwa haraka na kuzoea na na wahusika kama vile siyo mfungwa kwahiyo akawa anapata mahitaji muhimu na kumsaidia mwenzake huku wote wakiwa ndani.
Kwa ninavyojua, siyo Lijenje, ni Moses Lujenje, nilikuwa naye kombania moja recruit course Makutupora mwaka 2001 Hadi 2002 tulipotenganishwa... Since then ndo nimesikia story yake kwenye kesi ya mboweNani kama Lijenje? Nani kama Komando Mhina?
Au nani kama hawa hapa?
View attachment 2139529
Kwa hakika Mola atawalipa.
Kwa ninavyojua, siyo Lijenje, ni Moses Lujenje, nilikuwa naye kombania moja recruit course Makutupora mwaka 2001 Hadi 2002 tulipotenganishwa... Since then ndo nimesikia story yake kwenye kesi ya mbowe
Sema jamaa alikuwa analipenda sana jeshi huyu mwamba.Mkuu Takison, tuungane sote kuwataka IGP Sirro na ACP Kingai kutufahamisha, aliko mzee Kakobe.
View attachment 2139616
View attachment 2139617
View attachment 2139619
View attachment 2139621
Sema jamaa alikuwa analipenda sana jeshi huyu mwamba.
Utasiikia Mabeyo amewasamehe warudi kuripoti kambini 😄😄
Je kina Kingai na Mahita wataishi milele katika ufalme wao? Yule mwenzao mmoja breki za mkojo na nnya zilishaachia HAWAJIFUNZI!!!???Daah...jamaa wamenyooshwa na kina mahita..
Anyway acha maisha yaendelee
God is good all the time..
yote yanawezekana bongo hii!!Utasiikia Mabeyo amewasamehe warudi kuripoti kambini 😄😄
Chadema hawaaminiki...
Ni wakati sasa serikali iwape pambano la ngumu za kavu kavu hawa makomandoo na akina mahita, ZIPIGWE