- Thread starter
- #41
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo linawezekanaUtasiikia Mabeyo amewasamehe warudi kuripoti kambini [emoji1][emoji1]
Sio kwamba Kakobe wamemficha wao, them the satany companyMakomando hawa walionyanyasika bila ya kutetereka na Mh. Mbowe, ni wakati wa kuutambua mchango wao usio kifani na kuwalipa ipasavyo.
Walinyanyasika na kuhukumiwa wakiwa kwenye harakati zao kujipatia ajira (VIP Protection). Na wapewe ajira hizo sasa.
Mohammed Ling'wenya, Adam Kasekwa, Khalfan Bwire bila kumsahau Komando Mhina na wenzao wamejipambanua kuwa ni wazalendo kweli kweli.
View attachment 2138932
Makomando hawa waliamini katika haki, wameishi katika haki na kudumu katika haki.
Kwa hakika vita vilivyo vizuri wamevipiga na hatimaye mwendo wameumaliza wakiwa washindi!
Hawa watu ni mashujaa wenye kuweza kuaminika kuwalinda viongozi wetu salama pasipokuwa na shaka, wakiwamo kina Mh. Lissu walio njiani kurejea nyumbani karibuni.
Nani kama makomando hawa?
Yuko wapi Moses Lijenje? Yuko wapi mzee Kakobe?
🤣🤣🤣Utasiikia Mabeyo amewasamehe warudi kuripoti kambini 😄😄
Duu nani tena huyo. Tufungulie code mkuu wengine hatumfahamu.Je kina Kingai na Mahita wataishi milele katika ufalme wao? Yule mwenzao mmoja breki za mkojo na nnya zilishaachia HAWAJIFUNZI!!!???
Sio kwamba Kakobe wamemficha wao, them the satany company
Nataka kujua exactly hapa ni ni Adam Kasekwa, Mohamed Lig'wenya na Nani Khalfan Bwire?
Duu nani tena huyo. Tufungulie code mkuu wengine hatumfahamu.
Nataka kujua exactly hapa ni ni Adam Kasekwa, Mohamed Lig'wenya na Nani Khalfan Bwire?
Asante sana
Sostenes SwillaShahidi wa mwisho wa gavument ambaye kila saa alikuwa akikimbilia msalani...
Lijenje yupo dar ukonga ni mchungaj wa kanisaYule mwenzao (Lijenje) yupo wapi?....mbona hakuonekana mahakamani?
Lijenje yupo dar ukonga ni mchungaj wa kanisa
Hilo linawezekana
Kwa maana hiyo ni uthibitisho tosha pasipo kuacha chembe ya shaka kwamba walihusika katika kula njama za kutenda matendo ya kigaidi pamoja na mwenyekiti wa CDM kama tuhuma zilivowasilishwa mahakamani?Makomando hawa walionyanyasika bila ya kutetereka na Mh. Mbowe, ni wakati wa kuutambua mchango wao usio kifani na kuwalipa ipasavyo.
Walinyanyasika na kuhukumiwa wakiwa kwenye harakati zao kujipatia ajira (VIP Protection). Na wapewe ajira hizo sasa.
Mohammed Ling'wenya, Adam Kasekwa, Khalfan Bwire bila kumsahau Komando Mhina na wenzao wamejipambanua kuwa ni wazalendo kweli kweli.
View attachment 2138932
Makomando hawa waliamini katika haki, wameishi katika haki na kudumu katika haki.
Kwa hakika vita vilivyo vizuri wamevipiga na hatimaye mwendo wameumaliza wakiwa washindi!
Hawa watu ni mashujaa wenye kuweza kuaminika kuwalinda viongozi wetu salama pasipokuwa na shaka, wakiwamo kina Mh. Lissu walio njiani kurejea nyumbani karibuni.
Nani kama makomando hawa?
Yuko wapi Moses Lijenje? Yuko wapi mzee Kakobe?
Sijajua kwa nini haukwenda kutoa ushahidi kama ndivyo ubongo wako unakutuma uwaze?Kwa maana hiyo ni uthibitisho tosha pasipo kuacha chembe ya shaka kwamba walihusika katika kula njama za kutenda matendo ya kigaidi pamoja na mwenyekiti wa CDM kama tuhuma zilivowasilishwa mahakamani?
Kwa maana hiyo ni uthibitisho tosha pasipo kuacha chembe ya shaka kwamba walihusika katika kula njama za kutenda matendo ya kigaidi pamoja na mwenyekiti wa CDM kama tuhuma zilivowasilishwa mahakamani?