Waliokuwa watuhumiwa, warasmishwe kuwa Walinzi Chadema

Sio kwamba Kakobe wamemficha wao, them the satany company
 
Je kina Kingai na Mahita wataishi milele katika ufalme wao? Yule mwenzao mmoja breki za mkojo na nnya zilishaachia HAWAJIFUNZI!!!???
Duu nani tena huyo. Tufungulie code mkuu wengine hatumfahamu.
 
Kwa maana hiyo ni uthibitisho tosha pasipo kuacha chembe ya shaka kwamba walihusika katika kula njama za kutenda matendo ya kigaidi pamoja na mwenyekiti wa CDM kama tuhuma zilivowasilishwa mahakamani?
 
Kwa maana hiyo ni uthibitisho tosha pasipo kuacha chembe ya shaka kwamba walihusika katika kula njama za kutenda matendo ya kigaidi pamoja na mwenyekiti wa CDM kama tuhuma zilivowasilishwa mahakamani?
Sijajua kwa nini haukwenda kutoa ushahidi kama ndivyo ubongo wako unakutuma uwaze?
 
Kwa maana hiyo ni uthibitisho tosha pasipo kuacha chembe ya shaka kwamba walihusika katika kula njama za kutenda matendo ya kigaidi pamoja na mwenyekiti wa CDM kama tuhuma zilivowasilishwa mahakamani?

Kwamba ungekuwa jaji Yoachim Tiganga ungefunga mtu maisha sasa kwa sababu umepata uthibitisho wote wa kula njama?

Bure kabisa!

Yumkini wewe ni Kerubi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…