Waliomaliza form iv mwaka 2007 kushuka v/s waliomaliza form four 2008-2013.

Wanafunzi waliomaliza mwaka 2000 ndo hao peke yao ambo walikumbana na changamoto za mabadiliko Necta na wizara ya elimu kwa ujumla . Namaanisha hata style ya utunzi ilibadilishwa pamoja na usahihishaji.
 

Hilo la vitabu silikubali
Kuanzia 2008 hadi leo kumekuwa na utitiri wa vitabu vya kiada na ziada ambavyo havikidhi viwango kwa vile vimeandikwa na watu binafsi wenye lengo la kupata maslahi
Hata vile vilivyoandikwa na taasisi havina content inayojitisheleza
Vile vile hakuna taasisi inayodhibiti ubora wa vitabu
Kila shule hutumia vitabu vyake kwa vile hakuna mwongozo wa vitabu vipi vitumiwe
Hali hii bado inaendelea hata sasa
 
Mpambano ni mkali kwelikweli!Sasa mi nadhan ipo siku tutakutana kwenye 'INTERVIEW'
 
Mtakaa mtabishana na kila mmoja kuvutia mwaka wake alofanya mitihani akijisifia ndio bora... Mpango mzima katika kumake money tu, tunasoma tutemgeze hela ya kuendelea na maisha, sasa kaeni mjisifie magamba mloyatia lamination kisha mfukoni ndururu huna, utakuwa mjing.a kichizi.
 
Napeperusha bendera ya 2007 kushuka chini enzi hizo unaambiwa u-define mpaka kwenye mathematics, aiseee shule ilikuwa zaman, kikwetism imewapoteza sana vijana
 

mkuu hapo kwenye namba.1 na 2 umedanganya
mm nimemaliza mwaka 2009,cc ndo 2likuwa wahanga wa physics with chemistry na 2lixoma hl somo 2kiwa form one mwaka 2006
darasa le2 ndo lilikuwa la mwisho kufanya mtihan wa form two mwaka 2007 na waliofel walikarr darasa
waliomaliza mwaka 2008,ndo wa kutiliwa mashaka kwan mitihan yao yote ilivuja na mingine kuokotwa masokon na stend,hisabat iliahirishwa lakn still ilivuja
mwaka 2009 wazir wa elim kipind icho j4 maghembe aliapa kutembea uchi kama mitihan ingevuja tena na kwel cha moto 2likiona kwan 2lifaulu kwa nguvu zetu wenyewe
mwisho madarasa yaliyopitishwa form two bila mtihan n kuanzia 2010 mpaka 2013
 
Mi nawashauri waliomaliza form iv kuanzia mwaka 2008 wawe wanaomba tuwafundshe TUISHENI baadhi ya masuala ya shule! Kuna vitu vingi sana hawajui! N.B- DIV IV.31 -2007,ni sawa na DIV III.31-2013.
 

wewe kweli wa 2008 ->
ndio nyinyi mlioanza kuandika 'X' badala ya 'S'
shame on you
 
Kama ni kelele tumepiga sana
Kelele zetu kama MAJI YA MOTO hayakawii kupoa
Serikali yetu kama pakacha bovu ukiziba huku kule kunavuja
Siku,miezi mwaka ,miaka inapita
Kelele, kelele , elimu duni,waalimu hawatoshi malipo kidogo,wanafunzi wanakaa chini madawati hakuna na sasa matokeo du???

Huduma za afya hoi ukiandikiwa asprin ukanunue dukani,Kina mama wanajifungulia chini hosptalini vitanda hakuna

Umeme mgao au unakatika katika bila sababu na bei juu

Polisi Mahakamani bila chochote file halionekani au kesi itapigwa tarehe hadi mashahidi wako watakuchoka kesi dismiss

Wimbo mmoja kila siku kelele hadi watawala wetu wametuchoka wanasema sisi watanzania mazuzu tutawachagua tu kwani
kama maji ya moto hatukawii kupoa
Ni kweli ngoma ya watoto haikeshi

Hebu na tukue mwakani uchaguzi tucheze ngoma ya watu wazima mpaka kuche giza limezidi
 

.
Kaka hebu tujaribu kuangalia na utungaji wa mitihani wenyewe!

.
Miaka ya hapo nyuma mtu unakutana kabisa na
define ..-------
.
Lakini hali ya sasa ina tisha mtu aliyesoma miaka ya 2005 serious kabisa mtihani wa miaka hii ya sasa utamsumbua tena sio kidogo...
.
Midomo yetu isiwe miepesi tu kusema siku hizi watoto wanabebwa.....
Angalieni na hali harisi mitihani ya siku hizi si ya kitoto!
.
Over
 
shule ya nyumbani kwenu ndo haikuwa na mtihani wa kidato cha pili kwa wale waliohitimu 2009,na je wewe ulipata div ya ajabu kuliko hao walionzia necta 2008 na kuendelea?kama ndivyo una nini na uko wapi ndo kitu kinachoangaliwa,au wewe div yako ilikuwa below dv 1 and above div 0?
 
Lecture mmoja wa Udsm nanukuu,endapo serikali itaendelea kuleta wanafunzi kama hawa mimi mwakani naacha kazi mana kujibu mitihani hawajui licha ya mafunzo na maelezo
 
watu wengne humu wanafki tu wanaongea vitu bila data,mim nmemalza 2009 na sis ndo tulikua watu wa mwisho kufanya mtihani wa 4m2,pia cc 4m1 physics with chemistry,alaf kufika mwez wa sita wakazigawanya tena,na pia mitihani yasasa hv inahitaji maarifa zaid kulko kukulil km mitihan ya zamani ilivyokua
 
compitence. v/s content!
hope ni rahisi sana ku-define kitu ikiwa umesoma na kukikariri, but ni ngumu sana kukielezea kitu endapo umekisoma na kukikariri tuu bila kukielewaa...!
Over .....!
 
kweli kabsa,form wa mwisho ni wale wa 2007 tu,kuanzia 2008 hapo majanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…