Waliombeza RC Makonda leo mmeumbuka

Fikira finyu kuwaza kwamba makonda kuna kitu amefanya kuwezesha ushindi huu? Labda tu kama kuna kitu amekifanya ni kwenda kuwabembeleza Uganda au kwa chochote kuwaomba walegeze. Kwa mawazo yako Uganda isingekuwa bado haija-qualify unafikiri wangekubali kufungwa kirahisi hivyo? Gool 3 uwafunge Uganda kirahisi hivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama walikuwa wa kutuachia, basi wangetuachia siku tuliocheza kwao kabla ya mzunguko huu! Hivi walitufunga mangapi kwao, vile?
That was a real competitive game. Qualification yao haikuwa assured.
Let us be honest. They have done us a favor.
 
Yaani mtu mzima na akili yake anataka eti Tanzania ishindwe kwenda Misri kushiriki AFCON kwa sababu kamati ya stars inaongozwa na Makonda!!.

Makonda asingezaliwa Tanzania isingekuwepo!!. Tanzania ni zaidi ya mtu mmoja mmoja. Unapoitakia mabaya maana yake wewe huna tofauti na mnafiki.

Na siku zote zawadi ya mnafiki huwa ni kutandikwa risasi, zamani enzi za Yesu na Mohamed mnafiki alikuwa anapigwa mawe mpaka anakufa.
 
ina maana alicheza... wachezaji wasifiwe kwa kujitoa kupambana.....vitu vingine tujaribu kutumia akili.....jamii forum is for great thinkers
 
Hivi kwa akili yenu Uganda wangekuwa hawaqualify leo wangekubali kufungwa?
Mkuu kwa akili yako ile mechi ya kwao tuliyopata sare (droo) walikuwa wamesha-qualify?
Mbona waliponea chupuchupu kufungwa kwao na stars hii hii?
 
Hongera serikali ya sisiemu ya wanyonge kwa kuivusha sitaz kwenda Afukoni! Maendeleo hayana vyama.
 
I hate CCM g*ys....! Kwao kila kitu ni siasa ili wapate ujiko wakuonesha kuwa Wapinzani si chochote......huu kwa kweli ni WENDAZIMU.....!!
Ni lazima watakuwa na ugonjwa wa kisiasa, sio bure.
 
Kumbuka uwanjani huwa kuna wachezaji 12!
Kama ni hivyo, kwanini sifa zinaenda kwa DAB pekee na si kwa mashabiki wote?! Ukweli ni kuwa hata PM alikuwa pale lakini DAB tu anaonekana ndiye aliyeleta ushindi. Hii sio sawa hata kidogo. Huyu mtu anatukuzwa kuliko uhalisia wake.
 
Things were obvious. Wapumbavu wanataka kuchukulia hapo points.
Waache wajichukulie points kwani hzo points hazidumu na wala haina nafasi kama historia iliyowekwa na Vijana wetu Taifa Stars hiyo itabaki milele na milele kukumbukwa sasa kwa nini niendelee kuteseka?
 
Kwa hili limenifanya nichukie siasa yaani kisa mtu au kikundi kimoja mtu uchukie mafanikio ya taifa lako ? ,kuwa mfiachama ni shida tupu yaani anaweza jitikeza hata mfadhili kujenga hospitali kijijini kwenu lakini ukaombea hata mradi huo usiwepo na ufe kisa mtu atachukulia points yaani bora watu wafe kwa kukosa huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…