Waliomfanyia hujuma Polepole wamedharaulika na kupuuzwa na watanzania. Polepole sasa ni shujaa mzalendo anayetetea maslahi ya Tanzania.

Waliomfanyia hujuma Polepole wamedharaulika na kupuuzwa na watanzania. Polepole sasa ni shujaa mzalendo anayetetea maslahi ya Tanzania.

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kila kona Tanzania watu wamewadharau na kuwaona ni wapuuzi na washamba kabisa. Kuvamia na kuvurumua gheto la mzalendo mtetezi wa taifa lenu?

Mmeshinda kutwa nzima mitandaoni wanasiasa wa upinzani na wahuni wa Ccm waliozoea kupiga madili. Mkipotosha juu ya Ky Jelly. Upuuzi mkubwa.

Leo hii kila kona ya Tanzania Polepole anaonekana ni shujaa mtetezi wa rasilimali za watanzania asiyeogopa na anayeweza kujenga hoja. Kwa ujumla watanzania wapo macho hivi leo.
 
Pole Polepole!
1639508641714.png
 
waliomfanyia hujuma ni wahuni wenzie.....wahuni wenzie wamemzidi maarifa, hana namna tena yakudeal zaidi ya kutafuta huruma kwa wananchi....

Wananchi wanahitaji umakini wasije kuingia kwenye mtego....Kuna watu wanataka kutembelea nyota ya JPM na kutumia mtaji wake kisiasa wakati ni wahuni tu waliotumia mgongo wa JPM kuishi na familia zao na kutesa wengine..
 
Hivi inahitajika mtu unywe pombe gani ili uweze kuandika haya? Hivi mbona mi nakunywaga sometimes pombe ila siwezi hata kufikiria uharo wa namna hivi?
Jamaa amekunywa pombe flani hivi inaitwa 'Samtata' , Hii pombe inatengenezwa kwa mayai viza, ukinywa hiyo unakua unajamba mapovu kama umemeza sabuni ya unga.
 
Back
Top Bottom