Waliomfanyia hujuma Polepole wamedharaulika na kupuuzwa na watanzania. Polepole sasa ni shujaa mzalendo anayetetea maslahi ya Tanzania.


 
Wachumia tumbo hoja zao zinawaonyesha wenyewe wajinga. Huwezi pambana na mtu msomi mzalendo wa kweli kwenye kutoa hoja zenye kutetea maslahi ya umma wa wananchi. Watu wameorodheshwa kama wezi wa mali za chama chao eti ndio wako kimbelembele kumpinga polepole. Waomini wakubwa wa umimi na ubinafsi wakubwa hadi wanaona kuibia chama chao na umma ni ujanja na ni halali.
Walaaniwe wote.
Chama cha kijamaa kinapaswa kua na wachambuzi wazuri wa mambo ya kijamii na watetezi wa maslahi ya wengi kwenye jamii. Sio kusemewa na watu walaku na wabinafsi.
 
Ngoja halmashauri kuu wakutane Jumamosi ndio tutajua kama ni shujaa au boigoi!
Unafikiri kamati kuu ya ccm ina watu wajinga kama bulembo. Wanamuelewa vizuri polepole na wala kwenye agenda yao huenda hata issue ya polepole isiwepo.
Anachosema polepole ndicho ambacho ccm kwa msimamo wa itikadi yake ya ujamaa na kujitegemea na sera zake wanatakiwa kufanya.
Kuna wachumia tumbo, nyumbu wafuata malisho, na kasuku wa kukariri na kuimba mistari ya kusifia ndio wanaharibu ccm.
 
Kila kona za wavuta bangi? 🙄
 
 
Ngoja halmashauri kuu wakutane Jumamosi ndio tutajua kama ni shujaa au boigoi!
Mjomba! Ww pia unapingana na polepole na kuungana na kina nape na bulembo wanafik wakubwa wale! Daaa! Kwel ww c sauti ya mtu aliae chooni sio nyikani kabisaa
 
Wafahamu zamani mtu bosi wa shirika la umma akifukuzwa kazi na ikitangazwa redioni ni lazima watasema "amefukuzwa kwa manufaa ya umma".

Yaani yule mtu akiendelea kuwepo pale basi taasisi, shirika au kampuni hiyo itaanguka maana ameitumia vibaya kiofisi, matumizi mabaya ya fedha na kutojali au "carelessness".

Hivyo hili neno kwa manufaa ya umma ni neno muhimu sana kwa kizazi cha sasa kufunzwa.

Kisha kuna neno Kwa Maslahi ya Taifa au "national Interests".

Hili neno Kwa Maslahi ya Taifa bado wengi wanalipuuzia kwa makusudi yaani "ignorance" na waendekeza uhuni ambao ndo auzungumzia bwana Polepole.

Kizazi cha sasa chapaswa kujifunza kwa moyo wote maneno haya mawili Maslahi ya Taifa na Kwa manufaa ya Taifa.

Kitu chochote kinohusiana na maneno haya mawili kinawahusu wananchi wa taifa husika na si kikundi fulani.

Leo hii Iran akitishiwa au Korea Kaskazini akitishiwa a nchi za magharibi, wao husema sisi tutalipua sehemu zote tunazofahamu ninyi mna maslahi yaweza kuwa ndani au nje ya nchi hizo.

Na wakisema hivyo nchi za magharibi hukaa kimya na maisha yaendelea.

Sasa hoja zozote zinazohusu maslahi ya taifa, Nishati, madini, miundombinu, mifumo ya afya, Chakula, kilimo ni sehemu ya maslahi ya taifa.

Yaani wananchi wa Tanzania wanastahiki kufahamu mtakabali wa maslahi ya taifa lao.

Wakijitokeza watu kuzungumzia masuala hayo wasibezwe waachwe na hio ndo demokrasia.

Bwana Polepole hayupo peke yake kuna kundi kubwa sana nyuma yake ambalo bado lina dukuduku la moyoni.

Ipo siku si mbali dukuduku hilo litatolewa.
 
Ila Polepole amekomaa kiakili,ana uwezo kuliko Nape tuseme ukweli. Nape mwili mkubwa ila utoto mwingi sana.
 

Kuna wana upuuzi mwingi sana.

Yaani hawajui au hawajali maslahi ya Taifa. Ukabila, chuki binafsi, maslahi binafsi unawasumbua.
 
Kuna wana upuuzi mwingi sana.

Yaani hawajui au hawajali maslahi ya Taifa. Ukabila, chuki binafsi, maslahi binafsi unawasumbua.
Tatizo kwa sasa ni namna ya kupata "compromize" ili kuendeleza yalokuwa tayari kwenye pipeline.

Ila dah! hawa jamaa kweli kuna wakati wajiuliza hawa ni watanzania wenzetu kweli hawa, wahuni.
 

Pole pole huyu huyu?

Your browser is not able to display this video.


Wacha maskhara mjomba.
 
Polepole bin kiroboto
 
Well said! Polepole sio mjinga!, Kama Mangula anapenda wanayofanya sasa hivi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…