Waliompiga mawe Askofu Gwajima kuhusu sintofahamu ya chanjo, njooni hapa. Mtalipa fidia gani kwa waathirika wa chanjo?

Waliompiga mawe Askofu Gwajima kuhusu sintofahamu ya chanjo, njooni hapa. Mtalipa fidia gani kwa waathirika wa chanjo?

Criterion

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
11,797
Reaction score
11,891
Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.

Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?

Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?

This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.




 
Wewe ulichanja? Kama ulichanja beba karatasi yako ya chanjo na damu yako iliyoganda kama ushahidi nenda mahakamani kadai hiyo fidia na kama hukuchanja unaumia nini sasa, waache waliochanja wasikitike wewe si mjanja hukuchanjwa kaa kimya tu

Eti this Is serious, serious kwako au?
 
Wewe ulichanja? Kama ulichanja beba karatasi yako ya chanjo na damu yako iliyoganda kama ushahidi nenda mahakamani kadai hiyo fidia na kama hukuchanja unaumia nini sasa, waache waliochanja wasikitike wewe si mjanja hukuchanjwa kaa kimya tu

Eti this Is serious, serious kwako au?
Wewe huna ufahamu wa mambo haya, na ndiyo sababu ulilmpiga mawe Gwajima. Ujinga huo huo, ndio umekufikisha hapa. Kwa msaada, tu kaa kimya. Acha wanasayansi waje wajadili. Wewe subiri utangaziwe cha kufanya na wanasiasa.

Nina wasiwasi wewe tayari umeshanyambulllishwa na kuwa kitu kingine ndioy sababu hata akili yako haiwezi kuelewa hata vitu vyepesi!.
 
Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu.
Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kkutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.
Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?
Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?
This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.



Kwanza nianze kusema tu kwamba the internet is flooded with lots of madness,so remember to choose wisely where to get information

Nlitegemea uje na matukio kadhaa ya wahanga hao wa chanjo na mpaka sasa wanaendelea vipi lakini katika hali isiyo ya kawaida umeweka clip ya mzungu flani hivi mwenye asili ya India ambaye katoa maelezo ya kile anachojua ila sio kinachotokea kwa waliochanja

Ndio chanjo ina changamoto nyingi,being positive or negative hili hakuna anayepinga lakini jaribu kuona intention ya hawa waliodevelop hizi chanjo za corona.Wengi wao walikuwa na nia ya kuokoa roho za watu(this is what everyone can tell, achilia mbali theory mbali mbali ambazo ziko backed up by those who call themselves religious people with the claim of anti-christ mark and issues related with the book of revelation and those economists who believe that it is all about business, but who knows).

Jambo ni kwamba ndio zinaweza kuwa na changamoto hasi nyingi kwa mwanadamu lakini kama lengo lilikuwa kuokoa roho za watu basi nawaza kwamba lawama kwao zisiwe nyingi si kwao tu bali na mamlaka zilizobariki matumizi ya chanjo kwa wanadamu.Ni kwamba dunia ilipatwa na janga ambalo kila mtu alijaribu kila alichoweza kunusuru uhai wa mwenzake and here we are.

Wanasayansi wamejaribu kuja na chanjo kama njia ya kupambana na hili tatizo na I do believe kwamba kama chanjo itakuwa na shida sana kwa watu bado itakuepo njia nyingine ya kutatua haya yote

Mwisho kabisa wahukumu waliotengeneza chanjo au mamlaka zilizopitisha matumizi ya chanjo pale tu utakapokuwa umeweza kupata ni nini kusudio lao kufanya hivyo
 
Huyo Gwajima unasemea yupi, maana yule Mtumishi tokea abatizwe kwa moto haonekani
 
Anachozungumza mleta mada ni kwamba, sawa watu walikuwa wanafanya jitihada ya kuwaokoa watu dhidi ya janga la corona, lakini nyuma ya pazia walikusudia kutimiza lengo lao walilokusudia. Lakini wadadisi waliolibaini hilo mapema walipotoa angalizo kuhusu madhara ya hizo vaccine na mpango wa nyuma ya pazia wa hao waleta chanjo, WALISHAMBULIWA NA KUONEKANA MAADUI.
 
Vita ya walami imemaliza corona,ndio mjiulize,juzi nilikua nacheck Citizen Kenya imeondoa agizo la utumiaji mask.
Hiyo corona Kuna vile tu.....
 
Anachozungumza mleta mada ni kwamba, sawa watu walikuwa wanafanya jitihada ya kuwaokoa watu dhidi ya janga la corona, lakini nyuma ya pazia walikusudia kutimiza lengo lao walilokusudia. Lakini wadadisi waliolibaini hilo mapema walipotoa angalizo kuhusu madhara ya hizo vaccine na mpango wa nyuma ya pazia wa hao waleta chanjo, WALISHAMBULIWA NA KUONEKANA MAADUI.
Kwahiyo hayo madhara ya chanjo ndio hayo aliyoweka Hapo kwenye kivideo Cha YouTube?
 
Wewe ulichanja? Kama ulichanja beba karatasi yako ya chanjo na damu yako iliyoganda kama ushahidi nenda mahakamani kadai hiyo fidia na kama hukuchanja unaumia nini sasa, waache waliochanja wasikitike wewe si mjanja hukuchanjwa kaa kimya tu

Eti this Is serious, serious kwako au?
Wewe utakuwa ulichanja kwa ukali huu si bure. Mungu akusaidie ndugu. Serikali ilishajitoa endapo aliyejanjwa akipata madhara.
 
Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.

Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?

Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?

This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.





Tuache kwanza tuko busy na Ukraine tumekubaliana na virusi vya Corona kuwa havitasambaa mpaka tumalizane na hili na ndio maana hatuyaongelei sasa
 
Back
Top Bottom