Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.
Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?
Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?
This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.
Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?
Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?
This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.