Waliompiga mawe Askofu Gwajima kuhusu sintofahamu ya chanjo, njooni hapa. Mtalipa fidia gani kwa waathirika wa chanjo?

Waliompiga mawe Askofu Gwajima kuhusu sintofahamu ya chanjo, njooni hapa. Mtalipa fidia gani kwa waathirika wa chanjo?

Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.

Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?

Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?

This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.





Gwajima ni Dokta?
 
Ntajie vitu walivyoleta wazungu visio kuwa na madhara kuanzua kuku bloiler, dawa za hospital, magari, ndege , computer, . Leta list .
 
Wewe ulichanja? Kama ulichanja beba karatasi yako ya chanjo na damu yako iliyoganda kama ushahidi nenda mahakamani kadai hiyo fidia na kama hukuchanja unaumia nini sasa, waache waliochanja wasikitike wewe si mjanja hukuchanjwa kaa kimya tu

Eti this Is serious, serious kwako au?
Mahakama ya Taifa lipi?
 
Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.

Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?

Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?

This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.




Mimi nimechanja na sijabadilika acheni uhuni.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Wewe ulichanja? Kama ulichanja beba karatasi yako ya chanjo na damu yako iliyoganda kama ushahidi nenda mahakamani kadai hiyo fidia na kama hukuchanja unaumia nini sasa, waache waliochanja wasikitike wewe si mjanja hukuchanjwa kaa kimya tu

Eti this Is serious, serious kwako au?
Mtu hajui lolote anaokoteza vihabari vya haters anaviita SERIOUS.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Cha muhimu pesa zimejengea madarasa, afya zenu mtajijua wenyewe...
 
"Mwisho kabisa wahukumu waliotengeneza chanjo au mamlaka zilizopitisha matumizi ya chanjo pale tu utakapokuwa umeweza kupata ni nini kusudio lao kufanya hivyo"
 
Chanjo yaanza kubadilisha utu wa binadamu. Ni kipindi cha ukweli na uwazi. Msiwafanye Watanzania mazezeta ama kwa makusudi, ama kwa kutokujua kwenu, ama kwa vyoyote vile.

Kama mnavyotoa takwimu za wachanjwaji, mnaweza kutoa takwimu za kweli za wahanga wanaoganda damu na madhara mengine?

Mlimbishia Gwajima mkampiga mawe, leo hii mnasemaje, pale wataalamu wanaposema sasa chanjo imeanza kuingilia ubinadamu wa wahanga?

This is serious. Naomba mjadili hapa kwa kumheshimu Mungu muumbaji, na siyo kulinda vyeo ama kufisha aibu kwa sababu, liko kubwa linakuja ambalo kabla haliljafika, unaweza kuona wewe bingwa na mjanja.






Kabla ya kupiga kelele zozote ilikuwa ni vyema kutafuta toleo zima la utafiti na kulisoma, kuliko kulishwa maneno na kuruka nayo. Hata biblia inaweza kutumiwa na mchawi atakavyo.

1: Utafiti uliofanyika ni in-vitro/kwenye maabara na pia ni pre-clinical. Kwa kutumia ini Huh7. Haijafika hata clinical stage.

2: Dose iliyotumika kwa seli za ini husika ni kubwa ukilinganisha na dose ya kawaida ya chanjo. Ambayo wao pia wanasema itahitaji kunyambulishwa zaidi/kutolewa maelezo sahihi.

3: Imesharipotiwa na Pfizer na BioNTech kuwa asilimia 18 (18%) ya dose ya chanjo/dawa inaenda kwenye ini. Hilo linajulikana.

4: Tafiti zimeshaonyesha kuwa virusi vya SARS-Cov2 RNA vinaweza kuingilia mfumo wa DNA ya seli kwa mtindo wa Reverse-transcriptase. Nasisitiza VIRUSI na SI CHANJO ya mRNA.


5: Chanjo ya BNT162b2 ni sehemu ya SARS-Cov2 inaweza pia kujishikiza kwenye DNA kwa mtindo uleule.

MALENGO YA UTAFITI

1: Kuangalia/demonstrate kama BNT162b2/chanjo ina uwezo wa kuingia kwenye seli za ini na kwa njia ipi kwa kiasi gani?

2: Athari/demonstrate ya BNT162b2/chanjo kwenye Reverse Transcriptase Long Interspersed Nuclear Element-1 (LINE-1) na kiasi cha protein husika.

3: Kutafuta/demonstrate Reverse BNT162b2 DNA kwenye seli za Huh7/ini husika.

Majibu hapo juu yote yamepatikana ni kweli. Kinachofuata/unachohutaji kujua kabla ya kelele ni:

1: Je mabadiliko haya ni ya kudumu na kwa kiasi gani?

2: Mabadiliko haya yana-athiri ufanyaji kazi wa seli husika?

3: Mabadiliko haya yanaweza kusababisha vitu kama KANSA na au kuzaliana na kugeuka sumu kwa DNA ya seli za mwanadamu?

4: Swali pia litakuja kuwa kati ya aliyepata half impact ya Covi (chanjo) na ku-control multiplication na aliyepata Covid full range impact nani atapata athari zaidi kutokana na athari ya kila kimoja?

NB: Haya yanayozungumzwa hapa yanahusu pia walioambukizwa Covid, na kwa tafiti za mwanzo ililenga kujua kwa nini wagonjwa wa Covid waliendelea kuwa na majibu positive kwa kipimi cha PCR kwa muda mrefu kidogo baada ya maambukizi/kuumwa.

Kwenye utafiti huu, hakuna sehemu wamesema mtu atageuka ZOMBI au HATAZAA nk.

Tujisomee haya mambo.
 
Kabla ya kupiga kelele zozote ilikuwa ni vyema kutafuta toleo zima la utafiti na kulisoma, kuliko kulishwa maneno na kuruka nayo. Hata biblia inaweza kutumiwa na mchawi atakavyo.

1: Utafiti uliofanyika ni in-vitro/kwenye maabara na pia ni pre-clinical. Kwa kutumia ini Huh7. Haijafika hata clinical stage.

2: Dose iliyotumika kwa seli za ini husika ni kubwa ukilinganisha na dose ya kawaida ya chanjo. Ambayo wao pia wanasema itahitaji kunyambulishwa zaidi/kutolewa maelezo sahihi.

3: Imesharipotiwa na Pfizer na BioNTech kuwa asilimia 18 (18%) ya dose ya chanjo/dawa inaenda kwenye ini. Hilo linajulikana.

4: Tafiti zimeshaonyesha kuwa virusi vya SARS-Cov2 RNA vinaweza kuingilia mfumo wa DNA ya seli kwa mtindo wa Reverse-transcriptase. Nasisitiza VIRUSI na SI CHANJO ya mRNA.


5: Chanjo ya BNT162b2 ni sehemu ya SARS-Cov2 inaweza pia kujishikiza kwenye DNA kwa mtindo uleule.

MALENGO YA UTAFITI

1: Kuangalia/demonstrate kama BNT162b2/chanjo ina uwezo wa kuingia kwenye seli za ini na kwa njia ipi kwa kiasi gani?

2: Athari/demonstrate ya BNT162b2/chanjo kwenye Reverse Transcriptase Long Interspersed Nuclear Element-1 (LINE-1) na kiasi cha protein husika.

3: Kutafuta/demonstrate Reverse BNT162b2 DNA kwenye seli za Huh7/ini husika.

Majibu hapo juu yote yamepatikana ni kweli. Kinachofuata/unachohutaji kujua kabla ya kelele ni:

1: Je mabadiliko haya ni ya kudumu na kwa kiasi gani?

2: Mabadiliko haya yana-athiri ufanyaji kazi wa seli husika?

3: Mabadiliko haya yanaweza kusababisha vitu kama KANSA na au kuzaliana na kugeuka sumu kwa DNA ya seli za mwanadamu?

4: Swali pia litakuja kuwa kati ya aliyepata half impact ya Covi (chanjo) na ku-control multiplication na aliyepata Covid full range impact nani atapata athari zaidi kutokana na athari ya kila kimoja?

NB: Haya yanayozungumzwa hapa yanahusu pia walioambukizwa Covid, na kwa tafiti za mwanzo ililenga kujua kwa nini wagonjwa wa Covid waliendelea kuwa na majibu positive kwa kipimi cha PCR kwa muda mrefu kidogo baada ya maambukizi/kuumwa.

Kwenye utafiti huu, hakuna sehemu wamesema mtu atageuka ZOMBI au HATAZAA nk.

Tujisomee haya mambo.
Usijifariji. This is scientific research. Scientists don't conclude without pieces of evidence but scientifically are able to see the end results.
Haya maswali, walipashwa kujiuliza wapiga debe wa chanjo badala ya kuwaambia watu wajinga, huku wakijua ni wajinga kwamba chanjo haina madhara.
Kwa kuprove ujinga wao juu ya wananchi wanaowangoza, wengine wakaenda hadi kujidhalilisha eti anatest side effects za chanjo kwa ufanisi wa kingono!. Hii siyo fedheha?

BTW, majibu haya yalitakiwa yasubiriwe kwenye laboratory rats na si kwa binadamu. Na hii ndio ilikuw ahoja ya Gwajima.
Wewe unatambua kuna so many hypothesis ambazo, huwezi kuziru rule out nje ya maabara.

Vipi pale zinakuwa ni lifetime effects?
DNA za chanjo zitakapokuwa tofauti na za Mungu, unakombine pamoja kinatokea nini? Baada ya muathirika, anaoa ama kuoelewa na mtu mwenye namna nyingine wanazaa kitu gani?
Ikitokea katika muunganiko mtoto mmoja anatokea kuwa na dna za chanjo tu, anakuwa ni kiumbe gani?
Please be human, heavens will honor you!.

Mimi ni muhanga wa thrombosis ya chanjom na wala si suala la siasa wala mjadiliano ya kunogesha bao.. Waganga wanakuambia hawana namna labda uende ukatafute Mungu!. Unataka kusemaje ndugu yangu? Omba yasikukute!.
 
Back
Top Bottom