je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 2,022
- 3,919
Moderator naomba uzi wangu usiunganishwe na uzi mwingine sehemu yeyote. Tafadhali.
Niende kwenye mada hapo juu. Katika hii mission ya kumdhuru huyu mzee ambae hakuwa na impact yeyote kwenye nchi bali alikuwa na impact katika maisha yake na watu wake waliomzunguka .
Nipende kusema kwamba hawa waliochora ramani wamekurupuka na kumuua walii wa Allah na kama mnavyojua watu wa TANGA nongwa ndio mausha yao ya kila siku.
Napenda kusema tu hawa wauwaji sijui kama Christmas watakula na wenzao lazima na wao watatangulizwa akhera tu au kutiwa kichaa na kuanza kuokota makopo
Kuna kitu kinaitwa muma hao wataenda kushitakiwa kwa mungu mana hakuna pakukimbilia zaidi
Nyie vijana mnaolipwa laki 4 mnatumiwa na wanasiasa kwa maslahi yao basi kitakuta kitu ambacho kitamkumba aliewatuma mpaka nyie watekelezaji wa mwisho. Familia zenu hazitakaa ziamini kitakachowapata.
TANGA bado wazee wa vitabu wapo kwahiyo nyie vijana wenye tamaa ambao mmeahidiwa vyeo basi dawa yenu inachemka wala haiko mbali
RIP IN ADVANCE VIJANA MLIOFANYA MAUWAJI
Nimesema haya kuna kisa kilitokea kule njia ya mtamba suala wanajeshi watatu walipiga raia mmoja akaenda kufia njiani basi bwana ndugu zake na yule raia wakakaa kitako na kufanya yao basi wale wajeda waliompiga walikufa wote bila kuguswa na mtu. HIKI NDIO KINAENDA KUWATOKEA HAWA WALIO MUUA MZEE ALI MOHAMEDI
kisa cha pili kuna brother alimwagiwa tundikali wakati anatoka kaZini basi babu yeke akasema tulia kijana tuwafundishe adabu wazazi wao.
Kikaenda kupigwa kitu basi wale walio husika kumwagia tindikali brother yule walikufa wote kwa wakati unaokaribiana.
Nisiwachoshe ila vijana vijana wameyakanyaga.
Niende kwenye mada hapo juu. Katika hii mission ya kumdhuru huyu mzee ambae hakuwa na impact yeyote kwenye nchi bali alikuwa na impact katika maisha yake na watu wake waliomzunguka .
Nipende kusema kwamba hawa waliochora ramani wamekurupuka na kumuua walii wa Allah na kama mnavyojua watu wa TANGA nongwa ndio mausha yao ya kila siku.
Napenda kusema tu hawa wauwaji sijui kama Christmas watakula na wenzao lazima na wao watatangulizwa akhera tu au kutiwa kichaa na kuanza kuokota makopo
Kuna kitu kinaitwa muma hao wataenda kushitakiwa kwa mungu mana hakuna pakukimbilia zaidi
Nyie vijana mnaolipwa laki 4 mnatumiwa na wanasiasa kwa maslahi yao basi kitakuta kitu ambacho kitamkumba aliewatuma mpaka nyie watekelezaji wa mwisho. Familia zenu hazitakaa ziamini kitakachowapata.
TANGA bado wazee wa vitabu wapo kwahiyo nyie vijana wenye tamaa ambao mmeahidiwa vyeo basi dawa yenu inachemka wala haiko mbali
RIP IN ADVANCE VIJANA MLIOFANYA MAUWAJI
Nimesema haya kuna kisa kilitokea kule njia ya mtamba suala wanajeshi watatu walipiga raia mmoja akaenda kufia njiani basi bwana ndugu zake na yule raia wakakaa kitako na kufanya yao basi wale wajeda waliompiga walikufa wote bila kuguswa na mtu. HIKI NDIO KINAENDA KUWATOKEA HAWA WALIO MUUA MZEE ALI MOHAMEDI
kisa cha pili kuna brother alimwagiwa tundikali wakati anatoka kaZini basi babu yeke akasema tulia kijana tuwafundishe adabu wazazi wao.
Kikaenda kupigwa kitu basi wale walio husika kumwagia tindikali brother yule walikufa wote kwa wakati unaokaribiana.
Nisiwachoshe ila vijana vijana wameyakanyaga.