Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Jeshi la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu watano waliokuwa wanajifanya waganga wa kienyeji kwa tuhuma za mauaji ya mwalimu Monica Patrick (31) mkazi wa Itilima mkoani Simiyu baada ya kumuibia fedha shilingi milioni 9.5 na kisha kumnyonga.
Imeelezwa marehemu alifika mkoani mara kwa madai ya kumfanyiwa maombi ya kumsaidia katika biashara yake ya madini.
Imeelezwa marehemu alifika mkoani mara kwa madai ya kumfanyiwa maombi ya kumsaidia katika biashara yake ya madini.