Waliondamana Dar es Salaam kupinga mkataba wa bandari wakamatwa na polisi. Mratibu wa maandamano na wenzake 10 wanahojiwa na Polisi

Maandamano uchwara ,angalia huko Tripoli ,Cairo na Benghaz watu wamechafukwa wameshawahi kutoa mpaka marais madarakani.

#KataaMaandamano #MaandamanoNiUhalifu
Adriz,tupe maoni kama haya siku wazanzibar wakiandamana kujitoa ktk muungano.
Nitakukumbusha.
 
Wapumbavu mpo wengi sana bongoland
one of direct qualification ya kua mwanachadema ni kuamini kwamba kuropoka matusi, kujiona unajua sana kuliko wengine na kuamini unachofikiria ndio sahihi ndio AKILI..... Kwahiyo sikushangai huo ni utamaduni wenu.
 
kwahiyo hadi watu wa Nangurukuru, Ileje na Itipingi Njombe nao waende wakaandamane ?
 
Yamefanikiwa sana kwani yamevunja propaganda ya udini, Kuna watu mpaka viongozi wa dini walikuwa wanasema rais anapingwa sababu ya udini lakini miongoni mwa walioandamana ni kutoka dini yake
 
Kuwategemea watanganyika kwenye maandamanonyankudai haki ni sawa na kusubiri mbuzi atage yai!

Naamini wao waliamini wakiingia barabarani wataungwa mkono na watanganyika wengine ili maandamano yashike hatamu lakini mambo yamekuwa tofauti sana wakajikuta kama walikuwa 10 walio toka na maandamano wamebaki 10 hao hao hakuna mtu aliye ongezeka hata mmoja.
 
Chile the social, economic, and political laboratory of the world

2023 Tanzania imeingia katika maabara ya dunia ikionesha kuwa ni mwanzo mzuri kisiasa kwa vijana wake wameweza kuingia barabarani kuonesha kutokubaliana na siasa za kuifanya Tanzania iwe eneo la mabeberu kuingia na kuichezea mali za taifa milele.

Hali hii mpya ya kisiasa itaendelea kuwa endelevu hadi watawala watapotambua kuwa wamefanya makosa kuingia katika mikataba ya kibeberu na ukoloni mkongwe.

Jambo la kutia moyo ni kuona upingaji wa sera hizi za serikali sio tu umeingia barabarani kupitia maandamano lakini pia sauti zinapazwa kutoka kila kona huku wazee wasomi kama Profesa Haruna Lipumba, Profesa Anna Tibaijuka, wachambuzi waandishi wasomi kina Jenerali Ulimwengu, wazee kina Stephen Wassira na great thinkers wa JF vijana wote wanaendelea kupaza sauti kwa kupitia radio, televisheni, mijadala na mitandao hii inaonesha upinzani dhidi wa kugawiwa eneo la nchi yetu ni endelevu

Raia wote wakubwa kwa wadogo, kina mama kwa kina baba wamejitokeza kuonesha vuguvugu hili litaendelea kuchemka na kutokota kwa muda mrefu hadi kuwachoma watawala na bunge lao pia serikali hadi wasitishe hili jambo na kuutupilia mbali kaa hili la moto linalounguza la mkataba mbovu

Aluta Continua !

Gabriel Boric won Chile's presidential election in December 2021

 
Maandamano yeyote ni upuuzi na uhalifu hata Waislamu wakiandama bado nitafbakia katika kauli hiyo.

#KataaMaandano#NiUhalifu
Niliongelea wazanzibari. Ila nitakukumbusha kauli yako hii.
 
pole zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…