Walionusurika wasimulia jinsi Boko Haram walivyowachinja wakulima

Ina maana hii habari huiamini.
 
Kama ni kweli: motive. Ya Buhari ni nini?, Ni kupata fedha kitoka kwenye biashara za hao wanamgambo!? Au ni kupunguza population ya wasio waislam!?
 
Kwanza kiini cha haya yote ni nini?Naona mnawalaumu boko haramu ,sijui dini ,ohh yaani tutafute mzizi wa tatizo .Juzi limeteuliwa Baraza la mawaziri niliona maoni mengi kuhusu namna Baraza lilivyopendelea juu ya udini na haya maneno yanakwendaaaaaa halafu yatachokwa kwa baadhi ya watu huku watu wakifurahi kwa vijembe na kejeli lakini wanasahau nchi ni ya watanzania wote vizazi vijavyo kama hali hii itaendelea huko makaburini 2090 mtakuja kujibu maana hapo Nigeria kwa Sasa naona Majibu wanapata kwa vitendo ,tujiulize mara mbili kuna nini kwa weusi wenzetu
 
Kama ni kweli: motive. Ya Buhari ni nini?, Ni kupata fedha kitoka kwenye biashara za hao wanamgambo!? Au ni kupunguza population ya wasio waislam!?
Wote hao boko Haram waliwachinja ni Waislamu
 
Chanzo cha boko haram ni helmet za pikipiki(ukatili wa polisi) siku nikipata muda nitakuelezea kwa kirefu kidogo ujue why helmet zilivyoiibua boko haram
 
Ina maana hii habari huiamini.
Hili tukio yawezekana limetokea,ambacho sikiamini ni nani waliofanya,ukubwa wa tukio na kukinzana kwa ilivyotekea.Kwa kila mtu aliye makini na mfuatiliaji wa habari za aina hii hawezi kunilaumu na hawezi kuwa na hoja za kunifanya nimuamini kama hajajibu shaka nyingi zilizopo hapo.
Binadamu kila siku wanaelekea kwenye unyama,kuhariri picha,kusema uongo,kutia chumvi jambo na kufanya ukatili usio na sababu kwa kumridhisha mwengine ni jambo la kawaida.Kabla hatujasafiri kwenda Nigeria na Msumbiji na kwengineko jaribu kuangalia matukio yaliyotokea Tanzania mengi ambayo hayana majibu na yako yanayolazimishwa yatokee hadharani hata kama hayakuwepo.
Katika hali hiyo utayaamini vipi unayoyasikia mbali ilhali umseshaona yanayofanana nayo huko Tanzania.
Sina imani na yeyote anayeamini kila anachosikia na kulazimisha wengine wakiamini.Hizi si tabia za kibinadamu bali ni udhaifu mkubwa wa utu wa mtu na upungufu wa akili ya kisomi.
 
Uingereza iliwahi kuomba ruhusa ya kuwamaliza but rais wa nchi Buhari alikataa
Buhari ni Bolo Haram jihadist aliyevaa kot la urais..
kumbuka nae anatoka katika jamii ya FULANI
 
b
waislamu hawa, wanaua kwa kuchinja wakristu huko nigeria na wakifa wanapata ma-bikra 70
 
b
waislamu hawa, wanaua kwa kuchinja wakristu huko nigeria na wakifa wanapata ma-bikra 70
[emoji38][emoji38]Cha ajabu muanzilishi wa Jihad na kujilipua alikuwa haendi anajificha nyuma.
Daah ndomaana maraisi wa nchi mbili wakizinguana wanaoumia ni wanajeshi na raia wa kawaida...siasa mbaya sanaaa

Narrated Abu Huraira:

The Prophet said, "By Him in Whose Hands my life is![color= #FF000] Were it not [/color]for some men amongst the believers who dislike to be left behind me and whom I cannot provide with means of conveyance, [color= #FF000]I would certainly never remain behind any Sariya' (army-unit) setting out in Allah's Cause.[/color] By Him in Whose Hands my life is! I would love to be martyred in Allah's Cause and then get resurrected and then get martyred, and then get resurrected again and then get martyred and then get resurrected again and then get martyred."

Matyr-A person who dies/is killed because of his faith/religion
 
mbaya sana, unaua wenzako ili upate ma-bikra 70
 
Baada ya Nigeria kwa kushirikiana na nchi jirani kufanikiwa kulirudisha nyuma hili kundi ndio hao mabeberu wanaibuka na kusema wapo tayari kutoa misaada, huo ni unafiki na kujikosha tu na ni bora walikataliwa.
Kwa hiyo hapo walipo wamerudi nyuma, na wanaua hivi! Je wakati wako mbele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…