Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha wamefanyaje tena?Mnaojisifia hapa wakwe zenu tupo tunawachora tu
Asante kwa kunitoa sadaka...[emoji41][emoji41]Ungana na Joanah mkamilishe mambo
Sanchez magoli atakuwa kakuelewa🤣🤣🤣Sio chini ya milion 20 asietaka akapige hata nyeto siku ziende.
Mdogo wangu mbona hujawahi kunitambulisha huyu shemeji yangu
Ahaa kwa hiyo huyu ni kipoozeoHuyu mbona yupo muda mrefu sista
Ni kipindi kile yule shemeji yako mwingine ananisumbua nikaona nijipozee kwa huyu
Ahaa kwa hiyo huyu ni kipoozeo
Teh teh, nimuite shemeji nimtambulishe kwa msaidizi wake?Kwa sasa ni kipozeo manake kule main kumenoga noga
Teh teh, nimuite shemeji nimtambulishe kwa msaidizi wake?
Hehehe kweli???Mbona anamjua [emoji1787][emoji1787]
Hehehe kweli???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii Kali, natamani na mimi nipate kama haoKweli vile
Wanajuana,wameamua kila mmoja kula kwa wakati wake
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii Kali, natamani na mimi nipate kama hao
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli kabisaWazungu wa roho wale [emoji1787][emoji1787]
Halafu wanakuambia eti sharing is caring
Kwahio kuna kampeni ya kutufanya mabaharia kuwa "Rejeta" za mahusiano yenu imara 😎??? Hili halikubaliki!!!Huyu mbona yupo muda mrefu sista
Ni kipindi kile yule shemeji yako mwingine ananisumbua nikaona nijipozee kwa huyu
Sasa huoni kwamba anawasaidia maana ninyi mabaharia mnapenda kula kimasihara commitment hamtakiKwahio kuna kampeni ya kutufanya mabaharia kuwa "Rejeta" za mahusiano yenu imara [emoji41]??? Hili halikubaliki!!!
Kwahio kuna kampeni ya kutufanya mabaharia kuwa "Rejeta" za mahusiano yenu imara 😎??? Hili halikubaliki!!!
Huyo namvua vyeo kuanzia sasa.Usinifokee basi
Yeye kakubali,wewe ni nani wa kupinga?😂
Hahahah we haupendi tulane kimasihara kwani? 😂😂😂 Life is too short to be frastuated na mahusiano yakisaniiSasa huoni kwamba anawasaidia maana ninyi mabaharia mnapenda kula kimasihara commitment hamtaki
That's what am sayingHahahah we haupendi tulane kimasihara kwani? [emoji23][emoji23][emoji23] Life is too short to be frastuated na mahusiano yakisanii