Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😎😎😎😎😎That's what am saying
Huwezi pata kwa wachumia tumbo hizo mahari. Wao wanataka wakuuzie matatizo kwa bei kubwa mno 🤣🤣🤣 wengine Mil.3 wengine zaidi!ndoa za namna hiyo zinapatikana kwa washika dini haswaaa, kuna jamaa yangu aliozeshwa tsh200 tena mke chombo.
Me ndomana I love you moreMie mahari yangu itakuwa mzinga mmoja ya konyagi
Naamini mtarajiwa wangu Sanchez magoli haitamshinda hii
Hahaha hapa itabidi nicheze na odds za muhindi kweli kweliSanchez magoli atakuwa kakuelewa🤣🤣🤣
😊😊😍Me ndomana I love you more
Hahaha hapa itabidi nicheze na odds za muhindi kweli kweli
Usisahau kuniweka kwenye kamati ya harusi dea.Mie mahari yangu itakuwa mzinga mmoja ya konyagi
Naamini mtarajiwa wangu Sanchez magoli haitamshinda hii
Usijali utakuwa MC 😁Usisahau kuniweka kwenye kamati ya harusi dea.
Hapo sasa dea umenena haswaaah, ndo sehem nlotaka yaanUsijali utakuwa MC [emoji16]
Mikoa yote ya kusini ndo huo utaratibu wao ujinga tyuuuh.Mie nilimsaidi Baba Mkwe kujiunga Facebook ndio ikawa Maali yangu hiyo!!
..........!!!
Halafu kule Mtwara vijana wamebuni mtindo mpya unaitwa
*BaruaTomba* yaani unapeleka barua ukweni wakishakujua basi unakuwa unaenda kuchukua tu binti yule unakulaaa weee kisha mnamrudisha kwao kiuraiiini mwisho wa siku unapiga chini.
Hiyo ndio BaruaTomba