Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 921
Wakuu naomba kufahamu, hivi lengo kuu hasa la kuwakeketa ilikuwa ni nini?...nimeoa mmasai tangu 2012...ni wanawake bora kupata kutoka.
...mke wangu ni mzuri sana wa umbo,sura na tabia.-..hajakeketwa coz ni masai wa mjini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahhaha we jamaa fala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Weeeee.. huwajui wamasai wewe. Kuna ninaowajua mpk unaogopa. Achana na hawa wakondefu wana traaakoooo.. weeeee. Yaan trakoooo trakoohawana chura hivyo jipange maisha ya upweke.
[emoji23][emoji23] kwani kuna mashine za kupumulia hospital? Hakikisha huduma zote zipo ndo uje[emoji23][emoji23][emoji23] hebu naomba nafasi ninakili sauti hio ya muhimu sana kwenye app yangu.
Sio mashine tu nina tungi la oxygen kabisa 😁! Kwahio nije na full package tu[emoji23][emoji23] kwani kuna mashine za kupumulia hospital? Hakikisha huduma zote zipo ndo uje
Hahahahaahaha aiseeKuna kipindi nilikuwa natoka na mmasai fulani hivi. Siku ya kwanza kucheza nae mechi, nashangaa ile nimeanza hata dakika 2 sina, naona mtu anaanza kulia. Nikahisi labda namuumiza, so ikabidi nisitishe zoezi kidogo. Huku namshangaa,namuuliza vipi mbona unalia, au nakuumiza?
Ajabu na yeye akawa ananishangaa,then akajibu eti alisikia wenzake wanasema ukifanya mapenzi mwanamke lazima ulie, so na yy ndio analia.
Kaza buti mkuu, kitu kinaelekea magharibiSio mashine tu nina tungi la oxygen kabisa [emoji16]! Kwahio nije na full package tu
1. WanaheshmaNataka kuoa mmasai naomba kujuzwa mambo kadhaa wawapo ndani ya ndoa
ClitorAntena ni nini?
Sawa masaiUzuri atapata watoto wenye akili na hiyo ndio furaha ya baba yoyote ile.
Ila ww una tako au pasi ndefu?Weeeee.. huwajui wamasai wewe. Kuna ninaowajua mpk unaogopa. Achana na hawa wakondefu wana traaakoooo.. weeeee. Yaan trakoooo trakoo
Yes exactly...ndo kawaida yao aissseee...anakaa wapi huyo wa kwako ??Huyu wangu hupendi chupi kabisa! Nilimuacha tu avae bukta.
Njoo PMNawapenda sana wamasai jaman, nataman niolewe na mmoja