Black BackUp
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 717
- 666
Uwe na pumzi kaka akipandisha Mori vurugu zake mpaka Chini ya Uvungu wa Kitanda..... Utajua ujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kipindi nilikuwa natoka na mmasai fulani hivi. Siku ya kwanza kucheza nae mechi, nashangaa ile nimeanza hata dakika 2 sina, naona mtu anaanza kulia. Nikahisi labda namuumiza, so ikabidi nisitishe zoezi kidogo. Huku namshangaa,namuuliza vipi mbona unalia, au nakuumiza?
Ajabu na yeye akawa ananishangaa,then akajibu eti alisikia wenzake wanasema ukifanya mapenzi mwanamke lazima ulie, so na yy ndio analia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna mengi sana hapa chini ya jua.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nmei-imagine hii scene [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😀😁😅😄😃Ni nini hiki.?
Msiba tu ulishawahi kuona nyumba aliyopanga masai?Hivi hapa Dar ulishawahi ona msiba wa masai?
Just curious!
Mzee wa Nyakashenye unaijua AlkasusiKama unaona we oa tu, for as long yupo anakidhi vigezo vyako .
Humu utakatishwa tamaa na stori za vijiwe vya alkasusu
Labda nimechepuka na weweNdio maana unachepuka chepuka
[emoji16]Jiandae kupata watoto warefuuuu.. halafu wanakimbiaaa..[emoji12][emoji28]
[emoji3][emoji16]Kuna kipindi nilikuwa natoka na mmasai fulani hivi. Siku ya kwanza kucheza nae mechi, nashangaa ile nimeanza hata dakika 2 sina, naona mtu anaanza kulia. Nikahisi labda namuumiza, so ikabidi nisitishe zoezi kidogo. Huku namshangaa,namuuliza vipi mbona unalia, au nakuumiza?
Ajabu na yeye akawa ananishangaa,then akajibu eti alisikia wenzake wanasema ukifanya mapenzi mwanamke lazima ulie, so na yy ndio analia.
DuuHivi hapa Dar ulishawahi ona msiba wa masai?
Just curious!
Tiririka Sasa mamaNimeolewa na mimi ni mmasai niambie chakukusaidia sitajitetea nitakuambia ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1635][emoji1635][emoji1635]Kuna kipindi nilikuwa natoka na mmasai fulani hivi. Siku ya kwanza kucheza nae mechi, nashangaa ile nimeanza hata dakika 2 sina, naona mtu anaanza kulia. Nikahisi labda namuumiza, so ikabidi nisitishe zoezi kidogo. Huku namshangaa,namuuliza vipi mbona unalia, au nakuumiza?
Ajabu na yeye akawa ananishangaa,then akajibu eti alisikia wenzake wanasema ukifanya mapenzi mwanamke lazima ulie, so na yy ndio analia.
Mkuu umetishauncle wangu alioaga mmasai aisee alikuwa akinunua nyama hata kilo 5 basi siku hyo hyo lazma iishe kuhusu maziwa alikuwa anataka daily