Waliooa wanawake wanaofanya kazi

Waliooa wanawake wanaofanya kazi

Situation iko hivi...huyo manzi ni shemeji yangu...wanapiga kazi wote k.koo....jamaa kila cku anampa elfu 5...na ujie hapo wanapanda gari moja so nauli mda mwingi analipa mwana....!!so jamaa mambo anaona hayakai sawa...leo nd kaamka kuniomba ushauri...na mimi roho yangu nnaijua nd maana nkalileta huku kwanza angalau npate vitu vya kuongezea

Kiufupi ni kuwa dem anajenga kwao ...!na mwana hata kiwanja haana
.....wimbo wa Zamani..." Anajenga nyumba kwao,Mimi kwangu midabwada eeh"...unaijua midabwada?..ndiyo akili za rafiki yako.
.
 
Sasa anashindwa nini kuongea naye, mke umuoe kisha uwe mnyonge?
 
Huyo mwanaume kama si wewe ndiyo wale wanaume maisha yake na mkewe anasimulia ndugu ndiyo wanamuongoza maisha, panga na mkewe hawezi ila mama yake na dada zake, sasa huyo mkewe atamuongoza saangapi!
 
Huyo mwanaume kama si wewe ndiyo wale wanaume maisha yake na mkewe anasimulia ndugu ndiyo wanamuongoza maisha, panga na mkewe hawezi ila mama yake na dada zake, sasa huyo mkewe atamuongoza saangapi!
Anaogopa kumnyima mke wake nauli
 
Si bora hiyo kuna mmoja na mfahamu, kaachiwa gesti moja, bar,fremu za biashara kama nne,nyumba mbili zina wapangaji full, kafunguliwa frem ya duka la nguo, mtaji kapewa na mmewe. Ila bado anahitaji hela ya matumizi,kila mwezi,anahitaji hela ya kulipiwa kodi ya fremu yake ya biashara na hela ya mafuta ya gari anayo tembelea na matumizi mengine binafsi na mtaji ukikatika mmewe anatoa.

Hela ya gesti, nyumba mbili zenye wapangaji, fremu tatu za biashara na biashara zake binafsi hata yy mwenyewe hajui kazipeleka wapi,mmewe kuna kipindi alipataga changamoto za kiuchumi ila mkewe hakumsupport.

Kuna mwan mmoja dereva wa bajaj, sasa kuna usiku mmoja alikesha ila biashara haikuwa nzuri. Asubuhi mkewe anataka hela ya pampas, akamwambia kama ana kaakiba akanunue,ila mchana akiingia mzigoni atampa,demu kakomaa ila jamaa akambembeleza ,baadae akamfunga mtoto vikanga. Sasa mwana siku hiyo alichelewa kuamka halafu simu, alijitupia alivyo rudi usiku wa jana,mke kaenda kununua vitafunio. Mwamba tafuta sana simu yake wapi,vurugua kitanda,kwenye makochi,upande wake kabatini ila wapi. Akasema ngoja angalie upande wa mkewe,kupekua pekua anakutana 1.2m,anamuuliza mkewe kwa aibu anadai mzee wao aliuza kiwanja alimpa kila mtu 1.5m kwa hiyo yy kishatumia 300k kabakiwa na hiyo 1.2m,mwana alichoka, yaani mkewe kitoa mia tano kwenye 1.2m ya pampas alishindwa. Sometimes si wa nyumbani wala wanao fanya kazi ,kiasili mwanamke ni mbinafsi japo wachache sana wanaokubali kushare. Haya mambo sometimes yaani kuomba Mungu, halafu wanavyo wasumbua wachungaji na waganga wakienyeji kwenye kutafuta waume, wakiwapata wanawatenda hivi.

Ndio maana kuna wazee wanasema kwenye nyumba kama mke ana milioni,mume ana laki mbili basi jumla nyumba ina milioni mbili.
duh!! sio mchezo binafsi siwez kujinyima wakat nna hela, kwanza hata hiyo pampers nisingeomba kwa Mr. angestukia tu fuko linaning'inia mimi hata chumvi kibiriti vitu vidogo vidogo hua namaliza mwenyewe.
 
Asilimia kubwa wanawake hufanya kazi za ukichaa, utakuta mshahara analipwa laki 6, ila gharama za nauoi na chakula kwa mwezi zinafika 900k, na anataka hizo laki 9 uwe unampa ili yeye aje kupokea mshahara wa laki 6 aje aseme anajitegemea.., nilikataa huo uwendawazimu.., no way..
 
Kama mkeo anafanya kazi...

Majukumu ya ndani unaysimamia mwenyewe vizuri.

Jukumu la kodi pia unalisimamia wewe mwenyewe vizuri.

KUNA HAJA YA KUMPA HELA YA NAULI NA YA KULA AKIENDA KAZINI?
Sasa si mnaelewana wenyewe, kama kila mtu anajihudimia mwenyewe au mnashirikiana 😁😁😁
 
Asilimia kubwa wanawake hufanya kazi za ukichaa, utakuta mshahara analipwa laki 6, ila gharama za nauoi na chakula kwa mwezi zinafika 900k, na anataka hizo laki 9 uwe unampa ili yeye aje kupokea mshahara wa laki 6 aje aseme anajitegemea.., nilikataa huo uwendawazimu.., no way..
Hii imekAaje
 
Mwanamke anachoweza ku offer ni papuchi tu,anaweza kuwa mfanyakazi tena mishahara yenu inalingana wewe utakwama kuendelea na ujenzi yeye yupo bize kumalizia nyumba ya mchungaji.
 
Mwanaume elewa ndoa sio Mutualism ni Parasitism mode na mwanamke ni Parasite na Mwanaume ndio Host
 
Back
Top Bottom