K Kamundu Platinum Member Joined Nov 22, 2006 Posts 7,823 Reaction score 10,857 Jul 26, 2022 #21 Kimla said: waongo,, hao. Wandanganya donor wakati dawa wanazitupa Click to expand... Tatizo la kukaa mijini ! Nasikia vijijini watu wengi wamechanja na hiki ni kitu kizuri. Kama wanatupa ni tatizo la ununuzi maana hizi chanjo zinatakiwa kukaa mpaka miaka 2-3
Kimla said: waongo,, hao. Wandanganya donor wakati dawa wanazitupa Click to expand... Tatizo la kukaa mijini ! Nasikia vijijini watu wengi wamechanja na hiki ni kitu kizuri. Kama wanatupa ni tatizo la ununuzi maana hizi chanjo zinatakiwa kukaa mpaka miaka 2-3
B Barnabas Mashamba JF-Expert Member Joined Jul 4, 2020 Posts 797 Reaction score 2,233 Jul 27, 2022 #22 Lwiva said: Siyo kweli ...watu wamegoma chanjo huo ndiyo ukweli hata vijijini Click to expand... Unabisha au unahoja? Njoo wilaya ya Geita ufuatilie kama nilichoandika ni uongo.
Lwiva said: Siyo kweli ...watu wamegoma chanjo huo ndiyo ukweli hata vijijini Click to expand... Unabisha au unahoja? Njoo wilaya ya Geita ufuatilie kama nilichoandika ni uongo.