The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Imagine miaka 60 sasa tuna taifa la majoga ....hakuna elimu wala kujitambua...hatuwezi kusimamia haki yetu kama Taifa....sembuse miaka hiyo.....walijitahidi sana wale wazee sasa tuna key boardworriorsHi Great thinkers.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.
Akina Nelson Mandela ndo waliopigania uhuru siyo hawa wa kwetu waliopewa kwenye siniaImagine miaka 60 sasa tuna taifa la majoga ....hakuna elimu wala kujitambua...hatuwezi kusimamia haki yetu kama Taifa....sembuse miaka hiyo.....walijitahidi sana wale wazee sasa tuna key boardworriors
Hizo ni harakati brother. Siyo kupiganaKupigana kwa hoja and Paper fight
Labda mwingereza alitaka kukwepesha makubaliano ili aendelee kututawala hivyo ikabidi kitembezwe kichapo (kupigania) ili atoe uhuru kama ilivyopangwa hapo awali ππHi Great thinkers.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.
Yeahhhh sikia tuu SA ndio haswa wame fight....Zimbabwe ....Zambia kidogo ...Namibia lakini sisi bla bla bla.....kwanza tulikuwa chini ya uamgalizi UK ....ilikuwa kuandika barua tu kupewa....Akina Nelson Mandela ndo waliopigania uhuru siyo hawa wa kwetu waliopewa kwenye sinia
Huyu si nasikia ndio anaendesha dua katika ziara ya makamu wa raisi.Mohamed Said atakufafanulia
Labda nifuatilie ila sina hakika.....ko saiv yupo huko nje kwenye ziara za makamu anapiga rakaaaHuyu si nasikia ndio anaendesha dua katika ziara ya makamu wa raisi.
Acha ujuaji dogo janja wewe tu hapo kijitokeza hadharani kupambana dhidi ya mafisadi ya CCM unajificha nyuma ya keyboard Tena kwa fake ID hutaki hata ujulikaneHi Great thinkers.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa Tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.
kwa akili yako kupigania ni mpaka kupigana vita? Elimu yako ni kiwango gani maana ujinga ni mzigo mzito sana kuubeba.Hi Great thinkers.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa Tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.
We ndio hujitambuiImagine miaka 60 sasa tuna taifa la majoga ....hakuna elimu wala kujitambua...hatuwezi kusimamia haki yetu kama Taifa....sembuse miaka hiyo.....walijitahidi sana wale wazee sasa tuna key boardworriors
Wewe unajitambua sanaas hongeraWe ndio hujitambui
Mbona hapa tanzania Kuna kipindi mikutano ya kisiasa ilikuwa haipo na Hadi Daud mwangosi alifia kwenye mkutano wa siasa.Kulikuwa na mapigano sababu mikutano ya kisiasa ilikuwa hairuhusiwi na polisi wa kikoloni walikuwa wakipiga hata kuua wananchi waliofika kwenye mikutano, harakati za kisiasa zilikuwa ngumu sana