Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhuru wa kupewa shida tupu. Bora hata kenya kulikuwa na MaumauUhuru wa kupewa ndio umetufikisha hapa. Mpaka 2040 nchi yote itakuwa imejaa machawa hakuna political conscious
Ah ha ha aNi uongo mkubwa, hakuna aliyepigania uhuru wa Tanganyika
Hawakuwepo mzee. Walipewa tu uhuru haoKwa hiyo miaka yote tunaambiwa wapigania Uhuru kumbe kwenye hii hakukuwa na watu hao kabisa?
Vijana ninyi sio wazalendo
So pointi yako ni ipi kwa jibu langu?Mbona hapa tanzania Kuna kipindi mikutano ya kisiasa ilikuwa haipo na Hadi Daud mwangosi alifia kwenye mkutano wa siasa.
ukisikia kupigania kitu fulani unaelewa nini hasa maana yake?Hi Great thinkers.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa Tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.
Uhuru haijalishi umeupataje, iwe kwa kupigana ama kupewa. Kama huna akili ya jinsi ya kuutumia huo uhuru yote ni bure, kilichotufikisha hapa ni matokeo ya kuwa na akili ndogo na si kisa uhuru wa kupewa.Uhuru wa kupewa ndio umetufikisha hapa. Mpaka 2040 nchi yote itakuwa imejaa machawa hakuna political conscious
Sio sahi kusema Tanganyika walipigania uhuruHi Great thinkers.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa Tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.