Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga


Ndio hivyo sasa kuwa Yesu hakuwa maarufu mpaka anaondoka, hivyo hakuwa anajulikana,
Watu walikuwa hawamjui, hata Watawala wa Enzi hizo hawakuwa wanamjua, ni mpaka siku anasulubishwa kama wahalifu wengine walivyokuwa wanasulubishwa ndio Watawala wakamjua.

Hivyo haikuwezekana Picha au Sura ya Yesu kuhifadhiwa Kwa namna yoyote Ile.

Zingatia, Baada ya Yesu kuondoka, lilikuwepo vuguvugu la kuwauwa wafuasi wake, Jambo hilo lilipelekea Wanafunzi wake wote kuuawa kasoro Yohana.
Kwa mazingira hayo na mengine, ni vigumu Kupata picha na sanamu yenye taswira ya Yesu.

Mwisho, utamaduni WA kiyahudi Kwa kipindi kile haukuruhusu sanamu za MTU kuchongwa.
Zingatia pia hata kama Wayahudi wangeruhusiwa kuchonga sanamu. Yesu hakuwa na Sifa na vigezo hivyo
 
Tatizo lako unapenda ubishi....?
 
Huwezi kuamini uwepo wa Mungu halafu usiukubali Utatu mtakatifu. Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu. Toka miaka miaka watu waliomuamini Mungu walikua na dini.
Nakijua nachokisema.

Utatu ni masonry,

Catolicano ni Juzi tu ndo wameweka Roho MTAKATIFU kwenye utatu,

Mwanzo ilikuwa utatu wa BABA,MWANA na mungu mke aliyejificha nyuma ya bikra mariem,

Kilichofanywa na warumi ni kuchukua miungu Yao na kuichanganya na mapokeo ya INJILI na kuiita dini.

Acheni IBADA za sanamu,

Mungu ni MMOJA, Hana NAFSI tatu.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 

Kasome hapa
Mathayo 26:
48 Yuda aliyekuwa amkabidhi Yesu kwao, alipanga kufanya kitu cha kuwajulisha yupi kati ya wafuasi alikuwa Yesu. Alisema, “Mtu nitakayembusu ndiye mtakayemkamata.” 49 Hivyo Yuda alikwenda kwa Yesu na kumwambia, “Salamu, Mwalimu!” Kisha akambusu.

Kama Yesu angekuwa maarufu na anayejulikana Yuda asingewaambia hao maaskari maneno hayo.

Kama Yesu angekuwa mashuhuri na maarufu wala asingewapa Wanafunzi wake Misheni ya kumtangaza yeye na habari zake.

Vinginevyo haujui maana ya MTU maarufu na mashuhuri
 
Nipe kwanza maana ya neno maarufu?

Sipo hapa kubishana.
 
Kuna kitu kinaitwa Sanda la torino imebeba vitu VINGI sana ni kama negative ya picha ya MTU lakini ina umri mkubwa sana ili fanyika mbinu nyingi za kuteketeza ikashindikana
 
Nipe kwanza maana ya neno maarufu?

Sipo hapa kubishana.

KiswahiliEdit. NominoEdit. maarufu. ni kujulikana hasa katika sanaa au kisiasa; umaarufu pia kuwa unajulikana kitaifa na hata kimataifa.

Huyo Yesu hata Askari wenyewe walikuwa hawamjui.
Rejea Yuda akiwaambia hao maaskari.

MTU maarufu au mashuhuri Kwa mfano kama Mwamposa, Askari au Watu wa kawaida wa Hapa Dar es karibu wote wanamjua.

Yesu alikuwa mgeni katika jiji la Jerusalem
 
Labda angejadiliwa Imhotep ningeridhika zaidi,,da Vinci tabia yake ya ushoga ilimfanya credibility yake kuwa tarnished maana anaweza kuwa pia alikuwa na kichaa,, na watu wengi wachonga vinyago wanasema hizo taswira wanazochonga Huwa wanazipata kwa zenyewe kuwajia ndotoni.Kwa hio hizo picha za da Vinci atakuwa pia aliletewa ndotoni na Pengine hao viumbe waliomletea ndio watakuwa ndio walioanza kumpakua....

NB..Tumeshauriwa tusinunue vinyago na kuviweka ndani,,,,nadhani pia ni hatari kwa mtu asie na uhusiano na Siri za dada Vinci kuweka mapicha yake ndani fate yake haikuwa nzuri.
 
Labda mimi sielewi maana ya maarufu?

Tukubaliane kwanza maana ya neno "maarufu"?

Dadavua nami nipate kuelewa?

Then turudi kwenye majadiliano.

Ndio maana tukapishana,

Maarufu na mashuhuri ni MTU anayefahamika/julikana iwe kitaifa au kimataifa.

Sasa Yesu bado hakuwa katika hiyo stage katika Wakati wake.

Umaarufu wa Yesu umeanza Baada ya Dola la Rumi kuichukua dini ya Ukristo kama dini ya kirumi, kisha kuisambaza Kwa UPANGA,
Kisha wakaja Wazungu.
Vinginevyo huyo Yesu wala usingemjua hata Wewe Kwa sababu kimsingi Hana maajabu bila ya Promo
 
Hadithi zako dhaifu Huwa unazipata kutoka kitabu Gani?
 
Wasabato mnaupinga utatu mtakatifu, mnapinga fumbo la imani. Kristo alikufa, Akafufuka na atarudi tena. Nyie ndio wapinga kristo

[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Hawa wasabato wakiacha unafiki mbingu ipo wazi direct kwa ajili yao. Waache unafki tuuuuu
 
Muhammad alikuwepo miaka 600 baada ya kristo sitaki kuamini warabu hawakutunza kumbukumbu yake maana nao walikua vizuri kiteknolojia

Mimi huwa nataka kujua. Kama Muhammad SAW alikuwepo miaka 600 baada ya Kristo Yesu na Muhammad ndio alishushiwa Quran ma tunaamini ilishushwa na haikuandikwa kama Biblia ilivyo. Iweje Quran ina Hadithi/ Story ambazo ni Copy and paste kutoka kwenye Biblia??


Inakuaje Mungu anamshushia Muhammad Mambo ambayo watu walisha andika yapo documented tayari?

Hii napenda kujua [mention]Da'Vinci [/mention]
 

Tawala za nyuma na za kati zimepuuzwa. Dunia ya leo ipo related na Kristo ndio maana tunatumia Tarehe inayohusiana na Kristo
 
Mkuu swali lako nalipeleke kwa maustadhi adriz Kisai FaizaFoxy
 
U
Usiandikie mate na wino upo, weka japo aya (verse) moja ya biblia ambayo unaiona wewe kuwa ni original na weka verse ya Qur'an ambayo unaidhania wewe kuwa ni "copy" ya hiyo original.

Tunasubiri.

Ukishindwa kuleta ina maana umezusha tu. Uje kutuomba msamaha wana jamvi kwa uzushi wako
 

Kwamba hujui kuna habari kwenye Quran na Biblia zinafanana? kwa kuanzia kisa mpaka majina ya watu hujui hilo au unajitoa ufahamu.

nakuja na facts soon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…