Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

I hope y'all are doing just fine, It has been long time since I was here[JF Inteligence]
View attachment 2545863
Kuna mtu alileta mada humu akiuliza kwamba picha inayotumiwa na wakristo hasa wakatoliki ya mtu mmoja mzungu kua “ndie” yesu, je hiyo picha ni ya Yesu kweli? Akaongeza kwa kusema kwamba wakati yesu akiwepo kulikua hakuna teknolojia ya Photography wala Motion Picture…So wao waliitoa wapi picha hiyo na wana ushashidi upi kwamba yule ndio Yesu mwenyewe??

I’m glad you asked coz I would like to use this moment to Splendid Explain these stuffs to you!


Toka dunia kuumbwa, dunia imeshuhudia kuzaliwa kwa watu wawili wenye akili zaidi.watu hao walikua wenye uwezo wa kujifunza mambo wao wenyewe yaani Autodidacts na walikua wana uelewa na uwezo wa kufanya mambo meengi kwa wakati mmoja yaani Polymaths…watu hao si wengine bali ni Imhotep kutoka Misri ya zamani (Ancient Egypt) na Leonardo Da’Vinci kutoka Sicily Rome.

Imhotep alikuwepo duniani Zaidi ya miaka 5000 kabla ya kuzaliwa kwa Da’Vinci, Da’Vinci kazaliwa miaka 600 iliyopita yaani 1400s.Imhotep alikua kuhani mkuu wa mungu mkuu wa wamisri aitwaye mungu jua Ra, mbali na hayo jamaa alikua mbobevu katika hesabu,fizikia na biology hivyo alijikita sana katika usanifu wa majengo na tiba mbalimbali. Ukiziona Pyramids zilizopo misri wala usidanganyike kua alien ndio wamejenga bali ni huyu Inhotep ndio alizisanifu.

Wagiriki walimuabudu huyu mtu kama mungu wao wa tiba kutokana na mchango wake mkubwa katika tafiti zake zi kitabibu.

Kwa waliosoma mada zangu kadhaa zilizopita nilielezea jinsi utawala wa Ugiriki ulivyotokea na kuanguka na matokeo yaliyotokea baada ya ugiriki kuanguka. Kwa ambao hawajasoma nitaelezea kwa ufupi sana nini kilitokea.
Miaka ya nyuma ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo 100 na kila mji na ulikua na utawala wake japo walikua wakiungana na kusaidiana pindi uvamizi unapotokea, enzi hizo superpower wa dunia alikua Persia yaani Iran ya sasa. Iran ilikua inajitanua kwa kuvamia maeneo na kuyachukua hapo ndio alipoikaribia Ugiriki akitaka aanze kuchukua mji baaada ya mji, hapo ndio unakutana kisa cha mfalme Leonidas wa jiji la Sparta.

Vumbi ilitimka kweli kwa wapenzi wa muvi waliotazama muvi ya 300 na 300 Rise of Empire wanaelewa.
Baada ya vamizi kadhaa zilizokua zinafanywa na nchi kubwakubwa wagiriki wakaamua kuungana na kutengeneza nchi moja ya Greece. Mikaka ikaenda akatokea alexander the great akaikuza sana Greek, akaanzisha mji wake ulioitwa Alexandria katika nchi ya Misri. Kipindi hicho misri ilikua ndio hazina na kitovu cha Elimu dunia nzima.
View attachment 2545869
[Mwigizaji Gerald Butler aliyeigiza kama mfalam Leonidas wa sparta kutoka muvi ya ]

Wanafalsafa wengi na walienda hapo kusomea, hata mwandishi wa injili Luka alisomea hapo. Miaka ikaenda baada ya Ugiriki kuanguka Superpower aliyeibuka akawa Rome, Rome ilienda kuchukua kila kitu kilichokua misri wakakihamishia kwao. Maarifa yote yaliyokua Misri kwenye Maktaba ya kwanza kuanzishwa duniani yalihamishiwa Rumi.

Wakati nchi ya Israel ikitawaliwa na Rumi anazaliwa Yesu anafanya kilichomleta duniani kisha anafariki miaka 33 baadae, wafuasi wa Yesu wanaongenzeka na kupata ushawishi mkubwa katika serikali na maeneo mengi duniani.

Kwa wanaopenda Conspiracy, inasemaekana baada ya utawala wa Rumi duniani kuanza kuanguka watu wenye kufikiria mbali (futurist) wakiongozwa na mfalme Nero walikabidhi madaraka kwa wafuasi wa Yesu Kristo wa kipindi hicho ili Rumi iendelee kutawala dunia kupitia mlango wa nyuma (indirectly) ndipo ukristo ukatambuliko rasmi duniani kama Roman Catholic na wakapafanya Rumi kama ndio makao makuu ya Ukristo badala ya Yesrusalemu. (Sina uhakika kama nadharia hii ina ukweli ndani yake ila ina make sense sana maana wote twafahamu nguvu na ushawishi iliyonayo RC katika mataifa mbalimbali)

Miaka kadhaa tawala ya Rumi inaanguka, Ukatoliki ukawa umeenea maeneo mengi na ushawishi mkubwa ulimwenguni anazaliwa Leonardo Da’Vinci 1452, kutokana na uwezo mkubwa katika mambo mbalimbali kila alichokifanya kiliweza kua Perfecto. Davinci aliweza kuifanya tasnia ya uchoraji kua kubwa na yenye thamani sana kutokana na kazi zake bora na zenye kufikirisha za uchoraji.

Ni moja kat ya wachoraji wakubwa kuwahi ktokea hapa duniani kuna vitu kachora hakuna mwingine anayeweza kuchora labda urumie Powerful software…kama utanibishia jaribu kuchora duara na pembe nne vikiwa pamoja kama alivyochora mchoro wake wa Vitruvian man… Jamaa alikua anaweza kujichora yeye mwenyewe sura yake…Baadae anazaliwa Michelangelo ambae na kwa kiasi Fulani alijitahidi sana katika uchoroja unaweza kujionea michoro yake ya Sistine Chapel iliyopo hapo Vatican, lakini pia nae alibobea katika uchonganji (sculptures)
View attachment 2545902
[Sistine Chapel]
Inahusiana vipi na Picha ya Yesu…?

Kama nilivyoeleza huko juu Baada ya Ugiriki na Misri kuanguka na Rumi kuibuka kama Superpower alibeba maarifa yote yaliyokua Rumi na Ugiriki na kuyahamishia Roma, hivyo baada ya rumi kuanguka kanisa katoliki likabaki limeshikilia maarifa kutoka pande zote za dunia hasa misri,ugiriki na Israel. Leo hii hakuna taarifa au maarifa ambayo hayapo Vatican…Vatican inamiliki moja kati ya eneo lenye kulindwa Zaidi duniani ambalo hua haiingii huko mtu bila ruhusu maalumu…Hata Pope inabidi apate kibali kutoka kwa kiongozi wa Jesuists ndio anaweza kwenda huko.

Hivyo basi sidhani kwamba kanisa katopliki wanaweza kua wameshindwa kupata piacha ya yesu wakati wameweza kumiliki taaroifa za kutoka kila pande ya dunia. Kama Plato,Socrate, nk picha zao zipo na waliishi miaka mingikabla ya yesu haiwezekani yeye picha yake isiweze kupatikana.

Nimesema kipindi hicho taaluma ya uchoraji na uchongaji ilitumika Zaidi katika kuweka kumbukumbu za watu mbalimbali ndio maana leo ukiitaka picha ya Plato unaipata, kuna watu wamejaliwa uwezo mkubwa wa uchoraji unaweza kumuelezea kwamba Fulani sura yake ipo hivi na hivi na akaichora kama ilivyo. Njia hii hutumiwa sana na mashirika ya usalama hususan FBI na polisi. Tena sasa hivi kuna msaada wa softwares yaani ukimuelezea mtu anakutulea mchoro kama picha halisi…hivyo basi natumaini hata picha ya yesu watu wa zamani walitumia njia hiyo kuhifadhi taswira ya Kristo.

Ndio maana utakuta picha hiyo inayotumika sura yake ipo mahali pote sio tofauti. Hata miaka ya 1970s wakati wanaandaa filamu ya yesu walijaribu watu Zaidi ya waigizaji 200 ambao watafanana na Sura hiyohiyo ni Brian Deacon pekee ndio alifanikiwa kufit kwenye role hiyo kutokana na sura yake kufanana na sura inayotumika kuwasilisha taswira ya Kristo.
Ndio maana wasiojua wanapoona hiyo taswira ya yesu hua wanasema kwamba ni sura ya mwigizaji Brian Deacon…Si kweli, kwa maarifa waliyonayo RC hawawezi ruhusu hilo.

So kwa kuhitimisha ni kwamba Wakatoliki kukubali kuruhusu picha hiyo ya Yesu kutumika sio wajinga hata kidogo kwamba hawafahamu taswira halisi ya Kristo.​
In short, ume-assume tu. Kwamba kwa kua Catholic wako na reserve ya taarifa mbalimbali za kale, basi pia watakua na picha ya Yesu.

It's not a fact, it's an opinion.
 
Muunganiko wa Rumi na Ukristo uliozaa roman catholic haukuufuta ukristo? Nn kilimmeza mwenzake? Nn kilibadilika? Ukristo ulifanana vp kabla ya ukatoliki? Vitu viwili vinapoungana kitu kipya huzaliwa.
 
Nilipoanza tu kusoma uzi huu, hasa ulipowazungumzia Imhotep na Leonardo, nikafahamu kwamba hujafanya tafiti vizuri au umeegemea mlengo fulani. Dunia imekuwa na watu wengi wenye akili, katika nyakati tofauti ambao wameisaidia dunia kufika hapa ilipo leo. Mfano, msomi wa kiarabu Ibin Al-Haytham aliandika kitabu ambacho kilibadilisha mwelekeo wa sayansi ya dunia mpaka leo hii hadi kuwafunda wakina Leonardo.

Wanasayansi wakubwa wa Ulaya kuanzia Bacon, Kepler, Newton, Leonardo na Galileo walianza kufanya mapinduzi makubwa kwenye ulimwengu wa sayansi baada ya kusoma kazi za Al-Haytham ambazo zilitafsiriwa na Bacon. Dunia nzima leo, hakuna kazi ya kisayansi inayofanyika bila kutumia, The Scientific Method iliyobuniwa na Al-Haytham. Hata wewe unatumia, The Scientific Method kufanya mambo yako. Kusema Imhotep na Leonardo ndiyo watu wenye akili zaidi, ni matusi kwa ulimwengu wa sayansi.

Tuwekane sawa kwenye hili, halafu ndiyo tuje kuzungumzia suala zima la Vatican na Yesu.
 
Inawezekana walimpuuzia ila wale waliomfuata hawakumpuuzia. Ndio maana utaona miaka kadhaa kabla ya 100 baada ya kifo chake Wanazuoni kadhaa walifanya tafiti juu ya maisha yake na matendo yake. Kupitia wao tukapata vitabu mbalimbali vya injili vilivyo kwenye Bible na Marejea mbalimbali

Kuchorwa kwake inawezekana ilikua organised na wafuasi wake sitaki kuamini kama walikosa pesa za kulipa wafuasi. I concur kipindi hiko taifa lake lilikua halimtambui kabisa

Unamaanisha nini kusema Yesu hakuuhubiri Ukristo? Au kwa kumaanisha Mwenyewe ndio alikua Kristo??

Viking walikua Savages, huwezi kufananisha vikings na watu wa mataifa mengine ndio maana walikua rafurafu.
Mwenyewe Kristo alisema kwa wafuasi wake kwamba Wakiondoka wachukue nguo mojamoja maana huko waendako watavishwa na kulishwa. So inawezekana hata yeue alivishwa kumbuka walikua na mfuko wao maalumu wa kuhifadhi pesa za mahitaji ambazo zilitoka kwa waamini
Picha za Yesu zinamuonesha yupo smart kama watawala wa enzi hizo ilihali alidharaulika sana hadi wakasema ''ni huyu mtoto wa seremala'' ina maana alikuwa common man tu. Sasa kwanini wachore picha anafanana na tabaka la watawala?, au ni ili kuleta picha ya ufalme wa Mungu? Basa kama ndio hivyo picha haina uhalisia.

kuna watawala hata viongozi wa kanisa katoliki (mapapa na makadinali) picha zao za mionekano halisi hazipo sasa inakuwaje iwepo ya mwananchi wa kawaida tu au ya Yesu wanayemuhubiri. Hii haijakaa sawa sababu wao tunategemea wangekuwepo picha zao kamili kabisa.

Anyway bado sijashawishika kabisa juu ya hii picha. Kuna movie moja ya Yesu inamuonesha akiwa tofauti sana na huyu, yupo angalau kama raia wa kawaida.

Kuna habari kuwa picha za Mtume Mohammed hazipo kabisa na za kubuni hawa ndugu zetu hawazitaki, kitu ambacho ni kizuri.

Picha ya Yesu ni kama zilivyo picha za wakina Moses, Abraham, Yusufu, Joshua n.k ni picha zakubuni tu.
 
I hope y'all are doing just fine, It has been long time since I was here[JF Inteligence]
View attachment 2545863
Kuna mtu alileta mada humu akiuliza kwamba picha inayotumiwa na wakristo hasa wakatoliki ya mtu mmoja mzungu kua “ndie” yesu, je hiyo picha ni ya Yesu kweli? Akaongeza kwa kusema kwamba wakati yesu akiwepo kulikua hakuna teknolojia ya Photography wala Motion Picture…So wao waliitoa wapi picha hiyo na wana ushashidi upi kwamba yule ndio Yesu mwenyewe??

I’m glad you asked coz I would like to use this moment to Splendid Explain these stuffs to you!


Toka dunia kuumbwa, dunia imeshuhudia kuzaliwa kwa watu wawili wenye akili zaidi.watu hao walikua wenye uwezo wa kujifunza mambo wao wenyewe yaani Autodidacts na walikua wana uelewa na uwezo wa kufanya mambo meengi kwa wakati mmoja yaani Polymaths…watu hao si wengine bali ni Imhotep kutoka Misri ya zamani (Ancient Egypt) na Leonardo Da’Vinci kutoka Sicily Rome.

Imhotep alikuwepo duniani Zaidi ya miaka 5000 kabla ya kuzaliwa kwa Da’Vinci, Da’Vinci kazaliwa miaka 600 iliyopita yaani 1400s.Imhotep alikua kuhani mkuu wa mungu mkuu wa wamisri aitwaye mungu jua Ra, mbali na hayo jamaa alikua mbobevu katika hesabu,fizikia na biology hivyo alijikita sana katika usanifu wa majengo na tiba mbalimbali. Ukiziona Pyramids zilizopo misri wala usidanganyike kua alien ndio wamejenga bali ni huyu Inhotep ndio alizisanifu.

Wagiriki walimuabudu huyu mtu kama mungu wao wa tiba kutokana na mchango wake mkubwa katika tafiti zake zi kitabibu.

Kwa waliosoma mada zangu kadhaa zilizopita nilielezea jinsi utawala wa Ugiriki ulivyotokea na kuanguka na matokeo yaliyotokea baada ya ugiriki kuanguka. Kwa ambao hawajasoma nitaelezea kwa ufupi sana nini kilitokea.
Miaka ya nyuma ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo 100 na kila mji na ulikua na utawala wake japo walikua wakiungana na kusaidiana pindi uvamizi unapotokea, enzi hizo superpower wa dunia alikua Persia yaani Iran ya sasa. Iran ilikua inajitanua kwa kuvamia maeneo na kuyachukua hapo ndio alipoikaribia Ugiriki akitaka aanze kuchukua mji baaada ya mji, hapo ndio unakutana kisa cha mfalme Leonidas wa jiji la Sparta.

Vumbi ilitimka kweli kwa wapenzi wa muvi waliotazama muvi ya 300 na 300 Rise of Empire wanaelewa.
Baada ya vamizi kadhaa zilizokua zinafanywa na nchi kubwakubwa wagiriki wakaamua kuungana na kutengeneza nchi moja ya Greece. Mikaka ikaenda akatokea alexander the great akaikuza sana Greek, akaanzisha mji wake ulioitwa Alexandria katika nchi ya Misri. Kipindi hicho misri ilikua ndio hazina na kitovu cha Elimu dunia nzima.
View attachment 2545869
[Mwigizaji Gerald Butler aliyeigiza kama mfalam Leonidas wa sparta kutoka muvi ya ]

Wanafalsafa wengi na walienda hapo kusomea, hata mwandishi wa injili Luka alisomea hapo. Miaka ikaenda baada ya Ugiriki kuanguka Superpower aliyeibuka akawa Rome, Rome ilienda kuchukua kila kitu kilichokua misri wakakihamishia kwao. Maarifa yote yaliyokua Misri kwenye Maktaba ya kwanza kuanzishwa duniani yalihamishiwa Rumi.

Wakati nchi ya Israel ikitawaliwa na Rumi anazaliwa Yesu anafanya kilichomleta duniani kisha anafariki miaka 33 baadae, wafuasi wa Yesu wanaongenzeka na kupata ushawishi mkubwa katika serikali na maeneo mengi duniani.

Kwa wanaopenda Conspiracy, inasemaekana baada ya utawala wa Rumi duniani kuanza kuanguka watu wenye kufikiria mbali (futurist) wakiongozwa na mfalme Nero walikabidhi madaraka kwa wafuasi wa Yesu Kristo wa kipindi hicho ili Rumi iendelee kutawala dunia kupitia mlango wa nyuma (indirectly) ndipo ukristo ukatambuliko rasmi duniani kama Roman Catholic na wakapafanya Rumi kama ndio makao makuu ya Ukristo badala ya Yesrusalemu. (Sina uhakika kama nadharia hii ina ukweli ndani yake ila ina make sense sana maana wote twafahamu nguvu na ushawishi iliyonayo RC katika mataifa mbalimbali)

Miaka kadhaa tawala ya Rumi inaanguka, Ukatoliki ukawa umeenea maeneo mengi na ushawishi mkubwa ulimwenguni anazaliwa Leonardo Da’Vinci 1452, kutokana na uwezo mkubwa katika mambo mbalimbali kila alichokifanya kiliweza kua Perfecto. Davinci aliweza kuifanya tasnia ya uchoraji kua kubwa na yenye thamani sana kutokana na kazi zake bora na zenye kufikirisha za uchoraji.

Ni moja kat ya wachoraji wakubwa kuwahi ktokea hapa duniani kuna vitu kachora hakuna mwingine anayeweza kuchora labda urumie Powerful software…kama utanibishia jaribu kuchora duara na pembe nne vikiwa pamoja kama alivyochora mchoro wake wa Vitruvian man… Jamaa alikua anaweza kujichora yeye mwenyewe sura yake…Baadae anazaliwa Michelangelo ambae na kwa kiasi Fulani alijitahidi sana katika uchoroja unaweza kujionea michoro yake ya Sistine Chapel iliyopo hapo Vatican, lakini pia nae alibobea katika uchonganji (sculptures)
View attachment 2545902
[Sistine Chapel]
Inahusiana vipi na Picha ya Yesu…?

Kama nilivyoeleza huko juu Baada ya Ugiriki na Misri kuanguka na Rumi kuibuka kama Superpower alibeba maarifa yote yaliyokua Rumi na Ugiriki na kuyahamishia Roma, hivyo baada ya rumi kuanguka kanisa katoliki likabaki limeshikilia maarifa kutoka pande zote za dunia hasa misri,ugiriki na Israel. Leo hii hakuna taarifa au maarifa ambayo hayapo Vatican…Vatican inamiliki moja kati ya eneo lenye kulindwa Zaidi duniani ambalo hua haiingii huko mtu bila ruhusu maalumu…Hata Pope inabidi apate kibali kutoka kwa kiongozi wa Jesuists ndio anaweza kwenda huko.

Hivyo basi sidhani kwamba kanisa katopliki wanaweza kua wameshindwa kupata piacha ya yesu wakati wameweza kumiliki taaroifa za kutoka kila pande ya dunia. Kama Plato,Socrate, nk picha zao zipo na waliishi miaka mingikabla ya yesu haiwezekani yeye picha yake isiweze kupatikana.

Nimesema kipindi hicho taaluma ya uchoraji na uchongaji ilitumika Zaidi katika kuweka kumbukumbu za watu mbalimbali ndio maana leo ukiitaka picha ya Plato unaipata, kuna watu wamejaliwa uwezo mkubwa wa uchoraji unaweza kumuelezea kwamba Fulani sura yake ipo hivi na hivi na akaichora kama ilivyo. Njia hii hutumiwa sana na mashirika ya usalama hususan FBI na polisi. Tena sasa hivi kuna msaada wa softwares yaani ukimuelezea mtu anakutulea mchoro kama picha halisi…hivyo basi natumaini hata picha ya yesu watu wa zamani walitumia njia hiyo kuhifadhi taswira ya Kristo.

Ndio maana utakuta picha hiyo inayotumika sura yake ipo mahali pote sio tofauti. Hata miaka ya 1970s wakati wanaandaa filamu ya yesu walijaribu watu Zaidi ya waigizaji 200 ambao watafanana na Sura hiyohiyo ni Brian Deacon pekee ndio alifanikiwa kufit kwenye role hiyo kutokana na sura yake kufanana na sura inayotumika kuwasilisha taswira ya Kristo.
Ndio maana wasiojua wanapoona hiyo taswira ya yesu hua wanasema kwamba ni sura ya mwigizaji Brian Deacon…Si kweli, kwa maarifa waliyonayo RC hawawezi ruhusu hilo.

So kwa kuhitimisha ni kwamba Wakatoliki kukubali kuruhusu picha hiyo ya Yesu kutumika sio wajinga hata kidogo kwamba hawafahamu taswira halisi ya Kristo.​
Theology imewa drain
 
Kwanza nikukanushe dunia haijawai kuwa na watu wenye akili kama mnavyodangwanywa.

Pili uwepo wa wachoraji wenye akili na uwezo mkubwa wako wengi sana hata mitaani wapo, njoo uwaone watoto wanaoweza kukuchora mpka maungo yako ya sirini.

Tatu historia ya dunia imepindishwa kwa faida ya mzungu Tu, je vipi kuhusu Kemet iliyoongoza dunia nzima kwa zaid ya miaka 6000? Vip kuhusu utawala wa South afrika ya kale kabla ya ukolon, naongelea zaid ya miaka 5000bc sio hizo falme zenu za juzi hizo walizoongoza wafalme vibaraka, na je vip kuhusu ufalme wa Ethiopia ama kush ya kale ambayo ilikuwepo zaid ya miaka 6000 bc, siongelei hiyo ethiopia ya leo ya vibaraka wa kidini waliopewa Biblia za mchongo kuupa nguvu ukristo feki.

Dunia na historia mnayofundishwa ni kama 10% ya historia mnayotakiwa kujifunza, maana mashulen mnaanzia kusoma hivyo vijifalme vya waajem sjui warumi na takataka za kizungu, kumbe waliwai kuwepo wahindu, wachina na Waafrika kabla ya hizo dola za karibuni.

Kama dunia imepita maelfu ya miaka kwann mjifunze kuhusu historia inayogusa miaka maximum 7000 tu je miaka 30000 b.c nini kilikuwepo? Ni nani alitawala? Na wakina nani waliounda misingi ya dunia hii?

Jibu mnalipata kuwa mtu wa mwisho kupata dola kuongoza dunia kwa ujanja yaan mrumi ndie aliyeharibu historia hii ya dunia.

Dunia inanza ambapo maelfu ya miaka iliyopita kabla ya mgawanyo wa mabala, then inakuja historia ya chanzo cha Races dunian na mgawanyo wa makabila na matabaka ya rangi za watu+wanadamu, then inakuja historia ya falme 5 kubwa zilizotawala dunia miaka mingi iliyopita.

Ndipo zinakuja nyakati za giza ambapo warumi waliiba historia za watu wa kale na Jemedari wa kale wa jamii ya kiafrika ambaye babu za mama yake waliishi afrika mashariki ama babilon ya kale ama pia Edeni ya kale na baadae kuhamia central afrika ama Yerusalem ya kweli ya kale, na huko jemedari huyo alizaliwa kimiujiza yaan alizaliwa na Mama pasipo mimba yake kutungwa kwa muingiliano wa Me+Ke na hiyo zamani ilikuwa jambo la kawaida kwa mababu waliojua siri ya nguvu za Nuru Rohoni.

Mtu huyo alizaliwa afrika kwa mission maalumu na alikuwa mweusi kwakuwa Africa ni ya watu weusi, na mtu huyu alifanyiwa janja janja na wanadamu wa ngozi nyeupe kuuwawa, lkn alifufuka kimiujiza baada ya mission yake kukamilika aliondoka dunian kimazingara na kurudi Makao yake ambako ni nje ya mbingu za viumbe wa Roho za Nuru.

Mtu huyu ndiye habari zake wazungu wa kirumi waliiba na kukitengeneza kiumbe kiitwacho yesu kwa kukipa historia ya mtu huyo, na yesu huyo kibinadamu ni ufanano wa mwana wa mfalme wa rumi ya miaka ya 320, ivyo basi Yesu kama yesu hajawai kuwepo, Viongozi wenu wanayajua haya mambo.

Ubapozungumzia yesu unakuwa unamzungumzia JINI azazel/Zeus ambaye kiroho ni Jini/pepo lkn kibinadamu alipewa uhusika wa mtu mwenye ufanano na mwana wa mfalme wa rumi, ambaye ndie wakina Leonard da vinch walimchora, na Jini hili ndilo hucontrol tabia za ushoga&usagaji ndiomaana viongoz weng wa kidini wakipagawa na pepo hili huishia kuwalawiti watoto mfano mapadri&mashekhe wote wanatumia nguvu za hiki kiumbe.

Rumi hiyo ndio inatawala dunia leo hii kupitia mashirika mbalimbal dunian kama UN, WHO, UNHCR, mashirika ya muvi kama Hollywood, mashirika ya technolojia kama NASA, mashirika ya usambazwaji habari na media zote kubwa na mitandao mikubwa ya kijamii kama Fb, whatsApp, instagram, jamii za siri kama freemason&illuminat, mifumo ya siasa kama ubepari, ujamaa, mifumo ya kidemokrasia, pia Taasisi za Dini zote za ukristo&uislam ni mali yao hawa jamaa, hata lile taifa pendwa la israel ya mchongo ni wao walilitengeneza kwa kuakisi maisha ya wayahudi wa kwel ambao waliishi afrika na ambao ni watu weusi, na Taifa teule la kweli lilikuwepo hapa Africa central afrika katikati mwa afrika kutokea Eden ya kweli ambayo ni East Africa.

Jua kuwa picha ya yesu iliundwa kwa makusudi na lengo kubwa na Target ni mtu mweusi Tu, huko kwingine dunian hawahangaik nako bali Africa,

Ndioamaana ilitumika nguvu kubwa kueneza filam ya yesu kupitia mashirika ya kidini mikutanon na masemina mliyokuwa mkioneshwa Projection ya sinema ya yesu then majarida na vipeperushi mpaka leo wanagawa mashulen kwa watoto wanawaharibu akili mapema ili wasije kuujua ukweli.

Nguvu hii inayotumika kumdanganya mtu mweusi kupitia mafunzo ya kidini, ndio ile ktk dini zenu mnaita Chapa ya 666 yaan kumfanya mtu halisi wa dunia(mtu mweusi) asahau utambulisho wake kwa kutaka ama kutotaka ndiomaana mafunzo haya ama uongo huu haukwepeki kirahisi na ukiukwepa ni vigumu kusurvive dunian maana utatengwa na nchi zote kuwekewa vikwazo vya kila namna ama kuuwawa,

Na ukiukubali uongo huo ndio pale unakuwa umekufa kiroho kwa kukubali chapa ya mafundisho ya uongo, hivyo sahau kuhusu Ufalme wa mbingu, labda kwa Neema sana kulingana na matendo yako dunian.

Narudia tena, huyo yesu hajawai kuwepo, stori zoote za dini zote ni uongo, mitume wote na manabii waliishi Africa na walikuwa watu weusi, hamuwezi kuambiwa haya na wachungaji wenu maana watauwa soko la makanisa, jarbu kupeleleza utatajua haya.

Dunia inaongozwa na shetan mwenyewe by 100% dunian wanamuabudu shetan uwe unapenda ama hupendi ukweli ndio huu ama vip urudie asili ya kumuabudu muumba wa kweli ambaye wazungu na waarabu walichakachua mafundisho yake.

Niishie hapa msijekuchanganyikiwa.
 
Kwanza nikukanushe dunia haijawai kuwa na watu wenye akili kama mnavyodangwanywa.

Pili uwepo wa wachoraji wenye akili na uwezo mkubwa wako wengi sana hata mitaani wapo, njoo uwaone watoto wanaoweza kukuchora mpka maungo yako ya sirini.

Tatu historia ya dunia imepindishwa kwa faida ya mzungu Tu, je vipi kuhusu Kemet iliyoongoza dunia nzima kwa zaid ya miaka 6000? Vip kuhusu utawala wa South afrika ya kale kabla ya ukolon, naongelea zaid ya miaka 5000bc sio hizo falme zenu za juzi hizo walizoongoza wafalme vibaraka, na je vip kuhusu ufalme wa Ethiopia ama kush ya kale ambayo ilikuwepo zaid ya miaka 6000 bc, siongelei hiyo ethiopia ya leo ya vibaraka wa kidini waliopewa Biblia za mchongo kuupa nguvu ukristo feki.

Dunia na historia mnayofundishwa ni kama 10% ya historia mnayotakiwa kujifunza, maana mashulen mnaanzia kusoma hivyo vijifalme vya waajem sjui warumi na takataka za kizungu, kumbe waliwai kuwepo wahindu, wachina na Waafrika kabla ya hizo dola za karibuni.

Kama dunia imepita maelfu ya miaka kwann mjifunze kuhusu historia inayogusa miaka maximum 7000 tu je miaka 30000 b.c nini kilikuwepo? Ni nani alitawala? Na wakina nani waliounda misingi ya dunia hii?

Jibu mnalipata kuwa mtu wa mwisho kupata dola kuongoza dunia kwa ujanja yaan mrumi ndie aliyeharibu historia hii ya dunia.

Dunia inanza ambapo maelfu ya miaka iliyopita kabla ya mgawanyo wa mabala, then inakuja historia ya chanzo cha Races dunian na mgawanyo wa makabila na matabaka ya rangi za watu+wanadamu, then inakuja historia ya falme 5 kubwa zilizotawala dunia miaka mingi iliyopita.

Ndipo zinakuja nyakati za giza ambapo warumi waliiba historia za watu wa kale na Jemedari wa kale wa jamii ya kiafrika ambaye babu za mama yake waliishi afrika mashariki ama babilon ya kale ama pia Edeni ya kale na baadae kuhamia central afrika ama Yerusalem ya kweli ya kale, na huko jemedari huyo alizaliwa kimiujiza yaan alizaliwa na Mama pasipo mimba yake kutungwa kwa muingiliano wa Me+Ke na hiyo zamani ilikuwa jambo la kawaida kwa mababu waliojua siri ya nguvu za Nuru Rohoni.

Mtu huyo alizaliwa afrika kwa mission maalumu na alikuwa mweusi kwakuwa Africa ni ya watu weusi, na mtu huyu alifanyiwa janja janja na wanadamu wa ngozi nyeupe kuuwawa, lkn alifufuka kimiujiza baada ya mission yake kukamilika aliondoka dunian kimazingara na kurudi Makao yake ambako ni nje ya mbingu za viumbe wa Roho za Nuru.

Mtu huyu ndiye habari zake wazungu wa kirumi waliiba na kukitengeneza kiumbe kiitwacho yesu kwa kukipa historia ya mtu huyo, na yesu huyo kibinadamu ni ufanano wa mwana wa mfalme wa rumi ya miaka ya 320, ivyo basi Yesu kama yesu hajawai kuwepo, Viongozi wenu wanayajua haya mambo.

Ubapozungumzia yesu unakuwa unamzungumzia JINI azazel/Zeus ambaye kiroho ni Jini/pepo lkn kibinadamu alipewa uhusika wa mtu mwenye ufanano na mwana wa mfalme wa rumi, ambaye ndie wakina Leonard da vinch walimchora, na Jini hili ndilo hucontrol tabia za ushoga&usagaji ndiomaana viongoz weng wa kidini wakipagawa na pepo hili huishia kuwalawiti watoto mfano mapadri&mashekhe wote wanatumia nguvu za hiki kiumbe.

Rumi hiyo ndio inatawala dunia leo hii kupitia mashirika mbalimbal dunian kama UN, WHO, UNHCR, mashirika ya muvi kama Hollywood, mashirika ya technolojia kama NASA, mashirika ya usambazwaji habari na media zote kubwa na mitandao mikubwa ya kijamii kama Fb, whatsApp, instagram, jamii za siri kama freemason&illuminat, mifumo ya siasa kama ubepari, ujamaa, mifumo ya kidemokrasia, pia Taasisi za Dini zote za ukristo&uislam ni mali yao hawa jamaa, hata lile taifa pendwa la israel ya mchongo ni wao walilitengeneza kwa kuakisi maisha ya wayahudi wa kwel ambao waliishi afrika na ambao ni watu weusi, na Taifa teule la kweli lilikuwepo hapa Africa central afrika katikati mwa afrika kutokea Eden ya kweli ambayo ni East Africa.

Jua kuwa picha ya yesu iliundwa kwa makusudi na lengo kubwa na Target ni mtu mweusi Tu, huko kwingine dunian hawahangaik nako bali Africa,

Ndioamaana ilitumika nguvu kubwa kueneza filam ya yesu kupitia mashirika ya kidini mikutanon na masemina mliyokuwa mkioneshwa Projection ya sinema ya yesu then majarida na vipeperushi mpaka leo wanagawa mashulen kwa watoto wanawaharibu akili mapema ili wasije kuujua ukweli.

Nguvu hii inayotumika kumdanganya mtu mweusi kupitia mafunzo ya kidini, ndio ile ktk dini zenu mnaita Chapa ya 666 yaan kumfanya mtu halisi wa dunia(mtu mweusi) asahau utambulisho wake kwa kutaka ama kutotaka ndiomaana mafunzo haya ama uongo huu haukwepeki kirahisi na ukiukwepa ni vigumu kusurvive dunian maana utatengwa na nchi zote kuwekewa vikwazo vya kila namna ama kuuwawa,

Na ukiukubali uongo huo ndio pale unakuwa umekufa kiroho kwa kukubali chapa ya mafundisho ya uongo, hivyo sahau kuhusu Ufalme wa mbingu, labda kwa Neema sana kulingana na matendo yako dunian.

Narudia tena, huyo yesu hajawai kuwepo, stori zoote za dini zote ni uongo, mitume wote na manabii waliishi Africa na walikuwa watu weusi, hamuwezi kuambiwa haya na wachungaji wenu maana watauwa soko la makanisa, jarbu kupeleleza utatajua haya.

Dunia inaongozwa na shetan mwenyewe by 100% dunian wanamuabudu shetan uwe unapenda ama hupendi ukweli ndio huu ama vip urudie asili ya kumuabudu muumba wa kweli ambaye wazungu na waarabu walichakachua mafundisho yake.

Niishie hapa msijekuchanganyikiwa.
Kitabu cha KEMET itabdi nikisome kwa kweli umenifumbua kitu
 
I hope y'all are doing just fine, It has been long time since I was here[JF Inteligence]
View attachment 2545863
Kuna mtu alileta mada humu akiuliza kwamba picha inayotumiwa na wakristo hasa wakatoliki ya mtu mmoja mzungu kua “ndie” yesu, je hiyo picha ni ya Yesu kweli? Akaongeza kwa kusema kwamba wakati yesu akiwepo kulikua hakuna teknolojia ya Photography wala Motion Picture…So wao waliitoa wapi picha hiyo na wana ushashidi upi kwamba yule ndio Yesu mwenyewe??

I’m glad you asked coz I would like to use this moment to Splendid Explain these stuffs to you!


Toka dunia kuumbwa, dunia imeshuhudia kuzaliwa kwa watu wawili wenye akili zaidi.watu hao walikua wenye uwezo wa kujifunza mambo wao wenyewe yaani Autodidacts na walikua wana uelewa na uwezo wa kufanya mambo meengi kwa wakati mmoja yaani Polymaths…watu hao si wengine bali ni Imhotep kutoka Misri ya zamani (Ancient Egypt) na Leonardo Da’Vinci kutoka Sicily Rome.

Imhotep alikuwepo duniani Zaidi ya miaka 5000 kabla ya kuzaliwa kwa Da’Vinci, Da’Vinci kazaliwa miaka 600 iliyopita yaani 1400s.Imhotep alikua kuhani mkuu wa mungu mkuu wa wamisri aitwaye mungu jua Ra, mbali na hayo jamaa alikua mbobevu katika hesabu,fizikia na biology hivyo alijikita sana katika usanifu wa majengo na tiba mbalimbali. Ukiziona Pyramids zilizopo misri wala usidanganyike kua alien ndio wamejenga bali ni huyu Inhotep ndio alizisanifu.

Wagiriki walimuabudu huyu mtu kama mungu wao wa tiba kutokana na mchango wake mkubwa katika tafiti zake zi kitabibu.

Kwa waliosoma mada zangu kadhaa zilizopita nilielezea jinsi utawala wa Ugiriki ulivyotokea na kuanguka na matokeo yaliyotokea baada ya ugiriki kuanguka. Kwa ambao hawajasoma nitaelezea kwa ufupi sana nini kilitokea.
Miaka ya nyuma ugiriki ya zamani ilikua imeundwa na miji ipatayo 100 na kila mji na ulikua na utawala wake japo walikua wakiungana na kusaidiana pindi uvamizi unapotokea, enzi hizo superpower wa dunia alikua Persia yaani Iran ya sasa. Iran ilikua inajitanua kwa kuvamia maeneo na kuyachukua hapo ndio alipoikaribia Ugiriki akitaka aanze kuchukua mji baaada ya mji, hapo ndio unakutana kisa cha mfalme Leonidas wa jiji la Sparta.

Vumbi ilitimka kweli kwa wapenzi wa muvi waliotazama muvi ya 300 na 300 Rise of Empire wanaelewa.
Baada ya vamizi kadhaa zilizokua zinafanywa na nchi kubwakubwa wagiriki wakaamua kuungana na kutengeneza nchi moja ya Greece. Mikaka ikaenda akatokea alexander the great akaikuza sana Greek, akaanzisha mji wake ulioitwa Alexandria katika nchi ya Misri. Kipindi hicho misri ilikua ndio hazina na kitovu cha Elimu dunia nzima.
View attachment 2545869
[Mwigizaji Gerald Butler aliyeigiza kama mfalam Leonidas wa sparta kutoka muvi ya ]

Wanafalsafa wengi na walienda hapo kusomea, hata mwandishi wa injili Luka alisomea hapo. Miaka ikaenda baada ya Ugiriki kuanguka Superpower aliyeibuka akawa Rome, Rome ilienda kuchukua kila kitu kilichokua misri wakakihamishia kwao. Maarifa yote yaliyokua Misri kwenye Maktaba ya kwanza kuanzishwa duniani yalihamishiwa Rumi.

Wakati nchi ya Israel ikitawaliwa na Rumi anazaliwa Yesu anafanya kilichomleta duniani kisha anafariki miaka 33 baadae, wafuasi wa Yesu wanaongenzeka na kupata ushawishi mkubwa katika serikali na maeneo mengi duniani.

Kwa wanaopenda Conspiracy, inasemaekana baada ya utawala wa Rumi duniani kuanza kuanguka watu wenye kufikiria mbali (futurist) wakiongozwa na mfalme Nero walikabidhi madaraka kwa wafuasi wa Yesu Kristo wa kipindi hicho ili Rumi iendelee kutawala dunia kupitia mlango wa nyuma (indirectly) ndipo ukristo ukatambuliko rasmi duniani kama Roman Catholic na wakapafanya Rumi kama ndio makao makuu ya Ukristo badala ya Yesrusalemu. (Sina uhakika kama nadharia hii ina ukweli ndani yake ila ina make sense sana maana wote twafahamu nguvu na ushawishi iliyonayo RC katika mataifa mbalimbali)

Miaka kadhaa tawala ya Rumi inaanguka, Ukatoliki ukawa umeenea maeneo mengi na ushawishi mkubwa ulimwenguni anazaliwa Leonardo Da’Vinci 1452, kutokana na uwezo mkubwa katika mambo mbalimbali kila alichokifanya kiliweza kua Perfecto. Davinci aliweza kuifanya tasnia ya uchoraji kua kubwa na yenye thamani sana kutokana na kazi zake bora na zenye kufikirisha za uchoraji.

Ni moja kat ya wachoraji wakubwa kuwahi ktokea hapa duniani kuna vitu kachora hakuna mwingine anayeweza kuchora labda urumie Powerful software…kama utanibishia jaribu kuchora duara na pembe nne vikiwa pamoja kama alivyochora mchoro wake wa Vitruvian man… Jamaa alikua anaweza kujichora yeye mwenyewe sura yake…Baadae anazaliwa Michelangelo ambae na kwa kiasi Fulani alijitahidi sana katika uchoroja unaweza kujionea michoro yake ya Sistine Chapel iliyopo hapo Vatican, lakini pia nae alibobea katika uchonganji (sculptures)
View attachment 2545902
[Sistine Chapel]
Inahusiana vipi na Picha ya Yesu…?

Kama nilivyoeleza huko juu Baada ya Ugiriki na Misri kuanguka na Rumi kuibuka kama Superpower alibeba maarifa yote yaliyokua Rumi na Ugiriki na kuyahamishia Roma, hivyo baada ya rumi kuanguka kanisa katoliki likabaki limeshikilia maarifa kutoka pande zote za dunia hasa misri,ugiriki na Israel. Leo hii hakuna taarifa au maarifa ambayo hayapo Vatican…Vatican inamiliki moja kati ya eneo lenye kulindwa Zaidi duniani ambalo hua haiingii huko mtu bila ruhusu maalumu…Hata Pope inabidi apate kibali kutoka kwa kiongozi wa Jesuists ndio anaweza kwenda huko.

Hivyo basi sidhani kwamba kanisa katopliki wanaweza kua wameshindwa kupata piacha ya yesu wakati wameweza kumiliki taaroifa za kutoka kila pande ya dunia. Kama Plato,Socrate, nk picha zao zipo na waliishi miaka mingikabla ya yesu haiwezekani yeye picha yake isiweze kupatikana.

Nimesema kipindi hicho taaluma ya uchoraji na uchongaji ilitumika Zaidi katika kuweka kumbukumbu za watu mbalimbali ndio maana leo ukiitaka picha ya Plato unaipata, kuna watu wamejaliwa uwezo mkubwa wa uchoraji unaweza kumuelezea kwamba Fulani sura yake ipo hivi na hivi na akaichora kama ilivyo. Njia hii hutumiwa sana na mashirika ya usalama hususan FBI na polisi. Tena sasa hivi kuna msaada wa softwares yaani ukimuelezea mtu anakutulea mchoro kama picha halisi…hivyo basi natumaini hata picha ya yesu watu wa zamani walitumia njia hiyo kuhifadhi taswira ya Kristo.

Ndio maana utakuta picha hiyo inayotumika sura yake ipo mahali pote sio tofauti. Hata miaka ya 1970s wakati wanaandaa filamu ya yesu walijaribu watu Zaidi ya waigizaji 200 ambao watafanana na Sura hiyohiyo ni Brian Deacon pekee ndio alifanikiwa kufit kwenye role hiyo kutokana na sura yake kufanana na sura inayotumika kuwasilisha taswira ya Kristo.
Ndio maana wasiojua wanapoona hiyo taswira ya yesu hua wanasema kwamba ni sura ya mwigizaji Brian Deacon…Si kweli, kwa maarifa waliyonayo RC hawawezi ruhusu hilo.

So kwa kuhitimisha ni kwamba Wakatoliki kukubali kuruhusu picha hiyo ya Yesu kutumika sio wajinga hata kidogo kwamba hawafahamu taswira halisi ya Kristo.​
Nilijua tungeona facts za kuthibitisha ya kuwa hiyo kweli ni picha ya Yesu.

Achilia mbali watu kutokuwana picha ya Yesu, hata picha ya Muhammad haipo. Kingine mpaka picha za watu maarufu na wasomi wakubwa walio ishi Karne ya 13 hazipo picha zao.

Kuna vitu mnatakiwa muwe na ushahidi nazo na si dhana kama hivi. Athari ya mapicha picha kama haya ni kumpa mtu taswira ya mtu ambaye kiuhalisia si yeye. Hii ni shida kubwa sana. Mmechorewa picha ya Mzungu wakati husemwa Yesu hakuwa mzungu.
 
Muhammad alikuwepo miaka 600 baada ya kristo sitaki kuamini warabu hawakutunza kumbukumbu yake maana nao walikua vizuri kiteknolojia
Wametunza kumbukumbu nyingi na wako vizuri katika hilo, ila picha yake haipo, kadhalika hapakuwa na haja ya kuwepo picha yake sababu si jambo la msingi.
 
Kitabu cha KEMET itabdi nikisome kwa kweli umenifumbua kitu
Tafuta historia ya nyuma angalau hata asili ya misri ya kale utaujua ukweli, huko utaona akielezewa mtu ambaye alikuwa na sifa kama za Yesu kabla ya ujio wa yesu, na baadae zaid ya miaka5000 anaibuka mtu anajiita mkombozi wakat huo kuna mkombozi aliyeishi kabla yake, je tumuamini yupi?

Hata uwe wew uletewe mtu anaejiita nyerere kazaliwa miaka ya 1980 na mwingine anajiita nyerere lkn kazaliwa miaka ya 1920 huko je utamuamini yupi?

Bila shaka utamuamin mtu wa mwanzo maana ndie aliyetoa Copies za Habari zake kwa wengine kumuiga? Na ndivyo ilivyo stories nying dunian ni uongo, jaribu kufuatilia muvi zinazoendeshwa na mashirika ya wazungu mfano hollywood huko wanawawekea siri nyingi za maisha yaliyopita na yajayo, lkn kwakua hatupendi kuchunguza content tupo bize na mamipira yasiyo na faida acha tuendelee kudanganywa.

Kiufupi muvi kama black panther ni uhalisia wa maisha ya Afrika ya kale iliyomilik technology ambazo kwa sasa hakuna mwenye uwezo wa kuzifanya, just imagine kipyramid tu kimewashinda wazungu kutambua kimejengwaje je wataweza kujiita wana akili? Uliza babu zako wapo wanaofahamu siri za hayo mapiramidi lkn hawasemi kwakuwa walikatazwa kueneza technolojia kwa watu weupe wanaotumia technolojia kwa malengo ya ushetani.
 
Nje ya mada kidogo pyramid of djoser na giza ni zipo sehemu moja au zilijengwa sehemu tofauti kwa wakati tofauti na wajenzi tofauti, 'nimetumia neno wajenzi na maana yangu'.
 
Tafuta historia ya nyuma angalau hata asili ya misri ya kale utaujua ukweli, huko utaona akielezewa mtu ambaye alikuwa na sifa kama za Yesu kabla ya ujio wa yesu, na baadae zaid ya miaka5000 anaibuka mtu anajiita mkombozi wakat huo kuna mkombozi aliyeishi kabla yake, je tumuamini yupi?

Hata uwe wew uletewe mtu anaejiita nyerere kazaliwa miaka ya 1980 na mwingine anajiita nyerere lkn kazaliwa miaka ya 1920 huko je utamuamini yupi?

Bila shaka utamuamin mtu wa mwanzo maana ndie aliyetoa Copies za Habari zake kwa wengine kumuiga? Na ndivyo ilivyo stories nying dunian ni uongo, jaribu kufuatilia muvi zinazoendeshwa na mashirika ya wazungu mfano hollywood huko wanawawekea siri nyingi za maisha yaliyopita na yajayo, lkn kwakua hatupendi kuchunguza content tupo bize na mamipira yasiyo na faida acha tuendelee kudanganywa.

Kiufupi muvi kama black panther ni uhalisia wa maisha ya Afrika ya kale iliyomilik technology ambazo kwa sasa hakuna mwenye uwezo wa kuzifanya, just imagine kipyramid tu kimewashinda wazungu kutambua kimejengwaje je wataweza kujiita wana akili? Uliza babu zako wapo wanaofahamu siri za hayo mapiramidi lkn hawasemi kwakuwa walikatazwa kueneza technolojia kwa watu weupe wanaotumia technolojia kwa malengo ya ushetani.
Safi ntakisoma aisee
 
Naona kama mwabishania upuuzi tu! Hayo mambo ya wazungu waachieni na tamaduni zao,mkijua dunia imejaa hadaa mtaacha haya mabishano yasiyo tija
 
Back
Top Bottom