Waliosema CHADEMA ni taasisi wala sio mtu walikuwa na maana gani?

Waliosema CHADEMA ni taasisi wala sio mtu walikuwa na maana gani?

Mr Dudumizi

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2020
Posts
7,799
Reaction score
14,215
Habari zenu ndugu zangu.

Watanzania wenzangu ni wiki ya pili sasa toka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwe, chama kimekuwa hakina muelekeo.

Kila mmoja ndani ya chama anatafuta njia ya kunufaika kupitia mgongo wa kesi ya Mbowe. Wapo wanaotaka kutumia ujinga wa wanachama wao kupiga hela kupitia michango wanayochangisha, wapo waliochapisha t'shirt kwa bei nafuu lkn wanaziuza kwa bei mbaya, wapo ambao wanatafuta tu umaarufu ili baadae wautumie umaarufu huo kama kichochoro cha kufanikisha malengo yao nk.
Sasa basi kwa haya tunayoyaona hapa, nimeamini kwamba CHADEMA ni mtu sio taasisi.

Maana wakati Mwenyekiti alipokuwa uraiani, hakuna mtu aliyepata namna ya kujinufaisha kwa njia yoyote bila kupitia kwa mwenyekiti ili wagawane mchongo.

Kwahiyo kwa haya ninayoyaona sasa, nimeamini kuwa chadema ndio Mbowe, na Mbowe ndio chadema. Hakuna cha taasisi wala cha "taa wao".

Tanzania ndio nchi pekee ambayo mwanasiasa anaweza kumiliki maelfu ya" ndondocha na misukule" bila kutumia mganga.
 
Ndugu yangu Dudusimizi, wewe ndiye unayekataa kuwa sio taasisi, au wao wanasemaje?
 
SACCOS.

Ni genge la mandondocha linaloongozwa na wanafamilia ,ndugu na wenye maslahi yao.

Ujinga wao ni kudhani CCM ni chama tu kama hayo "magenge yao".

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
 
Ndugu yangu Dudusimizi, wewe ndiye unayekataa kuwa sio taasisi, au wao wanasemaje?
Nazungumzia mwenendo wa chama baada ya mwenyekiti kufungwa mambo yote ndan ya chama yanakwenda shagala bagala.
 
SACCOS.

Ni genge la mandondocha linaloongozwa na wanafamilia ,ndugu na wenye maslahi yao.

Ujinga wao ni kudhani CCM ni chama tu kama hayo "magenge yao"

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
Hahahaha... ni hatari sana
 
Kile cha maharamia bambikizi,wao wanasemaje,nitaasisi au kikundi bambikizi kinachoogopa mabadiliko kama yale ya katiba mpya.
Unawaita watanzania maharamia?!!

Hivi unaujua ule MZIMU WA TAIFA kule deshdesh......

Mzimu hauwezi kukubali CHADEMA ipewe "inji hii".....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO
 
Hebu watizame nyusoni.....

Unampaje nchi MBOWE?!!🤣

Lissu anakuwaje PM?!! 🤣

Lema anakuwaje waziri wa fedha?!!🤣

Yaani MDUDE NYAGALI mkuu wa mkoa wa DSM ?!!!

Duuh.....
Hahahaha.. hao jamaa wakichukua nchi (japo ni ndoto) mi nabadili uraia... bora niwe mmalawi.
 
Chadema ni imani wala siyo mtu,utake usitake.
ES28K.jpg
tkuw.jpg
wtou8.jpg
AILDLr.jpg
 
Shetani Kweli ni mwovu jamani!
SACCOS.

Ni genge la mandondocha linaloongozwa na wanafamilia ,ndugu na wenye maslahi yao.

Ujinga wao ni kudhani CCM ni chama tu kama hayo "magenge yao".

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
 
Shetani Kweli ni mwovu jamani!
Kweli....shetani yule anayetaka kutumia DEMOKRASIA kuleta REGIME CHANGES through endless riots and sits-in that would be met with unnecessary confrontations and blood bath......

#AmaniKwanza
#UtulivuKwanza
#SerikaliMbiliMilele
#KaziIendelee
 
Chadema ni mbowe tuu afadhali na lisso ila hao wengine ni wapuuzi tuu
 
Umemuona Lowasa hapo au umewehuka?
Leo hii unajifanya Lowasa humuoni... Hii ndio Chadema ya Lowasa pichani

images (16).jpeg


images (15).jpeg

Na hapo chini ni chadema yenyewe bila Lowasa... Ona utofauti sio kibebeshwa zigo la miba kichwani kwako na kina Mbowe.

images (14).jpeg
 
Back
Top Bottom