Waliosema CHADEMA ni taasisi wala sio mtu walikuwa na maana gani?

Waliosema CHADEMA ni taasisi wala sio mtu walikuwa na maana gani?

Mimi picha nilizoweka haikuwa chadema ya Lowasa ila ukasukumizia na kulazimishia kuwa ni Lowasa!WTF!!!
Basi mkuu yaishe.. kila mmoja abaki na anachoamini. Siasa sio dini kusema mtu itampeleka mbinguni au motoni
 
Basi mkuu yaishe.. kila mmoja abaki na anachoamini. Siasa sio dini kusema mtu itampeleka mbinguni au motoni
Siasa ina uwezo wa kukupeleka mbinguni au motoni.Imagine kwa mfano jitu fulani liingie madarakani kama Rais halafu iibuke ebola halafu hilo jitu lisema kuwa chanjo hazifai.Huo siyo moto?
 
Siasa ina uwezo wa kukupeleka mbinguni au motoni.Imagine kwa mfano jitu fulani liingia madarakani kama Rais halafu iibuke ebola halafu hilo jitu lisema kuwa chanjo hazifai.Huo siyo moto?View attachment 1874213
Nafikiri ni bora huyu kuliko yule aliejitolea kutumia elimu yake ya sheria kutetea mashoga, wauza madawa ya kulevya na wahujumu uchumi. Pia kuna yule mwenyekiti alietafuna michango ya wabunge wake waliochanga kwa muda wa miaka mitano.... Ndugu yang ni bora uipiganie nafsi yako ili utapokufa roho yako iweze kufikia mahali pazuri, kuliko kumpiania mwanasiasa ambae haujui mambo mengi anayofanya sirini. Wahenga wanasema moyo wa mtu msitu ikiwa na maana kuna yale ambayo mtu anaweza akafanya bila ww ndugu, rafiki au jamaa yake usijue.
 
Nafikiri ni bora huyu kuliko yule aliejitolea kutumia elimu yake ya sheria kutetea mashoga, wauza madawa ya kulevya na wahujumu uchumi. Pia kuna yule mwenyekiti alietafuna michango ya wabunge wake waliochanga kwa muda wa miaka mitano.... Ndugu yang ni bora uipiganie nafsi yako ili utapokufa roho yako iweze kufikia mahali pazuri, kuliko kumpiania mwanasiasa ambae haujui mambo mengi anayofanya sirini. Wahenga wanasema moyo wa mtu msitu ikiwa na maana kuna yale ambayo mtu anaweza akafanya bila ww ndugu, rafiki au jamaa yake usijue.
Inakuwaje unalinganisha vitu viwili ambavyo havifanani?Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?Unawezaje kumlinganisha mtu ambae ni Rais wa nchi na mtu ambae siyo Rais wa nchi?

Unawezaje kumlinganisha mtu ambae ana dola na mtu ambae hana dola?Unawezaje kumlinganisha Rais ambae ugonjwa fulani unaweza kuibuka akakataa chanjo na Taifa zima likaangamia na mtu ambae hana mamlaka yoyote dhidi ya Taifa?Unamlinganisha vipi Rais ambae kwa mfano ana uwezo wa kushawishi sheria fulani ya kuangamiza Taifa zima itungwe kama alivyofanya Hitler dhidi ya wayahudi na mtu ambae hana mamlaka yoyote juu ya Taifa?Upo vyema kichwani?!WTF!!!

Rais ni dola.Rais ni mamlaka.Huwezi kumlinganisha Rais na mwanasiasa wa chama cha upinzani labda kichwani uwe ni debe tupu.Tutaendelea kuwaelimisha juu ya haya mambo simple hadi lini?Hamkusoma civics?!Wakati wenzenu wanajifunza juu ya haya mambo ninyi mlikuwa busy kula makamasi?
 
Kwani huko jamhuri ya Twitter wakiongozwa na raisi wao Kigogo wanasemaje
 
Habari zenu ndugu zangu.

Watanzania wenzangu ni wiki ya pili sasa toka mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe akamatwe, chama kimekuwa hakina muelekeo.

Kila mmoja ndani ya chama anatafuta njia ya kunufaika kupitia mgongo wa kesi ya Mbowe. Wapo wanaotaka kutumia ujinga wa wanachama wao kupiga hela kupitia michango wanayochangisha, wapo waliochapisha t'shirt kwa bei nafuu lkn wanaziuza kwa bei mbaya, wapo ambao wanatafuta tu umaarufu ili baadae wautumie umaarufu huo kama kichochoro cha kufanikisha malengo yao nk.
Sasa basi kwa haya tunayoyaona hapa, nimeamini kwamba CHADEMA ni mtu sio taasisi.

Maana wakati Mwenyekiti alipokuwa uraiani, hakuna mtu aliyepata namna ya kujinufaisha kwa njia yoyote bila kupitia kwa mwenyekiti ili wagawane mchongo.

Kwahiyo kwa haya ninayoyaona sasa, nimeamini kuwa chadema ndio Mbowe, na Mbowe ndio chadema. Hakuna cha taasisi wala cha "taa wao".

Tanzania ndio nchi pekee ambayo mwanasiasa anaweza kumiliki maelfu ya" ndondocha na misukule" bila kutumia mganga.
Kwa hiyo ccm hayako katiba mpya ni ndondocha au watz wote ni ndondocha wamebambikwa tozo wako kimya
 
SACCOS.

Ni genge la mandondocha linaloongozwa na wanafamilia ,ndugu na wenye maslahi yao.

Ujinga wao ni kudhani CCM ni chama tu kama hayo "magenge yao".

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
#NchiKwanzaKablaYaNafsiZetu
Nani mwenye akili anashobokea ccm labda wenye maslahi,
 
Kweli....shetani yule anayetaka kutumia DEMOKRASIA kuleta REGIME CHANGES through endless riots and sits-in that would be met with unnecessary confrontations and blood bath......

#AmaniKwanza
#UtulivuKwanza
#SerikaliMbiliMilele
#KaziIendelee
we pimbi, mpubavu akiandika kingereza hujiona mjanja, tunaodai katiba ni sisi wananchi tusio na vyama
 
Back
Top Bottom