WAlioshangaa Yanga kutolewa CAF champions cup ni mambumbumbu wa soka: Yanga hufuzu mara moja robo fainali katika muda wa miaka 25!

WAlioshangaa Yanga kutolewa CAF champions cup ni mambumbumbu wa soka: Yanga hufuzu mara moja robo fainali katika muda wa miaka 25!

Tatizo walijipa matumaini makubwa wakati timu yao kwa sasa ni tia maji tia maji!! Haya yatajidhihirisha zaidi kwenye ligi kuu ya ndani!!
 
Utakuta mshabiki anajiaminisha asilimia 100 kuwa yanga lazime isonge robo fainali wakati timu haina wachezaji wa kuifanya isonge mbele!! Ni Azizi KI tu aliyekuwa anaipambania timu kama ya baba yake vile!!
 
MIAKA 25 ROBO!! Subirini mwaka 2049 kwa wata,kaojaliwa kufika huko!!
 
Huu ni utaratibu wa Yanga kufuzu robo fainali kila baada ya miaka 25! yaani robo miaka 25!! Ilifuzu mwaka 2024 baada ya miaka 25 toka ifuzu hapo awali. Itafuzu tena mwaka 2049!!!.
IMG-20250119-WA0007.jpg
 
Anaingia mchezaji namba 17 clatous chama, nasikia "weweeee safi sana iyo" magongowazi yanashangilia. Dah! aibu sana
 
Huu ni utaratibu wa Yanga kufuzu robo fainali kila baada ya miaka 25! yaani robo miaka 25!! Ilifuzu mwaka 2024 baada ya miaka 25 toka ifuzu hapo awali. Itafuzu tena mwaka 2049!!!.
Kachezeni Fainali ya kombe la kina mama kwanza alafu mje mrudi tuongee.
Yanga kacheza robo Fainali ya klabu Bingwa 1969, 1970 mara mbili mfululizo, kacheza robo kombe la Abiola juzi tu 1995 Yanga ya kina Nonnda, kacheza robo 1998 klabu Bingwa ngazi ya makundi, Kacheza Fainali 2023 kombe la kina mama, kacheza robo klabu bingwa 2024 kwaiyo mkacheze Fainali kwanza uko kwa kina mama ndio mrudi tuongee.
 
Kachezeni Fainali ya kombe la kina mama kwanza alafu mje mrudi tuongee.
Yanga kacheza robo Fainali ya klabu Bingwa 1969, 1970 mara mbili mfululizo, kacheza robo kombe la Abiola juzi tu 1995 Yanga ya kina Nonnda, kacheza robo 1998 klabu Bingwa ngazi ya makundi, Kacheza Fainali 2023 kombe la kina mama, kacheza robo klabu bingwa 2024 kwaiyo mkacheze Fainali kwanza uko kwa kina mama ndio mrudi tuongee.
Wewe kweli hujitambui. Simba imeshacheza fainali ya kombe la Afrika na ina rekodi kadhaa ambazo hazijawahi kufikiwa na Utopolo. Subirini wanaume wawatafutie nafasi ya kushiriki kimataifa. Huna jipya
 
Kachezeni Fainali ya kombe la kina mama kwanza alafu mje mrudi tuongee.
Yanga kacheza robo Fainali ya klabu Bingwa 1969, 1970 mara mbili mfululizo, kacheza robo kombe la Abiola juzi tu 1995 Yanga ya kina Nonnda, kacheza robo 1998 klabu Bingwa ngazi ya makundi, Kacheza Fainali 2023 kombe la kina mama, kacheza robo klabu bingwa 2024 kwaiyo mkacheze Fainali kwanza uko kwa kina mama ndio mrudi tuongee.
Mpaka mseme… endelea kukagua historia. Chura nyie 😂😂😂
 
Wewe kweli hujitambui. Simba imeshacheza fainali ya kombe la Afrika na ina rekodi kadhaa ambazo hazijawahi kufikiwa na Utopolo. Subirini wanaume wawatafutie nafasi ya kushiriki kimataifa. Huna jipya
Haina haja ya kumtajianrekodi za simba kimataifa.
 
Back
Top Bottom