Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Gusa Achia twende kunywa supu.Gusa achia twende wapi,,,,,?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gusa Achia twende kunywa supu.Gusa achia twende wapi,,,,,?
Huu ni utaratibu wa Yanga kufuzu robo fainali kila baada ya miaka 25! yaani robo miaka 25!! Ilifuzu mwaka 2024 baada ya miaka 25 toka ifuzu hapo awali. Itafuzu tena mwaka 2049!!!.
Tena shabiki anakwambia Yanga hii hadi fainali kabisa kama sio kuchukua ndoo ya CAFCLUtakuta mshabiki anajiaminisha asilimia 100 kuwa yanga lazime isonge robo fainali wakati timu haina wachezaji wa kuifanya isonge mbele!! Ni Azizi KI tu aliyekuwa anaipambania timu kama ya baba yake vile!!
Mwakikundi watàsababisha tupunguziwe timu mashindano ya Africa,Wewe kweli hujitambui. Simba imeshacheza fainali ya kombe la Afrika na ina rekodi kadhaa ambazo hazijawahi kufikiwa na Utopolo. Subirini wanaume wawatafutie nafasi ya kushiriki kimataifa. Huna jipya