Walioshinda kiuchumi siku zote waligeuza changamoto kuwa fursa

Walioshinda kiuchumi siku zote waligeuza changamoto kuwa fursa

Mr Q

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
18,046
Reaction score
38,598
Je, katika wakati huu wa hili gonjwa umeona fursa gani? Zingatia yafuatayao:

Endapo serikali ikiamuru kila raia avae barakoa, hii inamaanisha kwamba wafanyabiashara waanze kujiimbikizia makontena ya barakoa kwa matumaini kua watakuja kuuza hapo baadae kidogo?

Endapo serikali ikafunga mipaka kimikoa ila ikaacha shughuli nyinginezo ziendelee ndani kwa ndani, hii inamaanisha watu waanze kukusanya mazao kwa wingi kwani baada ya hapo ualishaji utazorota na hivyo kujiingizia kipato kwa kuyauza mazao hayo baadaye?

Au wewe katika janga hili la corona umeona fursa gani? Au umeona malalamiko tu kwa serikali kuwa haijachukua hatua?

Hebu tujaribu kufikiri tofauti kidogo ili tuitumie changamoto hii kama fursa.
 
Hii na pandemic sio epidemic mkuu.

Yani uchumi wa dunia utaporomoka kwa % kadhaa, so dont expect to make $ out of pandemic.
Unforgetable
 
Hii na pandemic sio epidemic mkuu.

Yani uchumi wa dunia utaporomoka kwa % kadhaa, so dont expect to make $ out of pandemic.
Unforgetable
projections za WHO kama zitaenda kama zilivyosemwa ni miez minne mpaka mitano toka sasa kwa miezi hiyo ya karibu robo au nusu mwaka haifai kuwaza cha kufanya?
 
barakoa nayo ni fursa
inaweza isiwe fursa ila nikukumbushe jambo moja

ni hivi karibuni marejani kalaumiwa na mjermani kama sikosei kwa kufanys uharmia wa mzigo wa vifaa tiba uliokua uende ujermani(nisahihishwe kama nimekosea nchi) je hsli hiyo ikifika huku nchi zetu hali itakuwaje?
 
Je, katika wakati huu wa hili gonjwa umeona fursa gani? Zingatia yafuatayao:

Endapo serikali ikiamuru kila raia avae barakoa, hii inamaanisha kwamba wafanyabiashara waanze kujiimbikizia makontena ya barakoa kwa matumaini kua watakuja kuuza hapo baadae kidogo?

Endapo serikali ikafunga mipaka kimikoa ila ikaacha shughuli nyinginezo ziendelee ndani kwa ndani, hii inamaanisha watu waanze kukusanya mazao kwa wingi kwani baada ya hapo ualishaji utazorota na hivyo kujiingizia kipato kwa kuyauza mazao hayo baadaye?

Au wewe katika janga hili la corona umeona fursa gani? Au umeona malalamiko tu kwa serikali kuwa haijachukua hatua?

Hebu tujaribu kufikiri tofauti kidogo ili tuitumie changamoto hii kama fursa.
Nadhani usafirishaji wa vyakula utaendelea kama kawaida
Pia huduma za afya na huduma za fedha
Na za usalama pia
Vingine ndo vitalock down
 
Naona fursa ya kuuza vyakula kwa mfumo wa takeaway na delivery
 
zipi hizo maathai
IMG_20200409_073958_7.jpg

Dagaa boss wangu! Zinatoka kwa mwendo kasi
 
Back
Top Bottom