Walimu hawana posho ndiyo maana wanategemea mishahara 100%, sitaki kuwalaumu CCM imewageuza kuwa tegemezi
Mimi mwenyewe sitaki kusema kwamba CCM inawafanya matoy yao hapana walimu hawana overtime ambapo walio wengi wanatoka shuleni hadi saa 12 jioni, walimu walitakiwa kuwekewa japo posho ya nauli na mawasiliano, walimu wengi wamepanga au wamejenga kwa gharama zao walitakiwa walipwe japo kidogo house allowance halafu ukijumlisha hizo posho wangelipwa katikati ya mwezi ili inapofika mwisho wa mwezi wapewe mishahara yao iwe kama askari wanavifanyiwa