Waliosomea shahada ya mifugo, misitu, kilimo, kuitwa Afisa mifugo, afisa misitu, afisa kilimo. Lakini waliosomea shahada ya elimu hawaitwi afisa elimu

Mbona Yesu aliitwa mwalimu na hakuitwa Afisa Elimu?
Afisa Elimu mpaka uwe na shahada ya Elimu. Usichanganye huduma za rohoni na za mwilini. Kwenye Kanisa mpaka leo kuna wenye huduma ya ualimu. "....Mungu alitoa wengine kuwa wachungaji na waalimu ..."
 
Afisa Elimu mpaka uwe na shahada ya Elimu. Usichanganye huduma za rohoni na za mwilini. Kwenye Kanisa mpaka leo kuna wenye huduma ya ualimu. "....Mungu alitoa wengine kuwa wachungaji na waalimu ..."
Yesu alikuwa rohoni na mwilini rafiki,sasa huo ualimu wake ulikuwa wa daraja lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…