Waliotabiri mvua itanyesha hawakukosea

Waliotabiri mvua itanyesha hawakukosea

Mvua rain🌦️🌦️ipo
Niko kwangu hapa usagara imepiga hataree
 

Attachments

  • IMG_20231031_112832_190.jpg
    IMG_20231031_112832_190.jpg
    362 KB · Views: 3
  • IMG_20231031_182553_175.jpg
    IMG_20231031_182553_175.jpg
    668.5 KB · Views: 3
Hongera mkuu kwa mjengo, samahani huo mjengo ni vyumba vingapi?
Hizo ziko two in one compound,moja ndo nimefikia,moja atakaa mpangaji nikimpata
Ni za mwanangu wa pili nimemjengea
Kuna mastaz,sebule kubwa,na jiko la kizungu la kutumia umeme,na hapa umeme haukatiki,ni masaa 24 full,ule umeme wa Uganda🙏
Kuna ground kubwa ya kuongeza nyingine Kama 3 panapo majaliwa🙏
 
Hawa TMA kwa kweli hawakukosea Leo nimechapwa na mvua Moja pande za kisongo airport mpaka nikaficha simu yangu sehemu za siri.

Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji.

Ninavyoandika huu Uzi bado mvua kubwa inanyesha Arusha

Tumshukuru Mungu
TMA ni chombo cha kisiasa tu kama vilivyo vyombo vingine kama hicho vinavyoitwa mamlaka. Huu ni msimu wa mvua kunyesha kwa majira yake. Isiponyesha italeta taharuki kwa nini isinyeshe wakati ni majira yake kunyesha? Hizo mamlaka husema vitu ambavyo ni lazima vitokee kwa mujibu wa jiografia ya mahali fulani
 
Hawa TMA kwa kweli hawakukosea Leo nimechapwa na mvua Moja pande za kisongo airport mpaka nikaficha simu yangu sehemu za siri.

Ni mara ya kwanza nime experience kichapo Cha mvua namshukuru Mungu yule jomba aliyekua anaendesha harrier yake alinipa lift manake sikuona bodaboda wala bajaji.

Ninavyoandika huu Uzi bado mvua kubwa inanyesha Arusha

Tumshukuru Mungu
Hongereni sana kwa mvua.... Sisi huku hatujaiona hata tone🥲
 
Back
Top Bottom