samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,233
Ije Mvua ije Jua iwe usiku iwe jioni na siku ileile 5imba yaenda kupigwa tena ila huenda zikapungua kiasi endapo watacheza kwa kujituma ingawa hawawezi kupenya ukuta mgumu walioshindwa masandawana au mamelods sundown waliowashabikia saana na hawakufua dafu kabisa.
Nipo pale nasubiri
Nipo pale nasubiri