Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
49. Shamsa Mwangunga (Ubungo)
Huyu mjanja sana aliliachia jimbo akarusha kete kwenye viti maalumu na kapeta anarudi mjengoni kula jasho la watanzania kama kawa
26. Juma Ngasongwa (Ulanga Magharibi)
Dim Sound As New System.Media.SoundPlayer()
Kuna mtu mwenye matokeo ya huko yalikuwaje? at least mshindi ni nani? Maana Masako alikuwemo humo na ITV sijasikia kitu!
Hivi Ritha Mlaki na yeye vp?
Alipona kweli?
ameibuka mshindi wa pili maana yake nini, kashinda hajashinda?Alishituka mapema akaona ajisalimishe viti maalumu ambako ameibuka mshindi wa pili
Sophia Simba ni mbunge tayari. Anasubiri kuapa tu. Mwenyekiti wa UWT( T) ni Mbunge namba 1 wa VITI MAALUM. Democrasia ya Kitanzania hiyo!Jaman Sophia Simba na Yeye ajaangukia pua kweli?
mkuu...safi kwa analysis yako...lakini nadhani unatakiwa ukae mkao wa kui-update hii list muda wote. Wadau wamekupa majina zaidi! But safi sana.