FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Hivi hamuoni kwamba hii itakuwa ngumu kwa upinzani sasa?
Naona CCM wametumia ujanja ili waondoe makapi yaliyokuwa hayapendwi na wananchi ..ili uchaguzi utakapofika wote watakaoshindania Kinyang'anyilo ni wale waliochaguliwa na wananchi wenyewe??
La sivyo kungekuwa na hatari huo msululu woooote uliotoka ungechukuliwa na wapinzani kama bado ungekuwa kwenye kinyang'anyilo.
Naona CCM wametumia ujanja ili waondoe makapi yaliyokuwa hayapendwi na wananchi ..ili uchaguzi utakapofika wote watakaoshindania Kinyang'anyilo ni wale waliochaguliwa na wananchi wenyewe??
La sivyo kungekuwa na hatari huo msululu woooote uliotoka ungechukuliwa na wapinzani kama bado ungekuwa kwenye kinyang'anyilo.