Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Juzi Rais alialika wasanii (chawa?) wakajumuike nae Ikulu kwa ajili ya kupata futari ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao ndio ilikua chungu cha kwanza, jambo jema!

Baada ya hapo taharuki kuu imejitokeza baada ya picha ya Rais Samia akikatiza mbele ya wauza madafu wawili ambao walikua wamesimama kwa utii na upole(ukakamavu kiasi).




Swali la kujiuliza wauza madafu wale walikua na mapanga na mabisu yao kwenye viuno na mtenga kama wauza madafu wa mitaani kwetu?

Ikiwa waalikwa walipewa mualiko wa karamu ya chakula, wauza madafu walikua pale kwa ajili ya kumuuzia nani?!! Kwa mamia ya watu waliolikwa, tenga 2 za madafu zingewatosha wakina nani? Tutarajie siku nyingine wauza pweza, ngoka 11 nao kujumisha?

Mwezi mtukufu, kuna ulazima wa kuleta matukio ya kupika?

Ukiwaza kidogo nje ya box,ikiwa maigizo Hadi kwenye mambo ya mwezi mtukufu,je mambo mangapi muhimu na nyeti Watanzania wanafanyiwa hadaa na maigizo?

Imenikumbusha enzi za Magufuli kusambaziwa picha akiwa kijiweni anakunywa gahawa na walalahoi huku walalahoi hao wakiwa na fulana zenye nembo ya serikali ya Bibi na Bwana!



Embu kujeni wasikieni ilikuwaje kuwaje hadi kuingia Ikulu.

Wengi wanasema ni Usalama.

a na bahati kama hiyo.

 
Labda Mimi ndio sielewi mtu anaposema yale ni maigizo. Hao jamaa kama ni kweli wanaigiza kuuza madafu basi maana yake wapo hapo Kwa lengo la kuimarisha ulinzi na usalama ikiwa na maana kwamba wapo kuwazuga waalikwa na sio sisi wa mtandaoni.
Inawezekana ni tafsiri zetu sisi mashabiki kwamba ionekane na wauza madafu wanyonge nao wamealikwa kumbe waliowaweka hapo wamewaweka Kwa shughuli za kiusalama kukusanya taarifa tu. Mtu anasema maigizo mengi Sasa wewe umejuaje kama ni maigizo wakati hauhusiki na Wala hujui mambo yanavyoenda!!
 
yote ya yote huyo rasi ndio kaniacha na mshangao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…