Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Vijna kumbe Ni wasomi wale bhna mmoja anasoma nit coz ya logistics so Kuna mengi sanaa
Point of correction. Siyo wote, sema kuna baadhi ya machizi wapo kaziniMachizi wote unawaona mtaani ni wana usalama wako kazini.
Maana yake ni kwamba, kwenye utendaji wao haqazingatii weledi bali maagizoSioni shida wanavofanya
Shida ni kwa nini kwenye maigizo yao wanashindwa ku cover identity zao mpaka tukawatambua wanafanya makosa madogo madogo ambayo yanatoa hint kwa civilian
Kwan kusoma NIT, hawezi kuwa mtu wa ikulu?Wengi walisme usalama
Kumbe dogo msomi wa nit coz logistics
Afande habari yako?Vijna kumbe Ni wasomi wale bhna mmoja anasoma nit coz ya logistics so Kuna mengi sanaa
Hata mimi napata tabu sana kuitafuta na kuipata.Hakuna hoja ya kujadili hapa
Mkuu,Hakuna mwana Idara hapo..
Alafu kingine sijui nani aliyewaaminisha kuwa mtu asie na NDEVU ni Askari.. mtakuja kuumia vby sana.
Kabisa nakuunga mkono mkuuLabda Mimi ndio sielewi mtu anaposema yale ni maigizo. Hao jamaa kama ni kweli wanaigiza kuuza madafu basi maana yake wapo hapo Kwa lengo la kuimarisha ulinzi na usalama ikiwa na maana kwamba wapo kuwazuga waalikwa na sio sisi wa mtandaoni.
Inawezekana ni tafsiri zetu sisi mashabiki kwamba ionekane na wauza madafu wanyonge nao wamealikwa kumbe waliowaweka hapo wamewaweka Kwa shughuli za kiusalama kukusanya taarifa tu. Mtu anasema maigizo mengi Sasa wewe umejuaje kama ni maigizo wakati hauhusiki na Wala hujui mambo yanavyoenda!!
kabisa nakuunga mkono mkuuLabda Mimi ndio sielewi mtu anaposema yale ni maigizo. Hao jamaa kama ni kweli wanaigiza kuuza madafu basi maana yake wapo hapo Kwa lengo la kuimarisha ulinzi na usalama ikiwa na maana kwamba wapo kuwazuga waalikwa na sio sisi wa mtandaoni.
Inawezekana ni tafsiri zetu sisi mashabiki kwamba ionekane na wauza madafu wanyonge nao wamealikwa kumbe waliowaweka hapo wamewaweka Kwa shughuli za kiusalama kukusanya taarifa tu. Mtu anasema maigizo mengi Sasa wewe umejuaje kama ni maigizo wakati hauhusiki na Wala hujui mambo yanavyoenda!!
Kwanza kabisa, hakuna uthibitisho wowote kwamba hao si wauza madafu wa kawaida tu.Labda Mimi ndio sielewi mtu anaposema yale ni maigizo. Hao jamaa kama ni kweli wanaigiza kuuza madafu basi maana yake wapo hapo Kwa lengo la kuimarisha ulinzi na usalama ikiwa na maana kwamba wapo kuwazuga waalikwa na sio sisi wa mtandaoni.
Inawezekana ni tafsiri zetu sisi mashabiki kwamba ionekane na wauza madafu wanyonge nao wamealikwa kumbe waliowaweka hapo wamewaweka Kwa shughuli za kiusalama kukusanya taarifa tu. Mtu anasema maigizo mengi Sasa wewe umejuaje kama ni maigizo wakati hauhusiki na Wala hujui mambo yanavyoenda!!
Kwa nini unakuwa na uhakika hivyo au wewe ndio upo idarani na hujawaona? Nikuhakikishie hata idarani siyo wote wanajuanaHakuna mwana Idara hapo..
Alafu kingine sijui nani aliyewaaminisha kuwa mtu asie na NDEVU ni Askari.. mtakuja kuumia vby sana.
Sasa cha ajabu ni nini bro kwani ukishatawazwa kuwa Rais unageuka kuwa malaika? au hawajawahi kuishi maisha hayo?....Jiwe ndiyo alikuwa Kiboko kwa kuigiza sinema, anakunywa kahawa kule ferry na wana harafu kuna sehemu anachukua hindi lililochomwa uraiani na kula😀😀
Kila mwananchi mzalendo ni Afisa Usalama Ujue 🐼Nguvu kubwa inatumika kuuaminisha umma kuwa hao wauza madafu wa kivukoni sio agents wa TISS.
KabisaWengi walisme usalama
Kumbe dogo msomi wa nit coz logistics