Fernando Wolle
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 387
- 770
Binafsi niliwahi kuchukua mkopo wa milioni 5 kwenye bank moja hivi. Marejesho nakumbuka yalikuwa 516,666TZS kila mwezi kwa miezi 12.
Hakukuwa na manufaa sana ila tu mkopo ulisaidia kuinusuru biashara ambayo ilikuwa inayumba. Wakati nachukua mkopo tayari nilikuwa na biashara ambayo kwa mwezi ilikuwa inaingiza faida ya 350,000 kwa mwezi.
Nilipochukua mkopo faida ilipanda mpaka 600,000 kwa mwezi. Lakini kumbuka kuna rejesho. Marejesho hayakusumbua sana lakini baada ya kumaliza mkopo biashara ilirudi kule kule tu faida ya 350,000. Kwahiyo sikuona faida ya mkopo zaidi yankupata stress na roho kuniuma tu yani biashara nilikuwa nawafanyia Bank.
Tushirikishane namna bora ya kunufaika na mkopo wa biashara.
Hakukuwa na manufaa sana ila tu mkopo ulisaidia kuinusuru biashara ambayo ilikuwa inayumba. Wakati nachukua mkopo tayari nilikuwa na biashara ambayo kwa mwezi ilikuwa inaingiza faida ya 350,000 kwa mwezi.
Nilipochukua mkopo faida ilipanda mpaka 600,000 kwa mwezi. Lakini kumbuka kuna rejesho. Marejesho hayakusumbua sana lakini baada ya kumaliza mkopo biashara ilirudi kule kule tu faida ya 350,000. Kwahiyo sikuona faida ya mkopo zaidi yankupata stress na roho kuniuma tu yani biashara nilikuwa nawafanyia Bank.
Tushirikishane namna bora ya kunufaika na mkopo wa biashara.