Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 675
Sitasahau siku nimelala guest moja mitaa ya mwananyamala (ya bei rahisi) na mtoto mmoja mkali ila wa uswahilini ili kujilia tunda ile nimeingia naanza kuandaa mazingira kumbe kuna wajomba (wazee wa DEO) wananila chabo na mtoto dirishani. Baada ya kustuka na kuzima taa nimekolea kwenye game nilikumbwa na vimbwanga vya mapaka yenye milio ya kila aina. Usiku ulikuwa mrefu kiasi kwamba nilishindwa kuenjoy kilichonipeleka.
Niliiona ile siku chungu na nikadiriki kusema mwananyamala na mimi basi.
Wewe umewahi kukutana na kipi?
Niliiona ile siku chungu na nikadiriki kusema mwananyamala na mimi basi.
Wewe umewahi kukutana na kipi?