Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 675
kitanda kilivunjika mtoto wa watu akapasuka kichwa.
toka hio siku sifanyi tena vitandani.
Mimi pale bugurun baada ya kulipia chumba mhudumu wa guest akaja kuniuliza kama nahitaji huduma ya mauno, nikajivuga nikamwambia aniletee Dada mdogo mdogo asiwe jimama likaniteka usiku dah dakika tano nyingi mlango ukagongwa akaingia na kadada kadogooo kananyonyesha mtoto miezi saba mpaka tisa hivi nikauliza ndo huyu? wakaitikia ndio. Sikumbuki niliwajibu nini ila niliona wanafungua mlango na kuondoka.
Mzee story ina hang bado..Mimi pale bugurun baada ya kulipia chumba mhudumu wa guest akaja kuniuliza kama nahitaji huduma ya mauno, nikajivuga nikamwambia aniletee Dada mdogo mdogo asiwe jimama likaniteka usiku dah dakika tano nyingi mlango ukagongwa akaingia na kadada kadogooo kananyonyesha mtoto miezi saba mpaka tisa hivi nikauliza ndo huyu? wakaitikia ndio. Sikumbuki niliwajibu nini ila niliona wanafungua mlango na kuondoka.
Mzee story ina hang bado..
Waliondoka wakakuachia mrembo ule mzigo au waliondoka na yule mrembo ukabaki peke yako?
Ahaahahahah we wajipendaHapa nitakua msomaji tu maana sijawahi kuwa mbahili na kulipia gest ya bei ndogo ndogo yakuumiza kichwa changu
Bora ulionyesha utu wengine wangemla hivyo hivyo.Wote na mrembo mwenyewe.mdada ananyonyesha utaanzaje kumkwich?
Ulifanya la maanaWote na mrembo mwenyewe.mdada ananyonyesha utaanzaje kumkwich?
ndugu ujue ulihamisha majeshiAisee mm nilienda gest moja maeneo ya buguruni na mtoto flani hiv ila wakawaida
Daah kulikua na kunguni katika godoro hadi ikawa balaa
Nilikula mzigo kibishi bishi ila niliapa mm na gest za buguruni basi tena