Mama Sabrina, nkwambie ukichelewa mwanaume ishuuu, lazima mwanamke alalamike, Jana tuu nilikuwa nakuongoza mzigo, ulinisumbua Sana, sasa jana ukajichanganya, nikaugonga gongaaaaaaa gongaaaaaaaaa, ukaanza kusema kojoa bwana kwani umekunywa dawa ya kutokojoa!? Nikamjibu kawaida tuu, .... Kama alivosema jamaa ukichelewa nongwaa, ukiwahi nongwaaaMi napenda mwanaume achelewe[emoji6][emoji6]
Daah mkuu pole sanaaaa!! Ila umehitimisha vema sana stori yakoAsalam Aleikhum, Shalom, Bwana Yesu asifiwe, Tumsifu Yesu Christo . Natumai mu salama,
Wanajamviii bwana, kunasiku 1 nilisafiri kikazi mkoa wa Lindi, tulikuwa kama mtu 7, wanaume 6, na mmoja ni mwana mama. Sasa Tukafikia Lodge/Guest flani hivi near Bahari, siikumbuki jina (na SINAHAJA YA kutaka kuikumbuka) , basi kwakuwa vijana tuna mambo mengi tulivofika tuu tukashuka garini vijana tukazama kwenda kucheki sampuli za vyumba. Huku tukiwa na mpango Yule mama na wengine wenzetu watatu (Me) tuwaengue tusilale nao gesti 1 ili tujitanue kufanya yetu. Basi kuingia tukakuta vyumba self-contained 4, fasta jamaa akarudi kwenye gari akawaambia jamanii kuna nafasi zipo 3, kwahiyo sie tumefika, akashuka kijana mwingine tukawa watatu, wazee/watuwazima 3 near 40 mama na Dereva wakaenda kutafuta gesti maeneo ya Lindi Stend. SASA Kama ilivo mambo ya vijana tukajichanganya bar 1 . Kula, kunywa na baadae tuondoke na vimwali, SI NDIO NKAOPOA MWALI 1, tukasepa mpaka gesti, sasa tumo ndani kila kijana akimuhemea mdada alomuopoa mara nikasikia mlangowangu unagongwa, nikakatisha kula papuchi nkaendakufungua nikiwa na imani ni mwenzangu labda anashida, kucheki ni mdada muhudum wa Gesti, akanambia Kwa upole, huyo mdada ulonaye anaitwa nje, nikamjibu poa, sasa kwakuwa vijana wenu nilikuwa sijakojoa nkajua huyu dem atakuwa anawengi so mpaka nikojoe ndio nimruhusu atoke maana nikimruhusu kabla anaweza asirudi. Nikakomaa na gem nikashusha kimoja cha fasta. Namaliza tuu mlango unagongwa tena, nikampa ujumbe oyaa kunawatu wanakuulizia nje, kawasikilize! Anafungua mlango mala naona njemba 2 zimemdaka, mie naangalia tu, wakatoana nje, Sikujihusisha nkatulia ndani kimyaaa. Mara mlango ukagongwa nikajua dem anarudi, mlango ukapigwa teke jamaa Kama 5hiv zikaingia wakaanza kutaka kunitoa nje, nikaona nikibishana nao itakuwa noma, basi nkatoka nikamkuta dem kakalishwa chini, alafu jamaa 1 anamlinda. Kufika wakasema nimeMt.. mba dem wao kwahiyo wanataka hela, simu,. Nikawaambia mie sijamtmba na pale ndani ndio kwaaanza tulikuwa tunaelewana bei. Hawakuamini wakamuuliza dem akawajibu hivo hivo, wakaniachi wakaanza kumpakichapo dem huku wanaondoka kuelekea bar, mie nikarudi ndani nkachukua kibegi changu nkasepa. JAMANI TUJIFUNZE. kesho yake tukapiga kazi wenzangu wananiuliza mbona tumeamka asubuhi hatujamuona ulilala wapi, sikuwajibu ukweli nikawaambia nilipata dem anageto lake kwahiyo ndo nalalakwake. Sasa siku tunaondoka jamaa wakaanza kunipakisa kisa kilichotokea, wakasema afadhali nilivopata dem mwingine nikalala kwake sababu kunajamaa walikuwa wanakuja gesti Pale kama Mara tatu wananiulizia kwa Mgeni Chumba namba 9. Bila mafanikio hawakunipata. Inaonesha Demu walimpiga kichapo cha mbwa koko ikabidi aseme kuwa nilimtomb. Nadhani ndio wakaanza msako huoni. Sasa Jamaa zangu waliambiwa na Nani,? Kumbe ni muhudumu, !!!!! Tulivo rudi kazini Jamaal zangu tulokuwa nao wakanitunga Jina LA OSAMA kisa natafutwa! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] JAMANI SOMO HILI. pia Yule dem alirudi pale gesti akachukua namba yangu ya simu, akinikumbukaga ananisalimia. NAOMBA KUWASILISHA, NIMEKOMA JAMANI
Hapa jamvini tunawapa nafasi vijana kujifunza piaDaah mkuu pole sanaaaa!! Ila umehitimisha vema sana stori yako
Matamba nini ??Hahahahah Nimekosa usingizi Nipo Mbeya kwenye Guest chafu vibaya Sana Sana
Tuepuke kutaja majina, kwasababu ni biashara za watu.Matamba nini ??
HahahahahahahahahahahahaKuingia short time Halafu wakati nataka nitoke mlango haufunguki kwa ndani sema uzuri chumba kilikua cha njiani njiani ikabidi nifungie tu dirisha na kuita kwa nje
Hata bagamoyo vipo hivyo. Na vinakuwa vigodoro vidogo utadhani vya wanafunzi wa nurseryyalikuta Msata Tanga nimeingia mida ya saa 2 hivi usiku nikamwendea bodaboda anipeleke gest yoyote ya karibu jamaa akatekeleza bahati zuri vyumba vipo. sijachelewa fasta nikalipia ishu ndani sasa, ile naingia tu chumbani nkachek kitanda hammmmadi weee yaaaala aisee kitanda ni cha zege yaani wamejenga kama kaburi esp yaale makauri ya Waislam ya kuacha space katikati then juu wameweka godoro la wanafunzi 3/6. nikasema silali juu ya kaburi never. hatimaye nikalala chini yaani pembeni na kaburi. sikupata usingizi abadani. duu Tanga noma
Ha ha ha ha ha. Mtakufaa jamani...lohDaaah, sitasahau nilikula Demu mmoja wa kinywamwezi huko kahama. Niliingia kahama usiku wa saa moja hivi nikapata guest moja humo humo kuna club ma manzi kibao yaani, huku na huku baada ya bia zangu kama sita, nikasema silali pekee yangu leo, basi nikakamata goma moja la haja, jeupe chura wa maana!
Nikala kimoja faster tukarudi mezani kula bia, walipofunga demu likawa lishachangamka na bia, nikabembeleza nikale mzigo tena, likakubali ila kwa mbinde, kutokana na bia zile mzee goli la pili ikawa mbinde, piga na wewe waaapii!
Yule demu alikuwa si mzungumzaji sana ila ni kutabasamu na kuguna tu, hii mara ya pili akawa ni kama anataka kulia muda wote huku ananisukuma shingoni, mzee nikawa nakomaa nimalize, demu akanikaba yaani nilikabwaa!!! Nusu ya kufa, kuja kuuliza vizuri naambiwa lile demu huwa chizi fresh, sometimes linalipuka halisikii la mtu, yaani niliminywa na kucha shingoni, sitasahau!!
Kunguni ni zao la uchafu,huwezi sema usitaje wakati unawasaidia na wengine kwa sababu ya kuharibu biashara za watu. Ni bora watajwe ili waboreshe usafi.Tuepuke kutaja majina, kwasababu ni biashara za watu.
Napataje usingizi kwa mfano??? Si nitaota naibiwa nishtuke napiga makelele watu washangaeMimi nikiwa na hela nyingi hivyo hata usingizi sipati.
Napataje usingizi kwa mfano??? Si nitaota naibiwa nishtuke napiga makelele watu washangae
Nimekumiss mno yaani.Full kuzikeshea hadi pakuche.
Nimepata furaha ya ajabu baada ya kuona quote yako.
Unaweza kuhisi unalalia kaburi lililojengewahahhahhahhhaaaa kuna lodge moja mbagala kwa nje ni nzuri sana tena ghorofa ila ndani vitanda ni vya zege aisee vina kunguni kinyama yaan
Unaweza kuhisi unalalia kaburi lililojengewa
Hatufi ila mateso na cha mtema kuni tunakiona/tunayapataHa ha ha ha ha. Mtakufaa jamani...loh
Wewe ni wa kuleee kwethu kuleee kupita Mlima KLM eeeh,!?? Kwawapenda noti?!Nimekumiss mno yaani.
Kwanza kil dakika nitaamka nizichungulie kama zipo,sitakagi ujinga
Eeh mnavunjaga vitanda vya Mbao ndio maana wamewawekea zegeNiliikuta pale ubungo maziwa Kama kaburi, ilibidi tuanze kucheka na mchepuko wangu!! Maana hakuna aliyetarajia kukuta Kitanda dizaini hiyo.
Nimecheka sana[emoji23] [emoji23]Mimi pale bugurun baada ya kulipia chumba mhudumu wa guest akaja kuniuliza kama nahitaji huduma ya mauno, nikajivuga nikamwambia aniletee Dada mdogo mdogo asiwe jimama likaniteka usiku dah dakika tano nyingi mlango ukagongwa akaingia na kadada kadogooo kananyonyesha mtoto miezi saba mpaka tisa hivi nikauliza ndo huyu? wakaitikia ndio. Sikumbuki niliwajibu nini ila niliona wanafungua mlango na kuondoka.