Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

ilikuwa siku moja kabla ya kurudi bongo baada ya wiki nzima ya mishemishe bangkok sasa nikasema lazima nile malaya wa kithailand... kuna red light street moja ipo kama unatoka bangkok nikazama mzee mida kama saa nne usiku nikala bia za kutosha sasa nikicheki hizi malaya kibao wakikuona mgeni wanakumendea

kuna moja hilo lilikuwa lina bonge chura na Boobs za kubust zile nikasema yeeees ndio mambo yangu haya

nikamwita kwa ishara ya mkono akaja baada ya kuongea naye bei akasema kama sina thailand Bhaht 1300 basi nimpe USD 40 usiku mzima nikasema haina mbaya ilimradi fantasy yangu itimie

room akasema palepale pub kuna rooms nzuri tu hapo kashaniruhusu nimpapase kifua ila mkono hataki kabisa nipeleke kunako papuchi

basi hao tukaingia room piga romance sana sasa akaanza zile za kizungu.. akanisukuma kitandani alafu akasimama mbele yangu anavua nguo mambo kote yalienda fresh

akabaki na chupi akaniuliza nakumbuka hadi maneno "how would u like it? i take it first or u will take it first or am all yours?" bado nang'aa sharubu nashangaa

akatoa chupi mungu wanguuuu demu ana dudu bhna yani hapo ndio nikakumbuka kuwa bangkok kumejaa wale SHEMALES huku bado nikiwa katika taharuki

akaanza kunambia dont be dissapoited bby there is always a first time in everything

nakumbuka nilimpa hela yake na kutoka mbio pombe zote zimeniisha.. nikamsimulia mwenyeji wangu akanicheka sana.. akasema wenyewe kule wanawaita kayote
😀😀😂😂😂😂😂
 
Nakumbuka miaka 2008 hv nilienda machi machi gest ya pale kinondoni na katoto flan hv kadogo dogo,sasa ile tunaanza mambo akasikia kama sauti ya baba yake mzazi chumba kinachofuata,ikabidi asimamishe mauno kwanza akaniambia mbona nasikia kama sauti ya baba yangu analalamika chumba cha pili..basi akanipa namba na kuniambia niipigie ..nikaiweka zile code za kuficha ili kwake itoke private namba na asiijue namba iliyompigia..heeee ile kupiga bwana kweli tukasikia inaita chumba cha pili..nikakata nikamsikia akilalamika kuwa huyu mpumbavu ni nani anabipu bipu watu..duuuu mpaka hapo tukawa na uwakika kwa asilimia 100 kuwa baba mkwe anakamua chumba cha jirani..sitasahau siku ile.
Hahahaha
 
Guest kma hii nisha wahi iona moshi
IMG_20180807_114625.jpg
 
Nakumbuka miaka 2008 hv nilienda machi machi gest ya pale kinondoni na katoto flan hv kadogo dogo,sasa ile tunaanza mambo akasikia kama sauti ya baba yake mzazi chumba kinachofuata,ikabidi asimamishe mauno kwanza akaniambia mbona nasikia kama sauti ya baba yangu analalamika chumba cha pili..basi akanipa namba na kuniambia niipigie ..nikaiweka zile code za kuficha ili kwake itoke private namba na asiijue namba iliyompigia..heeee ile kupiga bwana kweli tukasikia inaita chumba cha pili..nikakata nikamsikia akilalamika kuwa huyu mpumbavu ni nani anabipu bipu watu..duuuu mpaka hapo tukawa na uwakika kwa asilimia 100 kuwa baba mkwe anakamua chumba cha jirani..sitasahau siku ile.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nishawai chukua guest flani mitaa flani... sasa nili agiza chakula wale waudumu wa chakula walivo leta chakula waka fungua tu mlango bila hodi na mimi nilikua sija funga na funguo... basi waka niona mzee mzima nikiwa nafanya mambo yangu... nakumbuka nilitukana sana
Daaah mkuu pole sanaaaa!!!!
 
Aisee nimelala juzi morogoro siku ya tarehe saba kuamkia nanenane, kila gest unayoijua ilikuwa imejaa. Nlitoka dodoma saa mbili na mida ya saa sita kasoro nlikuwa morogoro, nikakodi boda tukaanzia maeneo ya stend na mitaa ya jirani sikupata tukazunguka msamvu yote bila bila, jamaa akadai elf 57 nikampa. Wakati nafikiria nn cha kufanya kaja boda akaniambia twende mitaa flani yeye anajua gest ambazo huwa hazifikiwi na watu. Basi tukakubaliana elf tatu, tulizungukaa takriban saa nzima hakuna kitu. Nikamwambia nirudisha msamvu nikalale stand, ile tunarudi akasema ngoja twende hapa pa mwisho, basi nikapitishwa daraja moja hivi finyu sana nahisi ni la waenda kwa miguu, mda huo ni saa nane kasoro usiku. Palikuwa panatisha balaaa, and mfukoni nlikuwa na kama tsh.2millions. Basi akaingia nyumba moja chafchaf tu akaaanza kugonga, haina hata bango la jina la gest, na nje hakuna taa hata moja. Wakasema nafasi zipo. Kuingia ndani mm ndo mteja wa kwanza. Ikabidi tu nilale hapo. Ila hela zote nikazikunja nikaweka kwenye viatu kwa mbele kabisa yaan 1mil kiatu kimoja na 1 mil kiatu kingine, then nikaweka na soks zikiwa zinaonekana kwa juu halaf nikaviweka kama vimelala ubavu na kimoja kimelala miguu juu. Nikaweka mfukoni kama elf 50 tu incace washkaji wakija kuchukua zao niwape elf 50. Yaan kumekucha asubuhi sikuamini
Daaah mkuu pole sanaaaa ungekuja huku mitaa ya mazimbu, modeko, au hata mitaa ya Bigwa zipo nyingi tu
 
Mzee Baba nikwamba sio inamiminwa na kuvaliwa kabisa ila inawekwa inakaa kwa muda kidogo, inafyonzwa na pedi alafu ndio inavaliwa. Rejea story yangu moja kurasa za nyuma, HAWA WATU WANAMBINU ZA KISHENZI NA KISHETANI balaaa, kama Wewe sio Mshenz mwenzao. USICHUKUE ZIGO UTAJUTAA KIJUTO CHA MBWA KHOKHO

Hahah mkuu mimi hii kitu imewah nikuta. Alikuwa ni manzi angu kabisa, hyo siku kaja geto nataka kula vyangu mara ooh simba wanacheza nkashangaa maana dalili zake zote nazijuaga akiwa hvo ile kuangaliza nakuta red red nkakaza macho nkagundua pichu ina rangi ila yeye msaaafi nkam’bana akanichana kaweka tomato bas nkamwambia asepe hakuwah nletea tena ushenz
 
Nishawai chukua guest flani mitaa flani... sasa nili agiza chakula wale waudumu wa chakula walivo leta chakula waka fungua tu mlango bila hodi na mimi nilikua sija funga na funguo... basi waka niona mzee mzima nikiwa nafanya mambo yangu... nakumbuka nilitukana sana

Dup pole mkuu maana najua karaha tunazokutana nazo kwenye kuonwa kalio. Binafsi sidhani kama kuna kitu nachukia kama kuonwa kalio au manz kunishika kalio wakati nipo mchezoni
 
Hahah mkuu mimi hii kitu imewah nikuta. Alikuwa ni manzi angu kabisa, hyo siku kaja geto nataka kula vyangu mara ooh simba wanacheza nkashangaa maana dalili zake zote nazijuaga akiwa hvo ile kuangaliza nakuta red red nkakaza macho nkagundua pichu ina rangi ila yeye msaaafi nkam’bana akanichana kaweka tomato bas nkamwambia asepe hakuwah nletea tena ushenz
Aahahaha pole Mkuu hawawadudu SIO! MIE NIKIONAGA WANAZINGUA NAWATISHIA KAMA NDIO IVO NAKULA TGO wananywea nakula Mzigo kilaiiiiiiiin
 
Nakumbuka miaka 2008 hv nilienda machi machi gest ya pale kinondoni na katoto flan hv kadogo dogo,sasa ile tunaanza mambo akasikia kama sauti ya baba yake mzazi chumba kinachofuata,ikabidi asimamishe mauno kwanza akaniambia mbona nasikia kama sauti ya baba yangu analalamika chumba cha pili..basi akanipa namba na kuniambia niipigie ..nikaiweka zile code za kuficha ili kwake itoke private namba na asiijue namba iliyompigia..heeee ile kupiga bwana kweli tukasikia inaita chumba cha pili..nikakata nikamsikia akilalamika kuwa huyu mpumbavu ni nani anabipu bipu watu..duuuu mpaka hapo tukawa na uwakika kwa asilimia 100 kuwa baba mkwe anakamua chumba cha jirani..sitasahau siku ile.
Watoto wa uswazi ni shida aiseee....anajua miguno ya baba yake?
 
Ngoja nikupe moja iliyotokea miaka hiyo mie kijana kijana maeneo flani Sinza Kumekucha, ! Kama ilivo ada nimekulazangu T-shirt na Jeans nikaona kwakuwa mfukoni kuna ruhusu kwanini nisile starehe maisha yenyewe mafupi, ! Basi bab so ndo nkajichanganya sinza , Mara paaah mtoto mkali mwenye kila sifa za kumfanya mwanaume ageuke na atafakar mwenyewe kichwani kuwa anamuhitaji. Bab nikamtuma mhudumu naomba umuulize mwali mezani pale anakunywa maji kwani anadoz au!? Mhudumu hakukopesha na wala hakusogeza hata mguu kuondoka , pale pale anaita WEE HAPPY NJOO UMPE KAMPANI KAKA HUYU ZALI NI LAKO LEO. Mungu wangu nikasema " DODO KWENYE MKOROSHO ILOOOOOH! " Happy fastaa akaja akakaa wowowooo ilawekwa kwenye kiti pembeni yangu likajaa. Akaagiza maji ya rangi ya mende akawa anashusha Safar Lager. Sasa muda ukataradadi nkamwambia mie namaind nikapige mzigo kama yupo tayar aseme, AKASEMA POA, WEWE TUU! nikamwambia naomba nijuze ntachangia hela ya supu bei gani!? Akasema 50,000/= duuu nkasema rohoni sasa nshajichanganya ntafanyaje kila nikiuangalia mzigo mmmmh HATAAAH . basi kwakuwa nilikuwa na kama 150,000 nkasema Poa. Tukaenda , lisaa 1 naona dem ananyonya maik tuu, kila nikitaka kuingia papuchin anazingua! Ooh subiri mie napenda maandalizi ya kutosha. Bab saa 8 usiku hiyo. Nkawa na subira, Tisa kasoro eti na mie ninyonye. Nikamwambia sijawahi na siwezi. Poa akaruhusu mamaaa weeee Mapango ya HANDENI alafu kumechokaaaaaaaa balaaaaah, nikaona isiwe shida nikakomaa na gem likaisha. Mziki asubuhi sasa SAA 11 anataka aondoke, nampa hamsini elfu HATAKI Anasema yeye sio wa HAMSINI ELFU NITOE LAKI MBILI KWA KAZI KUBWA AMEIFANYA MPAKA KANYONYA NA MANIIZANGU ZOTE , KWAHIYO HUDUMA ZOTE NILIZIKUBALI NA NTAZILIPIA. IKAWA ZOGO NAMWAMBIA AONGEE TARATIBU HATAKI ANAPAYUKA BALAA, Wahudumu wa gest wakaja, wakamsihi ila mie kwakuwa nilikuwa sitakagi kutokea kwenye magazeti ya Uwazi/Kombora/Udaku. Nikampa hela yooote ambayo nilikuwa nayo, kama 120,000 ikabaki na SAA nikamvulia maana alianza kusema atapiga kelele nimetaka kumbaka. Akasepa, jamaa wa gest wakasema acha wallet yako shika nauli baadae ulete Hela ya chumba na Nauli tulokupa . na wakanisihi afadjali ya nilichofanya maana kingetokea maafa. Pia Happy wanamjua , na nilikuwa sijapewa tu mtonyo ila happy watu wanaMPIMAGA OIL TUU SABABU YA UKOROFI WAKE. (KUPIMA OIL NI KUTIA MIDOLE YA KATI KWENYE PAPUCH YA DEM,) alafu unampa 5000 unasepa. Ahahahaha WATCH OUT YOU GUYS HAWA WATU SIO AFADHALI UKOMAE NA DADA WA KAZI UTAPATA SATISFACTION KWENYE PAPUCHI. Naomba kuwasilisha
Huyo Happy alikuwa muhuni tu!
 
Kesho tukijaaliwa uzima ntawapeni moja hiyo ilikuwa kali sana. Aisee hizi gesti tulale tuu jamani ila mmmmmh
 
Back
Top Bottom